Wachezaji wa kibongo ndo mana hawafiki mbali vilaza Mon [emoji16] [emoji23]Makipa wa mikoani washamba sana, jamaa kafungisha kaamua kuzuga kaumia.
Jama anajikuna tako halafu anakata kucha kwa meno.Paragraph ya pili umeurudia unafiki ambao umeukataa mwanzo
Nenda kashiriki jukwaa la matusi huko, hapa kuna watu wenye uelewa ambao ni watani wa Jadi wenye kujua mpira si uadui ni burudani.!Toka TPL ianze Yanga kachukua mara tatu mfululizo. . Tunachoteaga maji ya mvua mafuriko yakija
Alafu jamaa alikaza kuonesha ameumia sana ( anyways ukute kweli aliumia) lakini kwa haraka haraka jamaa alizuga baada ya kuona ameharibu.Wachezaji wa kibongo ndo mana hawafiki mbali vilaza Mon [emoji16] [emoji23]
Woooozerr.. mmetoka kapaHongereni kwa Ubingwa wa Viti maalum
Malinzi FCKaria fc
Nitakua mnafiki kama nisipowapongeza watani kwa kutwaa ubingwa haijalishi mmeupata vipi lakini kikubwa mmebeba ndoo...
Bila shaka yanga wenzangu tutakua tumejifunza kitu kwa mpira sio uwanjani tu,au kocha mzuri au wachezaji wazuri. Yanga tumejifunza kuwa mpira wa tanzania unachezwa nje ya kiwanja kwa asilimia zaidi ya 70.
Yanga wenzangu,viongozi na wanachama wenzangu naomba sasa na sisi tuache kujifanya malaika na kwenda nao kibishi kama walivyo anza wao sisi tutamaliza,
Ni mda wakuwekeza kwa marefa zaidi kuliko hata wachezaji,ni mda sasa wakuhakikisha tunakua na walau matawi shiriki ligi kuu hata 8,ikumbukwe tulikua nalo moja tu toto Africa sasa halipo tena,
Tuhakikishe tunawahimiza wana yanga wengi wakasomee urefa ili tuweze kuona matunda yao mbeleni kama simba walivyofaidi matunda yao msimu huu.
Yanga tubadilike sasa pale kwenye pitch hapatotupa ubingwa wakuteuluwa kama wenzetu,tujipange upya ili tuende nao sawa.
Daima mbele nyuma mwiko
Hongereni mabingwa wa kuteuliwa,mbona mtu unaagiza gari kwa pesa yako mwenyewe na gari ikifika unashangilia nakufanya hata party, mna haki ya kushangilia pamoja na kutumia pesa nyingi sana kulipata.
Kwanin mkuuSikuwahi kuwaza kuwa nawewe unavuta Bange
Koh koh koh.Woyooooooooooo
Hongera Mtani. ππππNipongeze basi kwa kuwa Bingwa wako tena
Majukumu Dada au Shem wangu naye kaamua kubana mpaka penalti. ππJirani acha tu majukumu vipi lakini uko mzima
Hamna kitu ka hicho. πππSimba Bingwa Kwa Miaka 10 mfululizo mpaka vyura viache kuombaomba
Hahahhah nimekumiss mm mpaka jana nikakuitaKoh koh koh.
Hahahhahaha majukumu na shem kubana jamani nakumissMajukumu Dada au Shem wangu naye kaamua kubana mpaka penalti. [emoji23][emoji23]
π π π π kama kweli vile Mtani.Wakileta kidomodomo tunaongeza zinakuwa 15