Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Si tulikubaliana tuna kikosi kipana?haya majamaa majinga kweli ,wamesafiri 22 ,wagonjwa 16 ,na walioachwa dar karibia wote ni majeruhi ,wangechezaje?
We acha tu, hawa jamaa sijui wanatumiaga kiungo gani kufikiria.haya majamaa majinga kweli ,wamesafiri 22 ,wagonjwa 16 ,na walioachwa dar karibia wote ni majeruhi ,wangechezaje?
"Msema kweri ni mpenzi wa Mungu wachezaji 10 wa yanga wana mafua makali na wamewakimbiza kweri-kweri"Ni mchezaji yupi wa yanga aliyeumwa, inamaana hujui kuwa Ilikua ni mind game ya kitoto iliyochezwa na benchi la ufundi la utopolo fc.
Ile kule kwa ponjoro wanadai wanaharisha 😀😀Vijana wanapiga kazi za wananchi ili hali wana homa na mafua.
Basi sawa.Mpaka dk hii ingekua prisons bado anaongoza basi tungeshuhudia penalty na red card ambayo ingekosa majibu kama ilivyokua kwa Namungo ila thanks to God mazuzu yapo mbele kwa tofauti ya bao moja ndo maana mpaka dk hii boli bado lina flow smoothly.
Nimekuuliza timu yako, mimi yangu nime iingiza uwanjani na nimeshinda.Ni mchezaji yupi wa yanga aliyeumwa, inamaana hujui kuwa Ilikua ni mind game ya kitoto iliyochezwa na benchi la ufundi la utopolo fc.
kwenye wachezaji 22 kama 6 wanaumwa Sheria gani ya fifa inaruhusu mechi kuendelea?hivi watu wa kukimbia mechi watoke dar na ndege na gharama zote ? Ingekuwa ni kusingizia si wangebaki dar tu?Si tulikubaliana tuna kikosi kipana?
mgonjwa hawezi kuingia uwanjani ,akiingia huyo siyo mgonjwa"Msema kweri ni mpenzi wa Mungu wachezaji 10 wa yanga wana mafua makali na wamewakimbiza kweri-kweri"
Nasikia mnakula nyama za watuLeo mimi pamoja na kuwa ni Yanga lialia ila sina budi kushangilia timu yangu ya nyumbani kwangu
Mwanjelwa.
Linapofika swala la nyumbani sisi Wasafwa ni lazima tuliongezee nguvu ya ushindi.
Wanatembea wamefungwa shangazi kaja makalionJana mmeumwa. Mara msingizie mabango. Kwenye huu uzii najua mtajaa wenyewe
Hao wachezaji 6 haiwezekani kuwa replace si mnao wengi 6 kati ya 22?kwenye wachezaji 22 kama 6 wanaumwa Sheria gani ya fifa inaruhusu mechi kuendelea?hivi watu wa kukimbia mechi watoke dar na ndege na gharama zote ? Ingekuwa ni kusingizia si wangebaki dar tu?
Zinedine,Yazidu Zizzou ZidaneSteven Gerrard
Paul scholes
Frank lampard
Feisal salum
Nimemsahau nani hapa??
Yule balozi wa Zambia aliyekataliwa yule siyo!Tutaendeleza Hii Dozi Mpaka Mwisho Ligi Akuna Kucheka Na Musenge [emoji41][emoji617][emoji617][emoji95]
Wachezaji walifika wachache wakionesha dalili, ikafanyika press na wakakubaliana kuwa mechi itachezwa kwani waliobaki wanajitosheleza siku iliyofuata mazoezini wakaongezeka, kati ya 22,16 wakapata ugonjwa na kisheria chini ya wachezaji 7 mechi haichezwi.Nimekuuliza timu yako, mimi yangu nime iingiza uwanjani na nimeshinda.
Nimekuuliza kimya.
Kwa hiyo wachezaji waliugua tu walivyo fika Kagera?
Kwa hiyo mtaa kaa siku 14 bila kucheza mechi yoyote?
Halafu nina debe mbili za mpunga na jogoo mmoja, je mchango wangu na ufikisha vipi?
mkuu ugonjwa hauna alarm ,hata wewe tunaweza kukuona humu JF ujibu sahizi lakini masaa kadhaa ukaumwa ,wachezaji 16 wanaumwa ,je unapoingiza wagonjwa uwanjani hata wale nafuu una uhakika wengine watamaliza mechi ? Kwenye 22 ukitoa 16 wanaoumwa wanabaki wachezaji 6 ,na Dar waliobaki ni majeruhi ,Sasa mchezo ungeendeleaje ? Ndo maana FIFA wanasema health first.Hao wachezaji 6 haiwezekani kuwa replace si mnao wengi 6 kati ya 22?
Sasa kama ndio hivyo kwanini msingebaki dar haingii akili muende mpaka bukoba halafu msijue kama Kuna wagonjwa..
Team yenu ya madokta ni mbovu?
Au mmekimbia kwa kuwa Mmezoea viporo.
Pole kwa kuharisha.
Harisha uhalo Fc [emoji23][emoji23]Hao wachezaji 6 haiwezekani kuwa replace si mnao wengi 6 kati ya 22?
Sasa kama ndio hivyo kwanini msingebaki dar haingii akili muende mpaka bukoba halafu msijue kama Kuna wagonjwa..
Team yenu ya madokta ni mbovu?
Au mmekimbia kwa kuwa Mmezoea viporo.
Pole kwa kuharisha.
Haohao tu basi usiongezeSteven Gerrard
Paul scholes
Frank lampard
Feisal salum
Nimemsahau nani hapa??
Mkuu mgonjwa unamjua kweli ? Na kwa muonekano ule kuna mgonjwa kweli pale ??."Msema kweri ni mpenzi wa Mungu wachezaji 10 wa yanga wana mafua makali na wamewakimbiza kweri-kweri"