Tanzania Premier League 'TPL' Ruvu Shooting Vs Simba SC, Uwanja wa Taifa

Tanzania Premier League 'TPL' Ruvu Shooting Vs Simba SC, Uwanja wa Taifa

Barcalona inapiga tano tano na mpira inatandaza.
Simba inapiga tano tano na mpira inatandaza.
Kuanzia Leo mimi mpambe wa Yanga fc,
Nahamia Simba SC rasmi.
Nahamia na Barcalona
Nataka raha ya kutandaza kandanda na kufurahia magoli.
Yanga na Real Madrid zipambame tu na hali zao.
Nazifyekelea mbali.
Hahaha.. Karibu sana Mkuu.
 
Kuna dalili ya Mpira kuwekwa kwapani muda si mrefu!
Mnafikiri yule "kocha"kupaki basi huku akiwa na mshambuliaji mmoja na mabeki 9 alikuwa mjinga???. Aliona gharika kwa mbali.Funguka kwa Simba ukomeshwe. Hivi hii timu ikikaa pamoja mwaka mmoja
watu wataingiza timu kweli????
 
Huwa hamkosi kuvunja viti uwanjani....ligi hii bado...Hakuna cha Mo effect wala nini...mambo bado moto...mtakutana na wananchi na ndipo mtasema mengi...
1. Katika mechi 2 tunagonga watu goli 10, mambo yanakuaje baridi??
2. Okwi mechi 2 goli 5 mambo yakuaje baridi??
3. Una supa sub kila akiingia katika dk 5 za mwisho anacheka na nyavu, mambo yakuaje baridi??
4. Wale majeruhi, Mkude na Dilunga wamepona kabisa, na wako tayari kuitumikia timu yao mda wowote, mambo yanakuaje baridi??

Kwa kifupu Mkuu.. Kwa sasa mambo ni moto.
 
Tulimpa ushauri mapema hapa Kakayetu Bwire kuwa aongee na uongozi Wa Ruvu asiingize timu uwanjani lakini akahadaliwa na kelele za Vyura!!

Sasa ameona kilichomkuta Masikini Mnyama Kawala Mafirigisi Ruvu ikisha Katambaa zake kwenye Viunga Vya Msimbazi..
Waliokua wanampa kichwa saivi hawapo wamejitenga kweli nimeamini patwa na tatizo ndo utamjua yupi rafiki yupi mnafki
 
Back
Top Bottom