Tanzania Premier League 'TPL' Singida United Vs Simba SC Uwanja wa Namfua Singida

Tanzania Premier League 'TPL' Singida United Vs Simba SC Uwanja wa Namfua Singida

90+8' Kuelekea kumalizika mchezo huu wa TPL
Naaaaaaaaaaaaaaam..Mpira umekwisha Uwanja wa Namfua ambapo Simba SC wanaibuka kuwa Mabingwa Wapya baada ya kuibuka na ushindi wa mabao mawili bila majibu
Mabao ya Simba yamewekwa kimiani na Maddie Kagere 09' na John Bocco 61
Singida United 0- 2 Simba SC
Kwaniaba ya Simba SC na JF team niiiiiiiiiiiii Ghazwat
Asante sana mkuu.. tunamaliza kiporo kwa ushindi na ubingwa juu.

SIMBA IS THE CHAMPIONS OF TANZANIA PRIMIER LIEGE--2018/2019.
 
Simbaaaaaaaaaaaaaa
Vyura wanaliaaaa poleee
Simba bingwa 2018/2019
60948785_942196566220103_4287242891807424512_n.jpeg
54256872_772970513069680_209327484712255488_n.jpeg
53864640_260075791568814_4339337641062301696_n.jpeg
51732407_2070565576369747_254117362180030464_n.jpeg
 
Back
Top Bottom