Hao ccm wenyewe wachache ndio wanakula nchi wapo hao wengine ni walala hoi ndio maana wabunge wakirudi majimboni wanagawa 10k wanapewa support angalia mtu kama nape hana msaada wowote kwa wananchi anatetea makampuni ya simu ila walivyo wapumbavu wananchi wake watampigia tena kura wakati now wanaumia kama kawaidaMbona huo uchumi hauakisi Maisha ya watanzania?au unakua Kwa wanaccm Tu?
Ndiooo ujinga watanzania mbunge hajafanya kitu wala hajatetea maslahi ya wananchi katetea makampuni yamewanyonya wananchi kapewa ten percent yake uchaguzi ujao unamchagua tena watanzania tutajielewa liniHao ccm wenyewe wachache ndio wanakula nchi wapo hao wengine ni walala hoi ndio maana wabunge wakirudi majimboni wanagawa 10k wanapewa support angalia mtu kama nape hana msaada wowote kwa wananchi anatetea makampuni ya simu ila walivyo wapumbavu wananchi wake watampigia tena kura wakati now wanaumia kama kawaida
Takwimu hizo hukua tu kama mtoto mdogo hata wakati wa Mwendazake uchumi ghafi wa nchi ulikuwa.TAKWIMU mpya za IMF zinaonesha kuwa Pato la Taifa la Tanzania limeongezeka hadi kufikia Dola za Marekani Bilioni 85.42 (Tsh trilioni 200) kwa mwaka huu wa 2023 ikiwa ni ishara kuwa sera za uchumi za Rais Samia Suluhu zinaleta mageuzi makubwa nchini
Kwa ukuaji huu ni dhahiri kuwa uchumi wa Tanzania sasa ni mkubwa kuliko baadhi ya nchi za Ulaya kama Croatia, Lithuniam Serbia na Slovenia, hatua ambayo imerejesha imani ya wawekezaji kuendelea kuwekeza nchini.
Sasa Tanzania inashika nafasi ya 6 kati ya nchi 10 za kusini mwa jangwa la Sahara zenye uchumi mkubwa zaidi Lakini pia kwa mujibu wa IMF uchumi wa Tanzania unatarajiwa kukua kufikia Trilioni 318 ifikapo mwaka 2028
Sasa imagine tukifika na Rais Samia Suluhu hadi 2030 Tanzania tutaongoza kwa uchumi mkubwa afrika nzima
Sababu tuna population kubwa but interms of per capita income tuko chini ,data za economic growth sio za kujivunia sana sababu huangalia pato la jumla na sababu tuna population kubwa tutaonekana tupo juu tuTAKWIMU mpya za IMF zinaonesha kuwa Pato la Taifa la Tanzania limeongezeka hadi kufikia Dola za Marekani Bilioni 85.42 (Tsh trilioni 200) kwa mwaka huu wa 2023 ikiwa ni ishara kuwa sera za uchumi za Rais Samia Suluhu zinaleta mageuzi makubwa nchini
Kwa ukuaji huu ni dhahiri kuwa uchumi wa Tanzania sasa ni mkubwa kuliko baadhi ya nchi za Ulaya kama Croatia, Lithuniam Serbia na Slovenia, hatua ambayo imerejesha imani ya wawekezaji kuendelea kuwekeza nchini.
Sasa Tanzania inashika nafasi ya 6 kati ya nchi 10 za kusini mwa jangwa la Sahara zenye uchumi mkubwa zaidi Lakini pia kwa mujibu wa IMF uchumi wa Tanzania unatarajiwa kukua kufikia Trilioni 318 ifikapo mwaka 2028
Sasa imagine tukifika na Rais Samia Suluhu hadi 2030 Tanzania tutaongoza kwa uchumi mkubwa afrika nzima
Umenena kweli,nadhani huyo kakurupuka toka bafuni tu bila hata taulo. Wachambuzi wengine uchwara na uchawa tu.Usiongee ukubwa wa uchumi, ukubwa wa uchumi unaweza kutokana na ukubwa wa nchi na wingi wa watu tu.
Kwa mfano, ukilinganisha nchi kama Tanzania yenye watu milioni 64 na nchi kama Croatia yenye watu milioni 4, ni rahisi nchi yenye watu milioni 64 kuwa na uchumi mkubwa, lakini, je, ukiuchukua huo uchumi mkubwa na kuugawanya kwa watu milioni 64 utapata wastani mkubwa kuliko ukiuchukua uchumi mdogo wa nchi ya Croatia ukaugawanya kwa watu milioni 4?
Mtu wa Croatia kwa wastani alijenga uchumi kwa US $ 17,685 kwa hesabu za mwaka 2021.
Mtu wa Tanzania kwa wastani alijenga uchumi kwa US $ 1,099 kwa hesabu za mwaka 2021.
Hapo sasa hata Tanzania ikiizidi Croatia kwa size ya uchumi, utasema imeizidi Croatia kiuchumi?
Ongelea GDP per capita, hapo ndipo utaona wastani wa mchango wa kila mtu katika uchumi.
Ukiongelea GDP per capita ndiyo utaona ufanisi wa uchumi.
Wakati mwingine ukisoma posts Kama hizi unaweza kudhani nchi inawatu na viongozi waliolaaniwa. Nchi ya watu wasiofikiri na kama wanafikiria basi wanafikirishwa na wanaotaka sifa au wameamua kusifia wafikie kusudio lao.TAKWIMU mpya za IMF zinaonesha kuwa Pato la Taifa la Tanzania limeongezeka hadi kufikia Dola za Marekani Bilioni 85.42 (Tsh trilioni 200) kwa mwaka huu wa 2023 ikiwa ni ishara kuwa sera za uchumi za Rais Samia Suluhu zinaleta mageuzi makubwa nchini
Kwa ukuaji huu ni dhahiri kuwa uchumi wa Tanzania sasa ni mkubwa kuliko baadhi ya nchi za Ulaya kama Croatia, Lithuniam Serbia na Slovenia, hatua ambayo imerejesha imani ya wawekezaji kuendelea kuwekeza nchini.
Sasa Tanzania inashika nafasi ya 6 kati ya nchi 10 za kusini mwa jangwa la Sahara zenye uchumi mkubwa zaidi Lakini pia kwa mujibu wa IMF uchumi wa Tanzania unatarajiwa kukua kufikia Trilioni 318 ifikapo mwaka 2028
Sasa imagine tukifika na Rais Samia Suluhu hadi 2030 Tanzania tutaongoza kwa uchumi mkubwa afrika nzima