Tanzania ready for phase two of SGR from Morogoro to Dodoma

Tanzania ready for phase two of SGR from Morogoro to Dodoma

Nimekua busy sana, kuhama nyumba, kazi mpya laptop mpya...nk
Anyway nikirudi vizuri mtandaoni nitajaribu ku reply kulingana na timing...

Anyway ninachosema kuhusu WB, kama unataka mmalize ujenzi wa SGR yenu 2030 basi endeni na WB, kumbuka SGR sio mradi wa mpigo mmoja kama BRT au bandari, Sgr ni mradi wa phases,sections...etc pesa hazitatolewa kwa hatua moja mtakua mnapewa nusu mwaka huu alafu mnaambiwa mgonje tena mwaka ujao ndo mpewe pesa za section 2,3..
Tatizo ninaloliona kwako ni kudhani kwa sababu Kenya imefanya au imejenga kwa phases, basi hakuna njia nyingine zaidi ya hiyo, hapana jaribu kufungua masikio usikilize watu au nchi nyingine zinafanyaje, hii inaweza kusaidia kuboresha utendaji wenu siku zijazo ili msirudie makosa.

Kama SGR ya Tanzania ingejengwa kwa mtindo wa phases kama ya Kenya, ingachukua zaidi ya miaka ishirini kukamilika, kwa sababu urefu ni zaidi ya 2000km, ukijumlisha na reli ya kusini kwenye chuma na coal, Tanzania phases zote zinaenda kujengwa kwa wakati mmoja, kwa hiyo pesa lazima ikusanywe kwa pamoja, zitapishana miezi michache tu ili kupisha kipindi cha kumpata contractor wa kujenga hiyo phase husika kwa sababu kila phase inajitegemea kwa hiyo tenda inatangazwa separately, Tanzania phase maana yake ni reli tofauti, inatangazwa tenda na watu wanaomba, sio hadi phase moja ikamilike ndiyo ianze ingine, hazihusiani wala hazisubiriani. Kiufupi BRT inajengwa kwa mtindo sawa sawa na SGR ya Kenya.

Kama nilivyokuambia, WB walishasema hawatotoa pesa kwa ajili ya SGR ya Tanzania kwa sababu wametoa pesa ya kukarabati reli ya zamani, ila pesa ya WB ikipatikana ni tamu na ulipaji wake ni wa muda mrefu na riba ni ndogo sana.
 
Tatizo ninaloliona kwako ni kudhani kwa sababu Kenya imefanya au imejenga kwa phases, basi hakuna njia nyingine zaidi ya hiyo, hapana jaribu kufungua masikio usikilize watu au nchi nyingine zinafanyaje, hii inaweza kusaidia kuboresha utendaji wenu siku zijazo ili msirudie makosa.

Kama SGR ya Tanzania ingejengwa kwa mtindo wa phases kama ya Kenya, ingachukua zaidi ya miaka ishirini kukamilika, kwa sababu urefu ni zaidi ya 2000km, ukijumlisha na reli ya kusini kwenye chuma na coal, Tanzania phases zote zinaenda kujengwa kwa wakati mmoja, kwa hiyo pesa lazima ikusanywe kwa pamoja, zitapishana miezi michache tu ili kupisha kipindi cha kumpata contractor wa kujenga hiyo phase husika kwa sababu kila phase inajitegemea kwa hiyo tenda inatangazwa separately, Tanzania phase maana yake ni reli tofauti, inatangazwa tenda na watu wanaomba, sio hadi phase moja ikamilike ndiyo ianze ingine, hazihusiani wala hazisubiriani. Kiufupi BRT inajengwa kwa mtindo sawa sawa na SGR ya Kenya.

Kama nilivyokuambia, WB walishasema hawatotoa pesa kwa ajili ya SGR ya Tanzania kwa sababu wametoa pesa ya kukarabati reli ya zamani, ila pesa ya WB ikipatikana ni tamu na ulipaji wake ni wa muda mrefu na riba ni ndogo sana.
Wakenya wengi ubishi wao unaambatana na wivu
 
Tatizo ninaloliona kwako ni kudhani kwa sababu Kenya imefanya au imejenga kwa phases, basi hakuna njia nyingine zaidi ya hiyo, hapana jaribu kufungua masikio usikilize watu au nchi nyingine zinafanyaje, hii inaweza kusaidia kuboresha utendaji wenu siku zijazo ili msirudie makosa.

Kama SGR ya Tanzania ingejengwa kwa mtindo wa phases kama ya Kenya, ingachukua zaidi ya miaka
ishirini kukamilika, kwa sababu urefu ni zaidi ya 2000km, ukijumlisha na reli ya kusini kwenye chuma na coal, Tanzania phases zote zinaenda kujengwa kwa wakati mmoja, kwa hiyo pesa lazima ikusanywe kwa pamoja, zitapishana miezi michache tu ili kupisha kipindi cha kumpata contractor wa kujenga hiyo phase husika kwa sababu kila phase inajitegemea kwa hiyo tenda inatangazwa separately, Tanzania phase maana yake ni reli tofauti, inatangazwa tenda na watu wanaomba, sio hadi phase moja ikamilike ndiyo ianze ingine, hazihusiani wala hazisubiriani. Kiufupi BRT inajengwa kwa mtindo sawa sawa na SGR ya Kenya.

Kama nilivyokuambia, WB walishasema hawatotoa pesa kwa ajili ya SGR ya Tanzania kwa sababu wametoa pesa ya kukarabati reli ya zamani, ila pesa ya WB ikipatikana ni tamu na ulipaji wake ni wa muda mrefu na riba ni ndogo sana.
Project karibia zote kubwa lazina zijengwe in phases au sections, yani compartmentalization.... Tofauti ni kwamba hizo phases zinaweza zikafanywa concurrently au separately, yani serialized au parallel...

Ya kenya haikujengwa strictly in serial phases, ni tu huu mradi ni mkubwa mno ndo maana wakaamua kujenga hadi Nairobi kwanza ianze kufanua kazi, lakini hapo mbele phase 2B,3a,3c zote zitafanywa kwa mpigo mmoja, kila phase itapewa kiongozi wake na zote zitafanyika pamoja na phases za Uganda ili reli yeti ikifika Malaba, yao itakua ilifika Kampala.

And FYI SGR ya kenya pse 1 ilifanywa na CRBC, phase 2 inafanywa na CCCC hizo mbili ni kampuni tofauti tenda tofauti, wangetaka phases zote zingefanywa kwa pamoha bila shida manake wafanikazi ni tofauti kabisa


Phase 1 ilijengwa na CRBC
httpnews_xinhuanet_comenglish2017-0609CnbbeeE005019_20170609_NBMFN0A002_11n.jpg
httpsi_ytimg_comvirCJx2NxfZmwmaxresdefault.jpg


Phase 2A inajenwa na CCCC
httpi_imgur_commEkP5fP (2).jpg
 
Project karibia zote kubwa lazina zijengwe in phases au sections, yani compartmentalization.... Tofauti ni kwamba hizo phases zinaweza zikafanywa concurrently au separately, yani serialized au parallel...

Ya kenya haikujengwa strictly in serial phases, ni tu huu mradi ni mkubwa mno ndo maana wakaamua kujenga hadi Nairobi kwanza ianze kufanua kazi, lakini hapo mbele phase 2B,3a,3c zote zitafanywa kwa mpigo mmoja, kila phase itapewa kiongozi wake na zote zitafanyika pamoja na phases za Uganda ili reli yeti ikifika Malaba, yao itakua ilifika Kampala.

And FYI SGR ya kenya pse 1 ilifanywa na CRBC, phase 2 inafanywa na CCCC hizo mbili ni kampuni tofauti tenda tofauti, wangetaka phases zote zingefanywa kwa pamoha bila shida manake wafanikazi ni tofauti kabisa
Sio kweli unayosema, ninakukatalia katakata, mradi wowote kama financer ni mmoja, lazima pesa zitolewe kwa phases, hawezi kutoa pesa yote kwa wakati mmoja, hata kama pesa yote amekubali kuitoa. Kwa mfano, kama Tanzania ingeamua kuchukua $7.6B toka China Exim bank, isingewezekana hiyo pesa yote ikapewa Serikali ya Tanzania, lazima watoe kwa phases, ikimalizika phase moja, wanakuja kukagua wakiridhika ndiyo wanatoa pesa ya phase inayofuata, ndivyo inavyofanyika kwa BRT ambapo financer ni WB, na ndivyo inavyofanyika kwa SGR ya Kenya, hawezi kutoa pesa kwa mradi wote hadi mwisho, kwa hiyo ninakuhakikishia hadi Nairobi to Naivasha ikamilike, ndiyo ujenzi wa Naivasha to Kisumu uweze kuanza sio vinginevyo, kwa sababu kunavitu vingi sana wanaangalia ambavyo ni muhimu kuvirekebisha katika hatua inayofuata, kwa mfano wakigundua kwamba sheria na taratibu mlizokubaliana wakati wa kufunga mkataba mlizikiuka, wanaweza kusimamisha kwa muda mrefu sana kutoa pesa za awamu inayofuata. Mfano mzuri ni BRT, awamo hii ya mwanzo ilipoisha, ujumbe mzito sana toka WB walikuja kukagua ukiongozwa na rais wa WB, waliporidhika ndiyo wamekubali kuachia pesa ya phase II
 
OK. Mbona tuna nunua vichwa na mabehewa toka China. Na wamesha hamza kumpeleka wanafunzi huko China...
 
Hizi nilishazipitia sana, hakuna popote wanapoonyesha route toka pwani ya East Africa kukatiza kwa reli au barabara hadi Atlantic ocean magharibi mwa Africa, yaani reli zetu hizi tunazojenga ni very internal, humu humu ndani ya East Africa, kamwe hawezi kutokea rais wa DRC aamue kujenga reli ya kuunganisha bandari za Tanzania na Kenya na Kinshasa wakati wakati Kinshasa ipo karibu na Antlantic oean
 
OK. Mbona tuna nunua vichwa na mabehewa toka China. Na wamesha hamza kumpeleka wanafunzi huko China...
China sasa hivi inaongoza duniani katika kutengeneza train za kisasa za mwendo kasi ikifuatiwa na Japan
 
Turkish firm to build high-speed railway in Tanzania

Contract valued at approximately $1.9 billion, Turkey's Yapi Merkezi says

home > world, economy 02.10.2017



By Kadir Sener Tam

DAR ES SALAAM, Tanzania

Turkish construction giant Yapi Merkezi announced Monday that it signed a $1.9 billion contract to design and construct a high-speed railway in Tanzania.

Friday's deal for the 336-km (208-mile) standard gauge railway linking Morogoro and Makutupora, both in central Tanzania, "is one of the biggest agreements signed by a single Turkish contractor abroad," Vice Chairman Erdem Arioglu told Anadolu Agency.

He said that over 1,000 Turkish engineers and other personnel would be working on the project, which includes all design works, infrastructure construction, track laying, signalization, communication systems, provision of spare parts, rail electrification and personnel training.

The railway is scheduled to be delivered in 36 months.

The project is part of the 1,224-km stretch that will eventually link Dar es Salaam with Mwanzaa city on the southern edge of Lake Victoria.

In February, Yapi Merkezi was awarded a bid to build the first part of the project -- a 205-km railway from Dar es Salaam to Morogoro -- together with Portugal's Mota-Engil Africa. The deal was valued at $1.2 billion.

Founded in 1965, Yapi Merkezi completed the Eurasia Tunnel Project in December 2016, which is an underground road link spanning Istanbul’s European and Asian sides. The project was a joint venture with SK E&C from South Korea.


Turkish firm to build high-speed railway in Tanzania
 
China sasa hivi inaongoza duniani katika kutengeneza train za kisasa za mwendo kasi ikifuatiwa na Japan
Tena ili uzipate on time inabidi utoe order mapema sana, coz zinachukua muda kutengenezwa na wana order nyingi! uki enda kichwa kichwa wanachukua mascrepa wana yapaka rangi wana kukabizi..
 
Mkuu na umesahau kuwaambia pia kipande kigumu kwa TZ ni Dar-Moro- Makutupora.Kwa sababu ya milima na mito hasa eneo la kilosa mpaka gulwe.Kuanzia Makutupora kwenda Tabora-isaka mpaka Mwanza hakuna milima na miinuko mikali zaidi ya Saranda.Kwa hiyo cost ya ujenzi inaweza kuwa chini zaidi ya hapo.
 
Back
Top Bottom