REDEEMER.
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 8,925
- 14,890
November 8 2016 kampuni hodhi ya rasilimali za Reli ‘RAHCO’ ilitangaza zabuni kwenye mradi wa ujenzi wa reli ya umeme kiwango cha ‘Standard Gauge’ kipande cha Morogoro-Makutopora. Kampuni ya Yapi Merkezi Insaat ve Sanayi A.S ya Uturuki ilionekana kukidhi vigezovya kiufundi na kifedha.
Leo September 28 2017 Serikali ya Tanzania imetia saini mkataba wa pili wa kujenga reli mpya ya Standard Gauge yenye uwezo wa kusafirisha mizigo ya tani MILIONI 17 kwa mwaka. Reli itakuwa inapitisha treni za umeme zenye mwendokasi wa kilomita 160 kwa saa.
Reli hii kutoka Morogoro hadi Makutupora itakua na makalavati 123 na Madaraja 243
Pia kutakua na tunnels refu zitakazopitisha treni chini ya milima kadhaa.
Tuangalie madaraja ya juu yatakayojengwa maeneo yenye barabara kwa upande wa Tanzania dhidi ya daraja lililokatiza juu ya mbuga ya wanyama ya Nairobi nchini Kenya
Tanzania
Kenya
Ikumbukwe Tanzania SGR yenye umeme inagharimu USD 3 million kwa kilometer moja wakati Kenya iligharimu USD 3.4 million kwa kilometer moja bila umeme.
Leo September 28 2017 Serikali ya Tanzania imetia saini mkataba wa pili wa kujenga reli mpya ya Standard Gauge yenye uwezo wa kusafirisha mizigo ya tani MILIONI 17 kwa mwaka. Reli itakuwa inapitisha treni za umeme zenye mwendokasi wa kilomita 160 kwa saa.
Reli hii kutoka Morogoro hadi Makutupora itakua na makalavati 123 na Madaraja 243
Pia kutakua na tunnels refu zitakazopitisha treni chini ya milima kadhaa.
Tuangalie madaraja ya juu yatakayojengwa maeneo yenye barabara kwa upande wa Tanzania dhidi ya daraja lililokatiza juu ya mbuga ya wanyama ya Nairobi nchini Kenya
Tanzania
Kenya
Ikumbukwe Tanzania SGR yenye umeme inagharimu USD 3 million kwa kilometer moja wakati Kenya iligharimu USD 3.4 million kwa kilometer moja bila umeme.