Tanzania Premier League 'TPL' Ruvu Shooting Vs Simba SC, Uwanja wa Taifa

Tanzania Premier League 'TPL' Ruvu Shooting Vs Simba SC, Uwanja wa Taifa

Simba na Barcelona ndio timu pekee zinazocheza mpira mzuri duniani ukibisha unapaliwa na mate unakufa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Halafu yule Chama aende pale Man U maana Pogba na Lukaku wameifanya man U imekuwa pombe ya ngomani kila mtu anajinywea
 
Niwapongeze watani zangu wote ambao hamkubanduka kwenye huu uzi sababu mlijua timu mnayocheza nayo ni mchekea hivyo ushindi ni nje nje.

Najua ipo siku mtapotea hatutawaona hapa. Hongereni aiseee. Ila msijifananishe na Barcelona ile ni chama lingine kabisaaa yaani hamuifikii hata robo. Teh teh teh.

Cc. Sesten Zakazaka, sembo, Ghazwat, King Ngwaba , oscarsolomon, chaliifrancisco, Jungle Fighter, Otorong'ong'o bila kuwasahau Dada zangu watani aminas na Shunie.

Na msisahau ligi bado mbichi hii.

Ligi bado mbichi kweli! Na ndiyo sifa ya Mnyama Kula Nyama Mbichi, nyama choma Watakula Madereva Wa Malorry.
 
wale waliokuwa wanasema tumenunua kwa Alliance wako wapi naona ndio maana viongozi wa Alliance waliamua kuwafukuza makocha wao kwani hawakuwaambia ukweli kuwa mziki wa Simba ni mkubwa na wao wanaogopa kuchafua cv
 
Mahaba niue...

Miss u mingimingi...

Asanta kwa kunikumbuka...

Unikumbukage na PM basi...dah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sawa Babu yangu wa faida ila PM alienda nayo bibi
 
Back
Top Bottom