Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Kwa kuwa waarabu wanaudugu na wazanzibar bora wapewe eneo kule visiwani sio kuwatesa wamasai kwenye nchi yao
Loliondo iliuzwa kwa waarabu kinyemela na ngororongoro wanataka waipige mnada ?
Hii habari imenisikitisha na kunikatisha tamaa.
Inaleta picha ya watanzania kunyang'anywa nchi yao na kukabidhiwa kwa wageni.
Kila mtanzania apige kelele za kulaani kuwapora wamasai ardhi yao na kuwauzia wageni kisa tu wana pesa.
Mungu atusaidie ili majeshi ya wananchi yasimame na wananchi badala ya hawa madalali wanaotaka kuuza nchi na kukimbilia kwao.
At fisrt nilikua namheshimu sana PM Majaliwa ila namna anavyo handle hii ishu nimepoteza imani nae kabisa.
Serikali inapaswa iwalinde wananchi wake na sio kuchukua nafasi ya mabeberu.
Ni kweli watanzania hawana mtetezi nchi yao inapigwa mnada kwa waarabu sijui nani atatukomboa
Wamasai kama walivyo binadamu wengine ni wanyama pia.
Wameishi na jamii nyingine za wanyama kwa maelfu ya miaka.
Tuwaache waishi Ngorongoro na wanyama wengine ili kuipamba ekolojia.
Natambua wengi wetu tunaanza kuutambua uzalendo wa JPM kwa rasilimali za nchi yetu.
Wengi wetu tunaanza pia kutambua kauli zake kuhusu nchi hii inaibiwa sana rasilimali zake kwa ajili ya maslahi ya watu fulani.
Wengi wetu hivi sasa tunatambua ubaya wa "one man show" pale panapotokea mabadiliko katika uongozi wa juu wa taifa letu.
Wengi wetu hapa ndipo tunatambua nchi inapaswa kujengwa katika misingi imara iliyowekwa kikatiba, katiba ambayo itawafanya viongozi wawajibike endapo itakapo thibitika kuwa walifanya madudu kwa ajili ya maslahi yao binafsi na hatimaye kuliingizia taifa letu hasara kubwa.
Hii Nchi in mambo mengine ya Kipuuzi sana. Hawa Waarabu hawatosheki na hela zao za Mafuta?
kama tumeweza kuhamisha watu maeneo yenye madini na madini yanachimbwa tunashindwaje kuhamisha Masai na biashara nyingine zikaendelea hapo?.. Cha msingi walipwe fidia nzuri na wasaidiwe kuhama kwa utaratibu..
Huo ufugaji bora ni upi? So far duniani wao ndiyo wafugaji bora...usipotoshe ndugu mpendwa...Ufugaji unaouita bora ndiyo ambao kwa sasa unaongoza kwakukata miti duniani, ndiyo ambao unazalisha hewa ya ukaa ambayo ni zaidi ya ile inayotolewa na magari yote duniani...Kuuliza si ujinga!Kuwa wakulima na wafugaji ndio sababu ya kuzunguka na mifugo huku wakiangamiza miti na misitu? Hawa ndio wanaotakiwa kuthibitiwa na kuelimishwa jinsi ya ufugaji bora na jinsi ya kutunza mazingira!!
Are they kept or they agreed and are still agreeing to stay in that form? Who told you what you have written is civilisation? I think you are enslaved mentally thats why you see them in bondage yet its you who is to be sympathized with such kind of mentality...Colonialism enriched Europe, so it's no wonder that there is still a section of people that favours it.
How can anybody, in his/her right mind, even dream of continuing to keep people in bondage, in the 21st Century?
This, so called 'Agreement' between the British and Masai Elders banned the Masai from 'Owning Land', 'Building Decent Houses', and all amenities that are a pinnacle of Civilisation, and Iam appalled that there are Tanzanians who are in support of this "Inhumane agreement'.
We have been told, time and again, that close to 70% of the Children in Ngorongoro do not go to School.
In the 21st Century!
When the World is talking about the 4th Industrial Revolution!
Children not going to School!
This is keeping people in bondage.
And it is very shameful.
Pastoralists of Masai, Sukuma, Barbaig, and other origins are thriving in several regions in Tanzania, notably Morogoro, Tanga, Coast and Lindi Regions.
They do not live on handouts as their counterparts in Ngorongoro.
Why do we have people insisting to keep the Ngorongoro Pastoralists in bondage?
Keeping them by donated handouts!
Is it for personal and selfish gains?
Hao Wamasai na OBC nani anapora ardhi? We taahira nini?
Huyu huwa mnamwelewa kweli?Haya magaidi kutoka uarabuni hata wakiuziwa kinyemela ardhi ya watanganyika itarudi mikononi mwao na ile ya loliondo
Haya magaidi kutoka uarabuni hata wakiuziwa kinyemela ardhi ya watanganyika itarudi mikononi mwao na ile ya loliondo
Nakuona muarabu Koko, juzi Kuna habar one trend Sana ya binti Wa kiganda kutolewa Figo Na Bosi wake, hizo Ni case chache tu zipo nyingi kama hizo za wafanyakazi Wa ndani ambao wanapitia mateso Na manyanyaso kutoka kwa hao waarabuWewe jamaa huwa hulali ucku unawawaza tuu waarabu!! Walikufanya nini?? Hivi inaingia akilini nchi ipigwe mnada!!! Wewe ni mtu mzima lakini maneno haya hata mtoto mdogo hawezi kuyatamka.
Ni bora wapewe waarabu kuliko mzungu, mhindi, msouth au mkenya. Hawa watu tumeishinao vizuli acha wapewe.
Alafu uache roho mbaya mzee utakufa utaacha kila ki2.
Huyo ana mawazo ya kimasikini,bado fikra zake zinaishi katika zama za mawe "Stone age"
Tumia akili,hakuna hospital yoyote duniani,inayofanya upasuaji,bila saini ya anayefanyiwa upasuaji.Dunia nzima yapo mashirika ya kimataifa,na NGO za haki za binadamu,angemtaja jina huyo tajiri yake,na kampuni iliyompeleka,hili lingefuatiliwa kimataifa na mashirika ya haki za kibinadamu.Huyo dada aseme ukweli,kama figo yake,aliuza kwa hiyari yake.Nakuona muarabu Koko, juzi Kuna habar one trend Sana ya binti Wa kiganda kutolewa Figo Na Bosi wake, hizo Ni case chache tu zipo nyingi kama hizo za wafanyakazi Wa ndani ambao wanapitia mateso Na manyanyaso kutoka kwa hao waarabu
Nakuona muarabu Koko, juzi Kuna habar one trend Sana ya binti Wa kiganda kutolewa Figo Na Bosi wake, hizo Ni case chache tu zipo nyingi kama hizo za wafanyakazi Wa ndani ambao wanapitia mateso Na manyanyaso kutoka kwa hao waarabu