Tanzania, siding with UAE firm, plans to evict Maasai from ancestral lands

Tanzania, siding with UAE firm, plans to evict Maasai from ancestral lands

Dawa ni katiba mpya ambayo wananchi watakuwa na maamuzi ya juu nchi yao.Katiba ya sasa Rais ni kila kitu akiamua Wamaasai watatoka tu hakuna namna wakileta ukaidi Mama Yoyo watatandikwa na vikosi vyetu vya ulinzi na Usalama ambavyo vinapokea amri kutoka kwa Amiri Jeshi Mkuu.

Ukikimbilia Mahakamani unakutana na Majaji wa michongo na hukumu za michongo.

Suala la katika mpya ni suala la waTanzania wote ambao akili zao zipo vizuri.
Ukweli mchungu huu...Cry my country!
 
Wengi wetu hapa ndipo tunatambua nchi inapaswa kujengwa katika misingi imara iliyowekwa kikatiba, katiba ambayo itawafanya viongozi wawajibike endapo itakapo thibitika kuwa walifanya madudu kwa ajili ya maslahi yao binafsi na hatimaye kuliingizia taifa letu hasara kubwa.
Katiba mpya ni muhimu kwa usalama wetu na vizazi vyetu vijavyo.
 
serikali inahitaji kutumia hata pesa nyingi tu kukomboa hawa watu kifikra na kielimu, wapo nyuma sana. na hiyo sio ancestral home yao, walitoka serengeti hawa, hapo sio kwao. pia, yaani rundo la wanadamu hao kweli waishi na wanyama? kweli? halafu wakilisha mimea yote kiaisha hapo ngorongoro si watahama kwenda kutafuta malisho sehemu nyingine? wakati huo wanama pori nao watakuwa hawana majani, watakufa kama mangómbe yao yanavyokufa sasaivi maeneo yasiyo na malisho. huu ni ujinga ambao serikali haitakiwi kuuvumilia ili kulinda mbuga.
Walitoka wote Serengeti Wakaja ngorongoro kwa makubaliano ya kupisha wanyama !
Pale ngorongoro crater wanaishi na wanyama tangu kabla ya uhuru idadi yao ikiwa 8000 ila kiukweli idadi yao imeongezeka na ukweli huo haupingiki lakini ustawi umekuwepo na ni Mojawapo ya kichocheo cha watalii wanyama kuishi na binadamu.
Amesema kuna mambo mengi yanayoadhiri ustawi wa mazingira ikiwemo kuwepo kwa barabara nyingi , magugu vamizi nk
Wamependekeza kuwepo mazungumzo ya pamoja wakishirikishwa ili kutatua changamoto ambazo zipo .
Hii ni kwa mujibu wa mwanasheria wa wafugaji wa ngorongoro akihojiwa na star tv.
 
Hapa ndiyo umuhimu wa katiba mpya unaonekana wazi. Katiba tuliyo nayo imekabidhi ardhi ya nchi nzima kwa mtu mmoja (rais). Akiamua kuuza mkoa wa Mwanza anaweza kufanya hivyo bila kuhojiwa Wala kushitakiwa.

Tuamke watanzania, katiba mpya ni muhimu sana
Dada katiba ni makaratasi tu,

Hii iliyopo yenyewe haijaruhusu hayo yanayotokea ila inavunjwa na hamna kitu mnafanya!

Kilichopo hapo ni ulafi tu wa viongozi, na Magu asingekubali huu ujuha utokee chini ya uongozi wake.

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Wamasai kama walivyo binadamu wengine ni wanyama pia.
Wameishi na jamii nyingine za wanyama kwa maelfu ya miaka.
Tuwaache waishi Ngorongoro na wanyama wengine ili kuipamba ekolojia.
Tunawahamishia mwanza, town, nao watedt radha tofauti[emoji23]
 
Back
Top Bottom