Hahahaaaa. Wape wapeeee.vpi mnajua mchezaji wenu aliyekaa simba miezi sita tu tena kwa mkopo na kucheza match saba jana katupia tena ubelgiji ?hahaha sipati picha kama mikia ndo wangekuwa african lyon.
Hahahaaaa. Sitaki mie Mtani. 😂😂😂😂Hahaha.. Nikajua kuna kombe mnashiriki linaitwa hivyo.
Ila Sembo mchokozi sana aiseeee.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Umembamba kinoma
Mwandishi atakua anamapenzi na yangakuna mwandishi uchwara wa mwanaspoti alikuwa anamponda Okwi kuwa hawezi kushindana na kina Ambokile kwenye ufungaji Bora naona Okwi kaamua kumjibu kwa vitendo
Hivi Mkuu.. Inakuaje mpaka wanakua na mapenzi na Yanga?? Hivi wanakua hawajaiona Simaba, au??Mwandishi atakua anamapenzi na yanga
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Barcalona inapiga tano tano na mpira inatandaza.
Simba inapiga tano tano na mpira inatandaza.
Kuanzia Leo mimi mpambe wa Yanga fc,
Nahamia Simba SC rasmi.
Nahamia na Barcalona
Nataka raha ya kutandaza kandanda na kufurahia magoli.
Yanga na Real Madrid zipambame tu na hali zao.
Nazifyekelea mbali.
Hahahaaa. Sawa Mtani.
Nimeona japokuwa niseme tu pale ni kama Mtu mzima kupigana na katoto kadogo hivyo ni lazima tu mkubwa apige.
Ahsante! Asubuhi njema na Kwako pia Mkuu.
Nina imani kubwa leo na 'vijana' wa Captain wetu wa Jeshi, Lipuli FC.Asante..kwangu ni asubuhi tulivu japo kuna maumivu ya sauti kidogo kulingana na kazi ya Jana.. [emoji3][emoji3] Napoza na Juice kidogo
Huku najianda kufurahi kwa Lipuli kufanya yake J4 [emoji3][emoji3][emoji3] tutakuwa pamoja Insha' Allah
Kwako mtani...!
Hahahaaa. Mdogo wangu huyo ni shabiki jina Shabiki wa kweli hawezi hama timu kirahisi hivyo.
Hijar, naye yupo njiani anakuja,
basi wanahisi wameniweza mimi nikajua watajiongeza wataongezea, eHahahaaaa. Sitaki mie Mtani. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji2] [emoji2] [emoji2] haya mtani[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Umembamba kinoma
Wachaaaaa. Hivyo sauti imekukauka Mtani pole sana kunywa juice isiposaidia nikuletee ile ya Tangawizi 🙈🙈Asante..kwangu ni asubuhi tulivu japo kuna maumivu ya sauti kidogo kulingana na kazi ya Jana.. [emoji3][emoji3] Napoza na Juice kidogo
Huku najianda kufurahi kwa Lipuli kufanya yake J4 [emoji3][emoji3][emoji3] tutakuwa pamoja Insha' Allah
Kwako mtani...!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hahahaaa. Sawa Mtani.
Nimeona japokuwa niseme tu pale ni kama Mtu mzima kupigana na katoto kadogo hivyo ni lazima tu mkubwa apige.
Ahsante! Asubuhi njema na Kwako pia Mkuu.
Eeeeeeh.Nina imani kubwa leo na 'vijana' wa Captain wetu wa Jeshi, Lipuli FC.
Hahahaaa. Pole sana Mtani.Aaaaaah...Pasua Mbarika mkuu. Wang'ang'ane na droo inatosha wasiwe kama Alliance FC..Walituboa si kitoto.
Hahahaaa. Mdogo wangu huyo ni shabiki jina Shabiki wa kweli hawezi hama timu kirahisi hivyo.
Kama mie siwezi aiseee na haitakaa itokeee nihame chama langu Yanga.
Hahahaaaa. Noma sana Mkuubasi wanahisi wameniweza mimi nikajua watajiongeza wataongezea, e
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hijar, naye yupo njiani anakuja,
Mwisho aliniambia anawaonea aibu waajiri wake pale bomdeni Jangwani.
Yeye pale kaajiriwa kabisa, Ni katibu muhtasi wa mzee Yusufu Akilimali.