Lita.....lita....lita....Daraja litakalopita juu ya NNP ukiliangalia kwa mara ya kwanza linakaa kama floating tunnel, lakini ukilichunguza zaidi unagundua ni daraja la kawaida tu, ni vile huko juu wamelivalisha kofia ili liwe sound proof
View attachment 704931
Wasisahau na bahari kuhamisha Dodoma, Kwataarifa yako hiyo mipango ya maendeleo ya dodoma ilikuwa tangu miaka ya 80. Kila kiongozi anaechukua kijiti ana edit kwa namna yake kisha vinatiwa kapuni.[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Kaangalie na mipango iliyopo dodoma ...kwanza ile planning ya mji tu ni nzuri
Bado ringroads na reli ya mjini kati ...
Magu hakucheza fair kurekebisha ile airport sasa maana ipo town lakini bado msalato airport iliyopo nje ya mji haijawekwa pending ...
Usiiache Bandari kavu na bado sgr itapita dodoma ....Dodoma is doing just fine na ningependa lije kuwa jiji dogo lakini zuri zaidi kuliko tuliyonayo
kwahiyo kuhama toka mjini kwenda kijijini ni maendeleo? sawa kama hivyo ndivyoKuhamia Dodoma ni maendeleo pia
kuna mpango pia wakuunga hii SGR na Terminal 3 ya Julius Nyerere International Airoport.
kwahiyo maendeleo unayatoa mjini kisha unayapeleka mjni? unajua ilichukua miaka mingapi mjini kuwa mjini? Mjini unaweka bajeti ya bilioni 700 kwa mwaka alafu kijijini unaweka milioni 40 kisha unategemea kijijini nako kuwe kama mjini?Unapeleka maendeleo vijijini.
Nchi nyingi duniani zimeshafanya hii kitu.......Acha makao makuu yahamie Dodoma. Faida ni nyingi mno kuliko hasara.kwahiyo maendeleo unayatoa mjini kisha unayapeleka mjni? unajua ilichukua miaka mingapi mjini kuwa mjini? Mjini unaweka bajeti ya bilioni 700 kwa mwaka alafu kijijini unaweka milioni 40 kisha unategemea kijijini nako kuwe kama mjini?
Acha kulia lia.Hanna kitu hapo, the only thing is the overhead rings that make the bridge esthetically cool, but ukiondoa hizo rings ni daraja tu!
unatokwa na machozi moyoni.. usoni una eka tabasamu [emoji13]Craaaaazy Renders....πππππππ
Natabasamu kuona renders pia naliaaa kimoyomoyo nikijua hizo bridges hazipo bado ama uko na picha zake?unatokwa na machozi moyoni.. usoni una eka tabasamu [emoji13]
Lol...bruhdar "modern" small ferry
Naona unajaribu kuamisha magori. Tupo kwenye brhdges mkuudar "modern" small ferry
ZOTE ZIPO KWENYE WATER TRANSPOTATION SECTORππNaona unajaribu kuamisha magori. Tupo kwenye brhdges mkuu
Sijakataa ila nakwambia kuwa unajua hadithi hii ilianza lini? unajua kuwa miaka ya themanini nchi nzima kila kaya ilikuwa inachangishwa pesa kwaajili ya maendeleo ya CDA?Nchi nyingi duniani zimeshafanya hii kitu.......Acha makao makuu yahamie Dodoma. Faida ni nyingi mno kuliko hasara.
Kuhama kwa serikali hakutaadhiri hadhi ya jiji la Dar hata kidogo.
Kwakua safari hii wameamua kuhama kwa vitendo tujaribu kuwekana sawa ili mambo yawe mazuri, tuki anza mbona mwaka 70 ilikua hivi itakua tunapiga mark time tu.Sijakataa ila nakwambia kuwa unajua hadithi hii ilianza lini? unajua kuwa miaka ya themanini nchi nzima kila kaya ilikuwa inachangishwa pesa kwaajili ya maendeleo ya CDA?
Sawa!! ngoja tuone ( kwasauti ya kulalamika)Kwakua safari hii wameamua kuhama kwa vitendo tujaribu kuwekana sawa ili mambo yawe mazuri, tuki anza mbona mwaka 70 ilikua hivi itakua tunapiga mark time tu.
Hata zile tunnel za phase 2A zinajengwa na urefu wa kukubali nyaya za stima kupita juuHahaaa... inaonekana hiyo mitungi yenu ni noisy polluter [emoji13] kama mngengoja kidogo kaka zenu tuanze msinge fanya hiyo mistake ya ku accept train za Era ya kina Mussolini.
Hivi ile plan ku electrify bado ipo! na ikifika mtabomoa hizo kuta za juu ya daraja?