Tanzania ready for phase two of SGR from Morogoro to Dodoma

Tanzania ready for phase two of SGR from Morogoro to Dodoma

Wewe punga Peleka ujinga wako..

Achana na huyo MTOCHORO kijakazi wa mafisadi, hana lolote alijualo. Alikuwa anatumwa na mafisadi kupeleka manunuzi na noah kwa nyumba ndogo zao. Hivyo hatakuelewa unachoongea. Anaugulia machungu ya kubana uwizi.
 
September 29, 2017 / 4:00 PM / Updated 18 hours ago

Tanzania awards $1.9 bln railway contract to Turkish firm

Reuters Staff

2 Min Read

DAR ES SALAAM, Sept 29 (Reuters) - Tanzania has awarded a $1.92 billion contract to a Turkish firm to construct a 422-km (262-mile) high-speed electric railway line, part of plans to overhaul ageing transport infrastructure.

The firm, Yapi Merkezi Insaat VE Sanayi As, will design and construct the railway line, the second infrastructure project won by the company in Tanzania this year.

“After assessment of the bids, Yapi Merkezi met the technical and financial requirements,” Tanzanian state-run railway firm Reli Assets Holding Company Ltd (RAHCO) said in a statement on Friday.

Fifteen contractors submitted bids for the project.

The new standard gauge railway will replace the existing narrow gauge line built over a century ago.

The line, from Morogoro to Makutupora, both in central Tanzania, will have the capacity to transport 17 million tonnes of cargo each year, RAHCO said.

In February, Tanzania signed a deal worth $1.215 billion with a consortium of the Turkish firm and Portugal’s Mota-Engil Engenharia e Construção África, S.A. to build another 300-km railway line.

RAHCO said it would award three additional tenders over the coming months for the construction of close to 700 km of railway.

Government officials said Chinese companies were vying with Turkish firms to be awarded tenders for construction of other sections of the railway line.

Tanzania wants to profit from its long coastline and upgrade its rickety railways and roads to serve the growing economies in east and central Africa.

In total, it wants to spend $14.2 billion over the next five years to build a 2,561 km standard gauge railway network connecting its main Indian Ocean port of Dar es Salaam to its hinterland.

The port’s vast hinterland loops in eastern Democratic Republic of the Congo, Zambia, Rwanda, Burundi and Uganda. (Reporting by Fumbuka Ng‘wanakilala; Editing by Elias Biryabarema and Mark Potter)

Our Standards:The Thomson Reuters Trust

Tanzania awards $1.9 bln railway contract to Turkish firm
 
Hivi? Ni kwa nini tulikataa USD Bilioni 7 za ujenzi wa Reli hiyo? Na kuamua kujenga kwa pesa zetu kidogokidogo.?
 
Hivi? Ni kwa nini tulikataa USD Bilioni 7 za ujenzi wa Reli hiyo? Na kuamua kujenga kwa pesa zetu kidogokidogo.?

Kama tungechukua pesa hizo kutoka China tungelazimika kumpa kazi kandarasi kutoka China. Nadhani baada ya zabuni ya kwanza labda serikali iliona kuwa makandarasi wa China walikuwa na gharama kubwa ama kasoro nyingine.

Hata hivyo, sio awamu zote tutatumia pesa zetu. Maongezi yanaendelea kujaribu kupata mikopo kwa ajili ya awamu nyingine.
 
Inawezekana, ila sidhani kigezo cha kupewa Merkez ni kwa sababu pesa inatoka Turkey. Hayo mambo wamefanya wa Kenya. Kma ndyo hivyo wachina walikua tayari ku finance the entire project ili mradi tu contract ya ujenzi wapewe wao.
kwa usd 7.5b hizo ni hela nyingi sana
 
Hivi? Ni kwa nini tulikataa USD Bilioni 7 za ujenzi wa Reli hiyo? Na kuamua kujenga kwa pesa zetu kidogokidogo.?
usd 7.5b rekebisha hapo juu halafu aina ya reli ingekuww kama ya kenya ambayo sio electric
 
Djibouti ni nchi ndogo sana lakini very stable politically and economically, usichanganye kati ya Djibouti na Somali land, au Ethiopia, Djibouti wapo peace sana kisiasa na uchumi wao unafanya vizuri sana, ndiyo sababu wala husikii ikitajwa mara kwa mara, ni kama vile Mauritius, hebu tuambie unaposema Djibouti haiminiki unamaana gani?

Kuhusu Ethiopia kuwa na reli kuunganisha nchi mbili yaani Djibouti na Kenya, hakuna nchi hapa Africa yenye uwezo wa kujenga SGR mbili tofauti, hata Egypt, au South Africa hawana uwezo huo, hiyo moja tu ikikamilika ni mafanikio makubwa sana, sembuse eti wajenge ya pili, unaota mchana kweupe, sababu kubwa iliyomfanya Kagame kubadilisha wazo la kuunganisha na Mombasa ambako walishakubaliana na Uganda, Kenya, na South Sugan, ni Uganda kushindwa kuunganisha kipande cha Kampala kwenda mpaka wa Rwanda, ni kilometa hazizidi 300, itakuwa urefu wa Addis hadi Lamu?

Kuhusu usalama wa kupitisha miundombinu, umeuliza hapa Tanzania upo wapi?, jibu analo Total ya ufaransa, wao wanauona kwa sababu watu wenye mtindio wa ubongo huwa wanakosa coordination kati ya macho na ubongo, anaweza macho yakatazama kuku, lakini ubongo ukatafsiri picha ya Simba, ila sijasema kwa wewe upo hivyo

Maybe sote hapa tunapaswa kusoma zaidi juu ya China One Belt, One Road Initiative. Mifano hii hapa na hapa.

Mwisho wa siku, waChina wanataka kuunganisha Indian Ocean na Atlantic Ocean ili kupunguza shipping fees zinazotozwa kwenye Suez Canal, shipping times toka china hadi North/South America bila kuzunguka Africa Kusini n.k.
Reli hizi (SGR Kenya/Tanzania) ni part of a larger scheme ya China kujitunisha misuli kibiashara.
Lengo lao ni kupitisha bidhaa toka viwanda vyao India/China/Vietnam kwa kutumia bandari (Dar, Mombasa, Bagamoyo?, Lamu, Djibouti), Reli za SGR Kenya, Tanzania, Ethiopia etc, Mizigo itaenda hadi Angola, Nigeria na kuendelea hadi Marekani, Brazil n.k. Jamaa wanafungua trade routes mpya. Swali la kujiuliza hapa ni Je, nchi yangu imejiweka sawasawa kuchukua fursa hii kujiendeleza? Tukiendelea kutoa macho tu wenzetu watasafirisha bidhaa zao na makontena yatarudi Asia yamejaa toka marekani/Argentina/Mexico vikipitia kwetu.

Inatia huruma sana kuona WaAfrika tulivyobaki kubishana wenyewe na kushabikia SGR zenye urefu chini ya 2000 KM ilhali wenzetu wameshaona mbali na wanajijengea fursa. Tulimkosea mungu nini jamani???
 
Maybe sote hapa tunapaswa kusoma zaidi juu ya China One Belt, One Road Initiative. Mifano hii hapa na hapa.

Mwisho wa siku, waChina wanataka kuunganisha Indian Ocean na Atlantic Ocean ili kupunguza shipping fees zinazotozwa kwenye Suez Canal, shipping times toka china hadi North/South America bila kuzunguka Africa Kusini n.k.
Reli hizi (SGR Kenya/Tanzania) ni part of a larger scheme ya China kujitunisha misuli kibiashara.
Lengo lao ni kupitisha bidhaa toka viwanda vyao India/China/Vietnam kwa kutumia bandari (Dar, Mombasa, Bagamoyo?, Lamu, Djibouti), Reli za SGR Kenya, Tanzania, Ethiopia etc, Mizigo itaenda hadi Angola, Nigeria na kuendelea hadi Marekani, Brazil n.k. Jamaa wanafungua trade routes mpya. Swali la kujiuliza hapa ni Je, nchi yangu imejiweka sawasawa kuchukua fursa hii kujiendeleza? Tukiendelea kutoa macho tu wenzetu watasafirisha bidhaa zao na makontena yatarudi Asia yamejaa toka marekani/Argentina/Mexico vikipitia kwetu.

Inatia huruma sana kuona WaAfrika tulivyobaki kubishana wenyewe na kushabikia SGR zenye urefu chini ya 2000 KM ilhali wenzetu wameshaona mbali na wanajijengea fursa. Tulimkosea mungu nini jamani???
Ninakuhakikishia hizi reli za Tanzania na Kenya ni initiatives za nchi hizi mbili kwa faida ya hizi nchi mbili, china zaidi ya kufanya biashara ya kukopesha pesa na kupata tenda za ujenzi sidhani kama huko kwengine kuna muhusu sana, kama lengo ni kupitisha mizigo yake kwanini asichangie japo nusu ya gharama, kwanini ajenge reli mbili au tatu ambazo zote sinaelekea sehemu moja, huoni huko ni kujimaliza kibiashara, kwanini akubali kujenga reli ya mwendokasi mdogo, 80km/hr kutoka Mombasa hadi pwani ya Antlantic si ni bora kuzunguka kwa meli kupitia Cape Town, wewe kwa maoni yako, hizi reli zetu unadhani zitafika mbali?, yaKenya mwisho wake ni Kampala, kama Museven hatobadilisha mawazo, mbeli kabisa ni Juba, endapo South Sudan itatulia, ile ya Tanzania mwisho ni Kigali, kama Kagame hatobadilika, mbali kabisa ni Eastern DRC, kama hiyo nchi itatulia, beyond those areas, ni ndoto za mchana, na kama ikitokea ni baada ya vizazi vinne toka sasa, may be a hundred years from today
 
kwa usd 7.5b hizo ni hela nyingi sana
Mkuu najua ilikua USD 7.6 B, Ila mimi sijasema nipesa ndogo wala sija shauli tungechukua. Ninacho sema sizani kama kigezo cha kupewa tender Markez ni kwa sababu Turkey ame finance project. Kweli kwa USd7.6 b kwa style hii ya Magu mpaka project ina isha tunaeza tuka tumia the same amount au less halafu full electric.
 
Ninakuhakikishia hizi reli za Tanzania na Kenya ni initiatives za nchi hizi mbili kwa faida ya hizi nchi mbili, china zaidi ya kufanya biashara ya kukopesha pesa na kupata tenda za ujenzi sidhani kama huko kwengine kuna muhusu sana, kama lengo ni kupitisha mizigo yake kwanini asichangie japo nusu ya gharama, kwanini ajenge reli mbili au tatu ambazo zote sinaelekea sehemu moja, huoni huko ni kujimaliza kibiashara, kwanini akubali kujenga reli ya mwendokasi mdogo, 80km/hr kutoka Mombasa hadi pwani ya Antlantic si ni bora kuzunguka kwa meli kupitia Cape Town, wewe kwa maoni yako, hizi reli zetu unadhani zitafika mbali?, yaKenya mwisho wake ni Kampala, kama Museven hatobadilisha mawazo, mbeli kabisa ni Juba, endapo South Sudan itatulia, ile ya Tanzania mwisho ni Kigali, kama Kagame hatobadilika, mbali kabisa ni Eastern DRC, kama hiyo nchi itatulia, beyond those areas, ni ndoto za mchana, na kama ikitokea ni baada ya vizazi vinne toka sasa, may be a hundred years from today
Before we proceed Have you read on the OBOR first?
 
usd 7.5b rekebisha hapo juu halafu aina ya reli ingekuww kama ya kenya ambayo sio electric

halafu ingekuwa 120km/hr, na wangeleta mabehewa kama yale waliowapelekea kenya, na riba nasikia ilikuwa kubwa.
 
Mkuu najua ilikua USD 7.6 B, Ila mimi sijasema nipesa ndogo wala sija shauli tungechukua. Ninacho sema sizani kama kigezo cha kupewa tender Markez ni kwa sababu Turkey ame finance project. Kweli kwa USd7.6 b kwa style hii ya Magu mpaka project ina isha tunaeza tuka tumia the same amount au less halafu full electric.
Mpaka saivi tumeshasaini mkataba wa Ujenzi wa sgr km's zaidi ya 500 kwa pesa haizidi 2.7 billion.

Reli awamu ya kwanza ni 1000 km's na kichele hivyo unaweza kuona gharama halisi ukizingatia hii ni ya umeme lakini ya kichina ya 7 billion ilikua ya diesel na chini ya 120km kwa saa.

Yetu kuanzia Dodoma itakua 200km kwa saa
 
Mpaka saivi tumeshasaini mkataba wa Ujenzi wa sgr km's zaidi ya 500 kwa pesa haizidi 2.7 billion.

Reli awamu ya kwanza ni 1000 km's na kichele hivyo unaweza kuona gharama halisi ukizingatia hii ni ya umeme lakini ya kichina ya 7 billion ilikua ya diesel na chini ya 120km kwa saa.

Yetu kuanzia Dodoma itakua 200km kwa saa
Good stuff... ila Dar-Moro ilikua approx 1.2 na Moro-Dom approx 1.9, Total ina gonga 3.1 b. I stand to be corrected, Otherwise our project is superb n way cheaper.
 
Hahaha ndugu yangu Kafrica, nimefurahi sana kukuona tena, maana kule kwenye mdahalo ulipotea ghafla kule hadi nikawa na wasiwasi, karibu tena kwenye mdahalo huu

Kila kitu kizuri ni lazima ukitolee jasho, pesa ya WB huwa ni nzuri sana, masharti yake ya kulipa ni mepesi sana, na huwa inakuwa nyingi, riba ni ndogo sana, grace period ni ndefu sana, na mambo mengine mazuri mazuri kuliko bank za biashara, nchi zote duniani ikiwemo Marekani wanapotaka kukopa kwanza wanaanza na WB, kabla ya kwenda China, kwa hiyo lazima wawe na mlolongo mrefu kabla hawajazitoa pesa zao, ila ukizipata, unapeta sana.

Kama hutaki huo mlolongo, benki za kibiashara zinakusubiri kwa hamu kubwa sana, hao Exim Bank, watakupa haraka sana, lakini kabla hata pesa hujaitia mikononi, tayari riba inakungoja. Kwa Tanzania tumepata pesa nyingi sana za WB, kuanzia upanuzi wa bandari ya Dar, BRT, miradi ya maji, umeme, na juzi wameahidi kutoa tena taktriba $2B, kwa hiyo huu wa SGR walishasema hawatoweza kujenga reli mbili katika nchi moja, wao ndiyo wanaokarabati reli ya kati ya zamani
Nimekua busy sana, kuhama nyumba, kazi mpya laptop mpya...nk
Anyway nikirudi vizuri mtandaoni nitajaribu ku reply kulingana na timing...

Anyway ninachosema kuhusu WB, kama unataka mmalize ujenzi wa SGR yenu 2030 basi endeni na WB, kumbuka SGR sio mradi wa mpigo mmoja kama BRT au bandari, Sgr ni mradi wa phases,sections...etc pesa hazitatolewa kwa hatua moja mtakua mnapewa nusu mwaka huu alafu mnaambiwa mgonje tena mwaka ujao ndo mpewe pesa za section 2,3..
 
Back
Top Bottom