Tanzania Premier League 'TPL' Ruvu Shooting Vs Simba SC, Uwanja wa Taifa

Nimeona bana, Babu yuko Moto kwenye Soka
Hahahaaa. Acha tu ila Babu ana mechi na mechi za kuchangia kwenye nyuzi hasa zile wanazoshinda ndio utamuona ameibuka.

Nje ya hapo anapita kimya kimya kama hana ushabiki na Mikia.
 
Kile kipigo cha jana kinaitwa nje ndani yani sio ruvu tu hadi nyie wayanga mmeuzunika
 
Yebo Yebo changeni Kakolanya kagoma yupo Iringa hajalipwa mishahara ya miezi 2.
Wacheni mabingwa wafanye yao.
Bakuli limeanza.
Umeleta uzushi kuhusu Samatta umejibiwa umefunga domo.
Hahahaaa upande wa pili kazi imeanza kutembeza bakuli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…