Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Yanga hatuwezi kamwe kufungwa na team ya wahuni waliokosa kazi na kujikusanya hapo tukuyu..
Cha kuwasaidia wao kwa sasa sio maafande tena bora wakalime mpunga na wauze mchele tu.
Yanga ni lidude flani likuuubwa..
NB: naona kwamba aucho ile tuzo ya messi ilibidi wampatie yeye, au wangempa yule tolu kanoute?
Cha kuwasaidia wao kwa sasa sio maafande tena bora wakalime mpunga na wauze mchele tu.
Yanga ni lidude flani likuuubwa..
NB: naona kwamba aucho ile tuzo ya messi ilibidi wampatie yeye, au wangempa yule tolu kanoute?