Ni bora umefuta mkuu.Nimeandika nimefuta mara tatu
Magufuli pamoja na kumsema alikuwa mbaya alijitahidi kubana matumizi Ili Hela ionekane. .
wakati mwingine hadi mtu anaona aibu kujiita mtanzania kwa aibu kama hizi. Ndiyo maana vijana wengi dar wanavaa wrist band za bendera ya kenya siyo ya TanzaniaHelkopta ikionesha idadi ya Watanzania kutoka matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi 2022.
Tuko 61,741,120. - Gerson Msigwa
RubbishHata kama ingetumika Baiskeli pia wangekuja watu wengine kulalamika.
Sasa yule afisa anaesimamia nae ndio anajipatia ulaji hapo,Hapo ukute bajeti ya kuirusha hiyo helicopter ni 20+m...
Ukikielewa kitu kua ni Rubbish ujue kua wewe ndio Rubbish.Rubbish
Mtumie hiyo njia pia mkazime motoKutumia "hedikopta" tu imekuwa nongwa?Aaaarggh...tulizeni mizuka!