Tanzania SGR Bridges vs Kenyan

Tanzania SGR Bridges vs Kenyan

November 8 2016 kampuni hodhi ya rasilimali za Reli ‘RAHCO’ ilitangaza zabuni kwenye mradi wa ujenzi wa reli ya umeme kiwango cha ‘Standard Gauge’ kipande cha Morogoro-Makutopora. Kampuni ya Yapi Merkezi Insaat ve Sanayi A.S ya Uturuki ilionekana kukidhi vigezovya kiufundi na kifedha.

Leo September 28 2017 Serikali ya Tanzania imetia saini mkataba wa pili wa kujenga reli mpya ya Standard Gauge yenye uwezo wa kusafirisha mizigo ya tani MILIONI 17 kwa mwaka. Reli itakuwa inapitisha treni za umeme zenye mwendokasi wa kilomita 160 kwa saa.

Reli hii kutoka Morogoro hadi Makutupora itakua na makalavati 123 na Madaraja 243
Pia kutakua na tunnels refu zitakazopitisha treni chini ya milima kadhaa.

Tuangalie madaraja ya juu yatakayojengwa maeneo yenye barabara kwa upande wa Tanzania dhidi ya daraja lililokatiza juu ya mbuga ya wanyama ya Nairobi nchini Kenya

Tanzania View attachment 598855View attachment 598856 View attachment 598857 View attachment 598858

Kenya
View attachment 598859 View attachment 598860 View attachment 598861

Ikumbukwe Tanzania SGR yenye umeme inagharimu USD 3 million kwa kilometer moja wakati Kenya iligharimu USD 3.4 million kwa kilometer moja bila umeme.
Nashukuru umeleta vitu vyenye akili. Mwenye macho haambiwi tazama but kwa kuwa sisi wengi wetu ni bongo lala, hatujawahi kutumia muda wetu kujadili mambo makubwa kama haya. Ni ngumu kusifia kitu chako hadi kikutoke lakini kingejengwa kwingine, ungesikia maneno yasiyokwisha.
 
Motochini ndio mrundi najua cha ukweli!!
Huyo jamaa ndio katibu mkuu wa mashabiki wa ccm, bujumbura section...kila siku huwa na sema humu immigration wa tz hovyo sana, sisi tulishamjua alivoingiaga kenya na kanzu yake anazuga zuga tu eti anaenda mombasa.
 
Huyo jamaa ndio katibu mkuu wa mashabiki wa ccm, bujumbura section...kila siku huwa na sema humu immigration wa tz hovyo sana, sisi tulishamjua alivoingiaga kenya na kanzu yake anazuga zuga tu eti anaenda mombasa.
Alijifanya ustadh na kanzu yake Mombasa wakamchuja. Hehe! Alipost hadi picha zake hapa utadhani ndo alikuwa amefika ulaya. Yaani kale kakofia ka walai hungekaona ana bonge la bichwa *****, walai yake ungedhani ni kile kijitambaa cha kichwani chake Papa mtakatifu. 😀
 
Wakenya nimeshawasoma mkiona mada imewakamata mbavu hamna pakutokea mnaanza kuleta vitu nje ya mada, kiukweli huyu mleta mada amewafangua macho kwamba sgr yenu ilikua ni wizi mtupu japo mpaka saivi aliyelitambua hilo ni mmoja tu kati yenu nyote.
 
Alijifanya ustadh na kanzu yake Mombasa wakamchuja. Hehe! Alipost hadi picha zake hapa utadhani ndo alikuwa amefika ulaya. Yaani kale kakofia ka walai hungekaona ana bonge la bichwa *****, walai yake ungedhani ni kile kijitambaa cha kichwani chake Papa mtakatifu. 😀
Nlimshangaa Sana huyo mrundi, anajianika humu mitandaoni huku anajua anatumia hati feki za usafiri eti yeye ni mtanzania, niliwatumiaga immigration wetu hizo information na sasa wanamlia timing tu hapo mpakani siku anaingiza pua tu, analala cello kisha ataleta mrejesho humu[emoji191]
 
Nashukuru umeleta vitu vyenye akili. Mwenye macho haambiwi tazama but kwa kuwa sisi wengi wetu ni bongo lala, hatujawahi kutumia muda wetu kujadili mambo makubwa kama haya. Ni ngumu kusifia kitu chako hadi kikutoke lakini kingejengwa kwingine, ungesikia maneno yasiyokwisha.
Bahati nzuri hao ni wachache sana kati ya mamilioni wenye akili na tunaotambua hizi harakati za JPM.

Vivaa JPM
Hautasahaulika kamwe
 
kiukweli, ni uchungu sana kusema ila hongereni watanzania heri nyie mnaletewa treni za kisasa...hata bridges naona ziko poa sana...most importantly, hamjaibiwa kama wananchi...huku kwetu, treni ni za diesel ila zimekuwa ndio bei ghali kabisa kuliko zote...SMH Mr. Magu, I respect you...sisi tunafuata nyayo za Nigeria jinsi corruption inavotutafuna...juzi tu tumeshindwa kujenga stadium zitakazotumika kwa CHAN ilhali Rwanda ili host mchezo huo vizuri kabisa...🙁🙁🙁sasa hivi tuna vuta nikuvute kati ya serikali, opposition, electroral commission na Supreme court, wakenya wanaumia kwa njaa, wengine hawana makao wanaofaa kuishi wanadamu..vijana hawana ajira.🙁🙁🙁 yaani wanasiasa wanatulet down sana...Pengine private sector ndio wanajaribu na kutuletea mijengo na hoteli za kisasa ila ni za kazi gani wakati wanasiasa wanaharibu kila kitu...🙁🙁🙁 kwa utawala wa Magu, Tanzania hii sio ile ya kale...
Viongoz wa kiafrica wana matatizo "mtambuka",huyo "magu"...au "dereva wa lori",ameirudisha democrasia ya hii nchi miaka 100 nyuma!...hatukuzoea kutekana na kupigana risasi kama rwanda,its happening now,nchi inaendeshwa kwa matamko,mihimili yote ya nchi imekuwa chini ya executive,nyie angalieni kwa nje lkn hali si shwari huku,maisha ya watu yamekuwa magumu kuliko kipindi yoyote ile,tunaisoma namba kwa kirumi!
 
hata sgr ya tz iwe nzuri aje i will never say that ours is baaaaad!!!!!!!
 
Viongoz wa kiafrica wana matatizo "mtambuka",huyo "magu"...au "dereva wa lori",ameirudisha democrasia ya hii nchi miaka 100 nyuma!...hatukuzoea kutekana na kupigana risasi kama rwanda,its happening now,nchi inaendeshwa kwa matamko,mihimili yote ya nchi imekuwa chini ya executive,nyie angalieni kwa nje lkn hali si shwari huku,maisha ya watu yamekuwa magumu kuliko kipindi yoyote ile,tunaisoma namba kwa kirumi!
Utaeleweka ukimsema Magufuli katika kubinya vyama vya siasa na uhuru wa habari, hilo kweli ni tatizo au Mapungufu ya Magufuli, lakini kwamba maisha yamekua magumu hilo ni tatizo la mtu binafsi, alichofanya Magufuli ni kupunguza ugumu wa Maisha kwa;
1)Kudhibiti mfumko wa bei(is the lowest in EAC)
2)Kupunguza sana rushwa nchini, hasa katika maeneo za huduma za jamii
3)Elimu kuwa bure
4)Kudhibiti bei za Petrol, Diesel, na mafuta ya taa
5)Kudhibiti upandaji wa nauli kiholela
6)kuondoa kodi nyingi kwa wakulima
7)Kutotoza kodi ya mapato katika biashara ndondogo
8)Kufuta road licence
9)kuhakikisha kunakuwa na duka la dawa la serikali katika kila hospitali kubwa ili zipatikane kwa bei nafuu
10)Kushusha gharama ya bima ya afya hadi 15,000 kwa mwaka kwa familia ya watu sita
11)Kushusha bei za pembejeo za kilimo

Haya mambo yanamaanisha kwamba, kwa kipatochako kilekile ulichokua unakipata, sasa hivi kinauwezo wa kununua bidhaa nyingi zaidi kuliko kabla ya Magu, wewe inapozungumzia ugumu wa maisha una maanisha nini?.
 
Nilimaanisha gari moshi ya diesel daah
 
Hapo ni vita baridi kati ya wachina na waturuki.. Usidhan waturkey watakubali kushindwa kirahisi
 
kiukweli, ni uchungu sana kusema ila hongereni watanzania heri nyie mnaletewa treni za kisasa...hata bridges naona ziko poa sana...most importantly, hamjaibiwa kama wananchi...huku kwetu, treni ni za diesel ila zimekuwa ndio bei ghali kabisa kuliko zote...SMH Mr. Magu, I respect you...sisi tunafuata nyayo za Nigeria jinsi corruption inavotutafuna...juzi tu tumeshindwa kujenga stadium zitakazotumika kwa CHAN ilhali Rwanda ili host mchezo huo vizuri kabisa...🙁🙁🙁sasa hivi tuna vuta nikuvute kati ya serikali, opposition, electroral commission na Supreme court, wakenya wanaumia kwa njaa, wengine hawana makao wanaofaa kuishi wanadamu..vijana hawana ajira.🙁🙁🙁 yaani wanasiasa wanatulet down sana...Pengine private sector ndio wanajaribu na kutuletea mijengo na hoteli za kisasa ila ni za kazi gani wakati wanasiasa wanaharibu kila kitu...🙁🙁🙁 kwa utawala wa Magu, Tanzania hii sio ile ya kale...
Respect kwako kaka
 
kiukweli, ni uchungu sana kusema ila hongereni watanzania heri nyie mnaletewa treni za kisasa...hata bridges naona ziko poa sana...most importantly, hamjaibiwa kama wananchi...huku kwetu, treni ni za diesel ila zimekuwa ndio bei ghali kabisa kuliko zote...SMH Mr. Magu, I respect you...sisi tunafuata nyayo za Nigeria jinsi corruption inavotutafuna...juzi tu tumeshindwa kujenga stadium zitakazotumika kwa CHAN ilhali Rwanda ili host mchezo huo vizuri kabisa...🙁🙁🙁sasa hivi tuna vuta nikuvute kati ya serikali, opposition, electroral commission na Supreme court, wakenya wanaumia kwa njaa, wengine hawana makao wanaofaa kuishi wanadamu..vijana hawana ajira.🙁🙁🙁 yaani wanasiasa wanatulet down sana...Pengine private sector ndio wanajaribu na kutuletea mijengo na hoteli za kisasa ila ni za kazi gani wakati wanasiasa wanaharibu kila kitu...🙁🙁🙁 kwa utawala wa Magu, Tanzania hii sio ile ya kale...
Mkuu nimekuangushia like ya unyenyekevu sasa hii ya magu je angekuwa mamvi
 
Sina uhakika kama hiki kitu kitafika mwisho, maana kila kukicha Tanzania inadaiwa madeni bado Magufuli mwenyewe akisafiri kwenda nje wanamushikilia hukohuko
 
Huyo jamaa ndio katibu mkuu wa mashabiki wa ccm, bujumbura section...kila siku huwa na sema humu immigration wa tz hovyo sana, sisi tulishamjua alivoingiaga kenya na kanzu yake anazuga zuga tu eti anaenda mombasa.
Hivi huwa mnajisikia raha sana mnapo jadili mtu na kuacha mada husika!
 
Utaeleweka ukimsema Magufuli katika kubinya vyama vya siasa na uhuru wa habari, hilo kweli ni tatizo au Mapungufu ya Magufuli, lakini kwamba maisha yamekua magumu hilo ni tatizo la mtu binafsi, alichofanya Magufuli ni kupunguza ugumu wa Maisha kwa;
1)Kudhibiti mfumko wa bei(is the lowest in EAC)
2)Kupunguza sana rushwa nchini, hasa katika maeneo za huduma za jamii
3)Elimu kuwa bure
4)Kudhibiti bei za Petrol, Diesel, na mafuta ya taa
5)Kudhibiti upandaji wa nauli kiholela
6)kuondoa kodi nyingi kwa wakulima
7)Kutotoza kodi ya mapato katika biashara ndondogo
8)Kufuta road licence
9)kuhakikisha kunakuwa na duka la dawa la serikali katika kila hospitali kubwa ili zipatikane kwa bei nafuu
10)Kushusha gharama ya bima ya afya hadi 15,000 kwa mwaka kwa familia ya watu sita
11)Kushusha bei za pembejeo za kilimo

Haya mambo yanamaanisha kwamba, kwa kipatochako kilekile ulichokua unakipata, sasa hivi kinauwezo wa kununua bidhaa nyingi zaidi kuliko kabla ya Magu, wewe inapozungumzia ugumu wa maisha una maanisha nini?.
Watu wanaoadhirika na awamu hii ni

1wauza madawa ya kulevya
2 wenye vyeti fake
3 wafanyakazi hewa beneficiary
4 waliokua wakiiba madawa, vifaa, vya serikali na kwenda kuuza mitaani
5 majangili wa nyara za taifa
6 wala rushwa hasa serikalini
7 waliokua wakinufaika na magendo bandarini, mipakani, misitu na maliasili
8 waliokua wakijilipa miposho, safari, seminars, off, na ujanja ujanja.
9 waliokua wakihudumia tenda za hovyo za kujuana na overestimate serikalini
10 wale wote wenye connection na hawa watu wawe marafiki, michepuko, ndugu, watoto na jamaa zao, wateja wao ni lazima waadhirike na uongozi wa Magufuli.

Sababu mianya yote hiyo ameiziba ila kwa wale ambao source za mapato yao haiwahusu hawa waliokua wananufaika na upigaji kwao maisha yanaendelea vizuri.
 
Back
Top Bottom