usatrumpjr
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 2,237
- 2,898
Na we ni mwanasihaasa?usiwe na wasiwasi mkuu, mambo mazuri yanakuja, sasa hivi utaenda kushangaa Lake Tanganyika ukitokea Dar ndani ya masaa tisa utakuwa Kigoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na we ni mwanasihaasa?usiwe na wasiwasi mkuu, mambo mazuri yanakuja, sasa hivi utaenda kushangaa Lake Tanganyika ukitokea Dar ndani ya masaa tisa utakuwa Kigoma
Kwakwel tusubiri tuone...nadhani watazingatia na mashart nafuu ya huo mkopo...Umeuliza swali zuri sana, ninataka kujaribu kutabiri, japo ukweli utajulikana hiyo saa ya kusaini huo mkataba
1)Turkey Exim Bank
2)AfDB
3)GoT na Turkey Exim Bank
Ngoja tusubiri tutajua ukweli soon.
nawakilisha hao ndugu zetu wa siasaniNa we ni mwanasihaasa?
Basi sina imani na ww pianawakilisha hao ndugu zetu wa siasani
Ni kweli sababu AfDB walisema wana uwezo wa kufinance mradi wote.Umeuliza swali zuri sana, ninataka kujaribu kutabiri, japo ukweli utajulikana hiyo saa ya kusaini huo mkataba
1)Turkey Exim Bank
2)AfDB
3)GoT na Turkey Exim Bank
Ngoja tusubiri tutajua ukweli soon.
Tulivyonunua ndege cash walilalamika... Tunakopa na kujenga reli nayo wanalalamika..Wapi wamesema hyo pesa imetoka World bank!! BTW its economical efficient to lend to finance such projects in countries like TZ.
Mwanasiasa akiwa analalamika hivyo huwaga naelewa anatetea tumbo lake. Tatizo kuna watu wana meza maneno ya wanasiasa na kuya tapika kma yalivyo! Huwaga wananichosha sanaTulivyonunua ndege cash walilalamika... Tunakopa na kujenga reli nayo wanalalamika..
Sasa wanataka tufanyaje?
Hivi zile USD 500 m kutoka credit suisse haziletwi uku. Mm nahisi kuna baadhi zitaletwa uku kma siyo zote..Umeuliza swali zuri sana, ninataka kujaribu kutabiri, japo ukweli utajulikana hiyo saa ya kusaini huo mkataba
1)Turkey Exim Bank
2)AfDB
3)GoT na Turkey Exim Bank
Ngoja tusubiri tutajua ukweli soon.
Hii mnatoa wapi wadau???Hii ni toka Mor to Dom. Phase 3 Dom to TAB. TAB to KGM. Phase 5 TAB to MWZ
ha ha ha usihofu mkuu kila kitu kitakamilika...Basi sina imani na ww pia
Wewe punga Peleka ujinga wako..Hivi umewahi kusafiri Mombasa to Nairobi unajua kulikuwa kuna Malori mangapi hapo njiani hizo tu zinatosha SGR ya Nairobi Mokbasa kuwa bize.
Sasa hii ya Dar Moro inaenda kuleta nini mkaa au wapogoro
Hivi sisi TAZARA japo Kenya hawakuwahi kuwa na kiwango cha reli kama hiyo imekuwa na mzigo wa kutosha?
Yaani wewe kuliwa unadhani na mimi NadungwaWewe punga Peleka ujinga wako..
Unajua msafara wa mamba hata kenge wapo ndio maana mjadala unakuwa mgumu,vichwa maji wengiya kwanza hata haijaanza
Tulivyonunua ndege cash walilalamika... Tunakopa na kujenga reli nayo wanalalamika..
Sasa wanataka tufanyaje?
Itakuwa Mkenya anakubong'olesha..Yaani wewe kuliwa unadhani na mimi Nadungwa
Inawezekana, ila sidhani kigezo cha kupewa Merkez ni kwa sababu pesa inatoka Turkey. Hayo mambo wamefanya wa Kenya. Kma ndyo hivyo wachina walikua tayari ku finance the entire project ili mradi tu contract ya ujenzi wapewe wao.pesa atakuwa ametoa exim bank ya Turkey ndo maana mkandarasi amepewa tena Yap Merkez