Tanzania Premier League 'TPL' Ruvu Shooting Vs Simba SC, Uwanja wa Taifa

Umeonaeeee. Yaani mtu anakuwa guest kwa muda mpaka jukwaani papoe. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Ndio maana mashabiki wa Arsenal huwa wanakonda kipindi cha EPL kisa presha za kufungwa.

Sasa hapa mtu anaamua amute tu hata kama umuite vipi anakuangalia bila kukusemesha
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Ndio maana mashabiki wa Arsenal huwa wanakonda kipindi cha EPL kisa presha za kufungwa.

Sasa hapa mtu anaamua amute tu hata kama umuite vipi anakuangalia bila kukusemesha
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hawana hamu na timu yao.

Umeonaeee. Ila ushabiki huu una raha na karaha saa nyingine aiseee.
 

Hahaha.. Mara nyingi tatizo hua ni network. Ila leo mnara wa simu unasoma H+, kwahiyo nipo sana.
 
Hahaha.. Mara nyingi tatizo hua ni network. Ila leo mnara wa simu unasoma H+, kwahiyo nipo sana.
Sio network mtani sema unakuwa hujui matokeo yatakuwaje banaaa. 😜😜😜

Oooh. Usijali Mtani mtanitag maana saa moja usiku nakuwa busy na mambo mengine nje ya jf hivyo kesho asubuhi ntakuja niwaone mlivyong'onyea baada ya matokeo kuwa kinyume na matarajio yenu.
 
Hahaha.. Poa Mtani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…