Hahaha.. Karibu sana Mkuu.Barcalona inapiga tano tano na mpira inatandaza.
Simba inapiga tano tano na mpira inatandaza.
Kuanzia Leo mimi mpambe wa Yanga fc,
Nahamia Simba SC rasmi.
Nahamia na Barcalona
Nataka raha ya kutandaza kandanda na kufurahia magoli.
Yanga na Real Madrid zipambame tu na hali zao.
Nazifyekelea mbali.
Mkuu.. Hapo ni kwa kuangalia clip za magoli tuliyofunga, ambazo mda si mrefu zitakua hewani.haya maumivu sijui niyapoze na nini
Nadhani wamekusikia kwako Ekuweme
Mnafikiri yule "kocha"kupaki basi huku akiwa na mshambuliaji mmoja na mabeki 9 alikuwa mjinga???. Aliona gharika kwa mbali.Funguka kwa Simba ukomeshwe. Hivi hii timu ikikaa pamoja mwaka mmoja
watu wataingiza timu kweli????
1. Katika mechi 2 tunagonga watu goli 10, mambo yanakuaje baridi??Huwa hamkosi kuvunja viti uwanjani....ligi hii bado...Hakuna cha Mo effect wala nini...mambo bado moto...mtakutana na wananchi na ndipo mtasema mengi...
Wapo wakununua lakini siyo wa yanga ukimzungumzia mo ile ni level ingine usimfananishe na akili mali mkuuHisa ni bidhaa kwenye kampuni. Usishangae mwana Yanga kununua hisa za Simba.
Ukiacha Mo mwenyewe, wanachama wangapi watanunua hisa moja kwa laki nne?
Waliokua wanampa kichwa saivi hawapo wamejitenga kweli nimeamini patwa na tatizo ndo utamjua yupi rafiki yupi mnafkiTulimpa ushauri mapema hapa Kakayetu Bwire kuwa aongee na uongozi Wa Ruvu asiingize timu uwanjani lakini akahadaliwa na kelele za Vyura!!
Sasa ameona kilichomkuta Masikini Mnyama Kawala Mafirigisi Ruvu ikisha Katambaa zake kwenye Viunga Vya Msimbazi..
Kwa tarifa nilizo zipata masau bwire yuko njiani anaenda kushtaki kua ruvu imecheza na barca na sio simba kama ratiba ilivyo andikaMpapaso square (Masau Bwire) kagoma kupokea simu.
Mi nilikua sihesabu magoli mkuu mi kazi yangu ilikua ni kumuangalia masau bwire anavyo reactmkuu nasikitik kukikosa kipindi cha pili burudani imenipita, narahani vikali kitendo cha tanesiko kukata umee...ila najua uliendelea kuesabu magoli
Hahaha.. Ni kweli Mkuu.Waliokua wanampa kichwa saivi hawapo wamejitenga kweli nimeamini patwa na tatizo ndo utamjua yupi rafiki yupi mnafki
Samahani mkuu hapo una lalamika au unakosoa?Mnafikiri yule "kocha"kupaki basi huku akiwa na mshambuliaji mmoja na mabeki 9 alikuwa mjinga???. Aliona gharika kwa mbali.Funguka kwa Simba ukomeshwe. Hivi hii timu ikikaa pamoja mwaka mmoja
watu wataingiza timu kweli????
Atatoa lawama bure kwa wachezaji wakati alie waponza mwingine lawama zilikua ziende kwa masau bwire ndiye kawaponzaMkuu, kwa mechi ijayo hata akiweka mabeki 10, kipigo kwao hakiepukiki.
Hahahaha atafika kweli aendako maana zile 5 si mchezo asije akaanguka njianiKwa tarifa nilizo zipata masau bwire yuko njiani anaenda kushtaki kua ruvu imecheza na barca na sio simba kama ratiba ilivyo andika