Tanzania Prisons 1-2 Yanga Sc | Uwanja Wa Mandela | Ligi Kuu Tanzania Bara

Na hata yanga pia walikuwa wanaumwa lakini wamecheza,
Naona tuishie hapa tusubiri wapone sijui itakuwa lini, mcheze kiporo chenu.
 
Kwetu raha tuna jiamini na ndio maana tumecheza leo.

Kwa hiyo mtakaa siku 14 bila kucheza?

Nyie juzi mlisema mnataka michango, mimi nina debe mbili za mounga kutoka Mbeya na Jogoo, acha hasira ni elekeze ili ni ufikishe mzigo wangu wa kuichangia timu yenye kikosi kipana.
 
Mpaka sasa michango iliyopatikana nchi nzima ni 5200/Tsh..

Kweli simba tutajenga uwanja au kiota cha ndege?
 
uza hivo vitu halafu utume kwenye tigo au mpesa ya Simba
 
Michango inendelea, afu uwanja ni wa Mo.
 
uza hivo vitu halafu utume kwenye tigo au mpesa ya Simba
Sina account ya tigo pesa wala m-pesa,ila nina debe mbili za mpunga na jogoo langu,ili ni ichangie timu yenye kikosi kipana.
 
Sina account ya tigo pesa wala m-pesa,ila nina debe mbili za mpunga na jogoo langu,ili ni ichangie timu yenye kikosi kipana.
ikabidi kwa viongozi wa tawi mchango wako utafikishwa makao makuu
 
Ila kucheza na Prison inahitaji ujanja sana , unatuliza mpira halafu mtu anakuja kama faru anawabutua wote pamoja,au ndo walivyofundishwa kwamba mkicheza hivo wapinzani watawaogopa?
 
Yanga wameamua kucheza mind game na kuwadanganya prisons kuwa key players wao wagonjwa kumbe wote wazima, hii inaonyesha ni namna gani yanga ni underdog na waoga wakubwa.
Waoga ni wale walioikimbia mechi yao jana. YANGA wamesema wanaumwa. Lakini bado wamesema wanacheza. Huo ndio uanaume. Sio majike ya jana. Watu wametoka zao Uganda kuja kushuhudia kipute. Wameingia kabisa uwanjani,majike yameweka mpira kwapani. Mmetia aibu
 
Naomba kujua elimu yako kama hutojali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…