Tanzania, Rwanda na Uganda zaunda soko moja la hisa

Tanzania, Rwanda na Uganda zaunda soko moja la hisa

Wakenya wamelalamika lini kwamba wanatengwa na wametengwa kivipi? Mradi wenyewe ni wazo la World Bank kwa 100%, wale wale mnaopenda kuwaita 'mabeberu'. Wameubuni wao, wamewashawishi mjiunge wao wenyewe, wanautekeleza wao. Ila Kenya tukajiondoa kwasababu ya ukosefu wa uwazi kwenye kuipa kampuni ya Pakistan kandarasi ya kutekekeza mradi wenyewe. Unachekesha unaposema mnasonga mbele, wakati Stock Exchange zenu zote kwa pamoja, UG, Tz na RW ni karibia nusu ya Nairobi SE. Kwani Kenya imefika hapo ilipo kwa usaidizi wa nani?
Fanyeni mpango wa kuikomboa bandari ya Mombasa Kwanza kwa wachina
 
Tupeni list ya owners wa Kampuni zilizokuwa listed NSE. Nina uhakika Asilimia Kubwa ni wazungu hiyo ni tofauti na Rwanda, Uganda na Tanzania.
 
Mlishindwa kutufikia 2010 wakati tofauti ya GDP kati ya Kenya na Tanzania ilikuwa $8 billion pekee, sahi ni $42 billion mtawezana?

Dah! Hivi hawa wazembe nini kiliwtendekea mpaka tukapiga hatua za haraka na kuwaacha, ila kama tofauti ilianza kuongezeka 2010 ina maana katiba mpya ndio ilitunufaisha, wao wameshindwa kabisa kwenye suala la katiba. Leo hii maendeleo kwao huendana na anavyohisi au alivyoamka mkulu, na anaisema wazi bila kuficha kwamba kuna maeneo hatowapa maendeleo hadi waache kuchagua upinzani.
 
If you have no business with Kenya then why are you mentioning Kenya in all your discussions?
Just imagine how hard it is for a priest to deliver a meaningful homily without mentioning the devil.
 
Huyu jamaa ndio anajua nini kinachoendelea

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app

Wengi tu wanajua hivyo, sema inakuwa ngumu kutamka na kukubali hadharani. Wamejawa na chuki na hasira tu wamevimba kama vifutu...huoni wanavyorusha matusi hovyo hovyo? Na kuokoteza vi maneno/habari vya kujipa furaha....

Mashati mwenyewe imembidi akale upepo wa bahari kuzindua vitu ambavyo hamna....🤣🤣
 
Wengi tu wanajua hivyo, sema inakuwa ngumu kutamka na kukubali hadharani. Wamejawa na chuki na hasira tu wamevimba kama vifutu...huoni wanavyorusha matusi hovyo hovyo? Na kuokoteza vi maneno/habari vya kujipa furaha....

Mashati mwenyewe imembidi akale upepo wa bahari kuzindua vitu ambavyo hamna....[emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
That's why they are combining their energies, remember now you talk Stock Exchange that services three countries with different opportunities and population of over 120M, and GDP of over $110B.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
This is a combination of poorest countries. Next time usijaribu kusema Magu ama TANZANIA ni babalao.
 
Kenya iliongoza kundi la nchi tatu za Kenya, Rwanda and Uganda kuunda "Coalition of the Willing", Kenya failed terribly.

Tanzania is leading this cooperation, let's wait and see [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
This is funny..Tanzania is leading with what?
 
Kenya haiwezi na haitawahi ingia katika muungano wa kifedha na nchi ambayo haijui hata kulinda sarafu yao. Wataweza stock exchange.

Hiyo ndiyo makosa ujerumani walifanya na sasa wajerumani wanalalamika wanataka deutsch mark yao irudishwe. Britain ilikataa pia kuingia muungano kama hiyo na eu.

Kuingia muungano wa kifedha na Tanzania ni kama kuita abunuwasi ama juha kalulu awe accountant wako.

Ndiyo maana Bank of kigali iliamua kuingia Nairobi stock exchange(nse) na sio dse ama use.

“It was very natural that Nairobi will be our first market for international listing. The liquidity at the Nairobi exchange is very impressive (and) the custodial services here satisfy the investors who want that comfort,” Bank of Kigali Group chair March Holtzman said.

Hata kampuni ya Uganda "Umeme" pia iliamua kuingia nse mwaka wa 2012 mwezi wa december.
Mkuu unafahamu stock exchanges zinavyofanya kazi zake? Hakuna pesa yoyote inayolindwa na Stock exchanges popote pale duniani labda tupe mfano.
 
This is a combination of poorest countries. Next time usijaribu kusema Magu ama TANZANIA ni babalao.
Yaani ukijumuisha Stock exchange ya hizi nchi tatu (TZ $6B, UG $5B, RW $3 B) unapata $14 billion na huku stock exchange ya Kenya ni $22 billion. Yaani sisi tumedouble hizi nchi malazy tatu combined.
Hivi inafahamu nani wananunua hizo shares? Waafrika bado safari ni ndefu sana.
 
Mkuu unafahamu stock exchanges zinavyofanya kazi zake? Hakuna pesa yoyote inayolindwa na Stock exchanges popote pale duniani labda tupe mfano.
Mkuu najua na ninafahamu vizuri sana. Ila hii ilikuwa iwe mwanzo wa kutengeneza muungano wa kifedha na hiyo tunakataa kabla ianze.
 
Mkuu najua na ninafahamu vizuri sana. Ila hii ilikuwa iwe mwanzo wa kutengeneza muungano wa kifedha na hiyo tunakataa kabla ianze.
Sijaona mahali popote walipoongelea muungano wa kipesa.

''Three East African countries have joined forces to implement a World Bank-funded financial project that aims to connect regional stock markets electronically. This means they can operate as a single market with a view of reducing the cost and time of trading in shares of companies listed on markets across the borders.

Uganda, Rwanda and Tanzania are set to start trading as a single market before the end of this year (2020) after interconnecting their trading systems and hooking to the EAC Capital Markets Infrastructure (CMI) Information Technology platform.''
 
Hivi inafahamu nani wananunua hizo shares? Waafrika bado safari ni ndefu sana.
Zungumza kuhusu Tanzania, huku Kenya wakenya wa kawaida wananunua hisa kila siku kupitia vyama na kibinafsi. Makampuni mengi Kwenye nse wanaomiliki hisa nyingi ni wakenya wa kawaida.
Wengine wananunua hisa kupitia investment funds kama equity funds za cyton, pension schemes na sacco.
 
Sijaona mahali popote walipoongelea muungano wa kipesa.
" The EAC Capital Markets Infrastructure project is part of the World Bank’s $26.18 million project which was approved in March 2011 to lay a foundation for the financial sector integration among the EAC member states ahead of the implementation of a single currency regime whose initial 2024 deadline is a subject of review. "

Ulisahau kusoma hiyo hapo juu. Hii ndiyo tunakataa kabla ianze mpaka mabadiliko ifanyike la sivyo Kenya ndiyo itaumia kwa kuwa tuko na mengi ya kupoteza ikiwa uwazi haitakuwa.
 
Zungumza kuhusu Tanzania, huku Kenya wakenya wa kawaida wananunua hisa kila siku kupitia vyama na kibinafsi. Makampuni mengi Kwenye nse wanaomiliki hisa nyingi ni wakenya wa kawaida.
Wengine wananunua hisa kupitia investment funds kama equity funds za cyton, pension schemes na sacco.
Wacha uongo wewe exchanges zote within the region zinakuwa active when foreigners are active. Kwa hiyo ile mada yako ya kwanza umeshindwa sasa unabadili gia angani? Huo ndio wendawazimu wenyewe.
 
Back
Top Bottom