Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 10,677
- 11,768
Minaunga mkono wanaosama mzigo upigwe wiki nzima hakuna mapumziko ila iwe huru kuwa mtu atakapoona mda wa ibada kwa dini yake umeingia basi rukhsa akaabudu kuliko ilivyo sasa ni dini moja2 enye kupewa siku mbil kwenda kuabudu hakika huo ni upendeleo, ndio maana waelevu tuna pinga hoja kua serkali haina dini