Tanzania should be kicked out of EAC

Tanzania should be kicked out of EAC

Hio nchi Basi haina muelekeo, mkuu wa mkoa hafai kuzungumzia mambo ya foreign affairs maana hata mkoa wenyewe haupo chini ya wizara ya Mambo ya nje upo chini ya office ya rais tamisemi ,mambo ya foreign policy wapi na wapi na mikoa? Au ndio kila mtu anataka kujimwambafai mwambafai ilimradi aonekane na jiwe? Nchi yenu itabaki kua kituko mbele ya ulimwengu.
Utaandika vyote ila ujue wakuu wa mikoa ndio level yenu na ndio maana wao ndio wanawajibu.
 
Possibly yes if justify your proposal with evidence, provided that Covid19 factors remain constant .
Test of your argument must include other member states.
 
Inashangaza sana, "great thinkers" badala ya kuangalia namna nzuri ya kuzisaidia nchi hizi masikini (japo tunajigamba kuwa tupo uchumi wa kati) tupo hapa kupigana vijembe na kufuata mkumbo wa wanasiasa waliofilisika kisiasa. Ukweli utabaki pale pale, Kenya na Tanzania zinategemeana sana na hakuna East Africa pasipo Tanzania au Kenya, vinginevyo ni kujidanganya...
Kaka katika mazingira haya ambapo Kenya imeakua na tabia ya kujiamulia mambo yenye maslahi kwa majirani zake bila kuwashirikisha, unapendekeza Tanzania ifanyeje?
 
Wafanye haraka nauhakika Congo tukikaa nao vzr Kuna fursa kubwa kuliko huko .Harafu wasitegemee wanaweza kujenga ushawishi kwa nchi zingine sk zote ipo sk wataelewa vzr na watafanya linalofaa kwao
 
We have mutual understanding among the EAC nations such as Uganda, Rwanda, Burundi and Tanzania and we would have achieved a lot including even a political federation if it were not for Tanzania. Don't you think its the time to kick Tanzania out of EAC just like USA and other countries did for Russia out of G8?

Kenya is the one doesn’t want Tanzania therefore, Kenya should withdraw themselves
 
Tunatabiri tukifika huko.

Ukiangalia juu juu utaona wakenya wanatuzidi but ndani kabisa tunawazidi vingi sema hatuna umoja imara

Wanatuzidi nini.......?.....
 
Tunatabiri tukifika huko.

Ukiangalia juu juu utaona wakenya wanatuzidi but ndani kabisa tunawazidi vingi sema hatuna umoja imara
bado kila pande inamuhutaji mwenzake regardless ya hayo tunayozidiana.
 
Kuna kitu nashindwa kwelewa Tanzania Hadi mkuu wa mkoa anataka atunushane misuli na mataifa mengine Tena anazungumza kwa mihemko, kwani wizara ya Mambo ya nje kazi yake ni ipi ? Kama wakuu wa mikoa wakati mwengine ndio wanatoa kauli za ajabu ajabu.
Mkuu wa mkoa anawakilisha rais katika eneo Lake husika, kabla hajazungumza huwa anazungumza na rais, hivyo kauli za mkuu wa mkoa ni kauli za rais. Kuna mambo ambayo huitaji wizara kuyasemea, ni mambo madogo lazima tuwape uwezo wakuu wa mikoa kuyashughulikia
 
Kwani Tanzania ni yenu[emoji2087][emoji2087]

1596265571948.jpeg
 
mtoto ni wewe unayelilia penzi la Don Nalimison.

Nilishawahi kukuambia hapa kuwa hili swala la kuficha tatwimu nchi yetu itakua-blacklisted ukaleta maneno ya dharau.
Haya sasa leo tumeshaanza kulimwa na mataifa ya jirani.
Hujitambui na takwimu zako.
 
Kaka katika mazingira haya ambapo Kenya imeakua na tabia ya kujiamulia mambo yenye maslahi kwa majirani zake bila kuwashirikisha, unapendekeza Tanzania ifanyeje?
Ukweli (japo sipendezwi na huu ugomvi wa majirani) JPM amefanikiwa kutegua mtego mbaya sana aliowekewa na UK. UK alitawangazia wananchi wake kuwa wasijilinganishe na Tanzania inayoficha takwimu kesho yake akatuma wajumbe wake kuja kwenye msiba wa BWM. Hii maana yake baada ya kurudi Kenya wangepimwa na kugundulika wana maambukizi (mtego wa kutaka kuonesha alichokisema kilikuwa na maana) lakini JPM akaugutukia mchezo huo.

Baada ya kuona hila yao imeshtukiwa kaamua (kwa hasira) kuiondoa Tanzania kwenye nchi ambazo raia wake wanatakiwa kuingia Kenya, lakini cha ajabu eti ndege zake (KQ) zingeingia Tanzania! Nadhani JPM kamkumbusha tu kuwa hata KQ zisije.

All in all, sisi ni majirani, tungeweza kutafuta njia nzuri zaidi kutatua mgogoro huu badala ya kutunishia msuli.
 
Back
Top Bottom