ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Lazima waugue ni ngumu ucheze na Yanga imeshiba utoe drawHao wachezaji 6 haiwezekani kuwa replace si mnao wengi 6 kati ya 22?
Sasa kama ndio hivyo kwanini msingebaki dar haingii akili muende mpaka bukoba halafu msijue kama Kuna wagonjwa..
Team yenu ya madokta ni mbovu?
Au mmekimbia kwa kuwa Mmezoea viporo.
Pole kwa kuharisha.