Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rubbish nini Sasa!?Rubbish
Dereva sio Nape kweli?
Watanzania wengi ni vichwa panziHuyo alizuia kufanyika hata sherehe za kitaifa ili fedha hizo zinajengwa miradi ya kunufaisha jamii kama mahospitali na barabara. Hukumbuki?
Msilaumu msije kulaumiwa.
Ukweli hiki ambacho kinafanyika now ni kuwananga waliokuwepo wakati wa jeshi la mtu mmoja, sidhani kama kuna la ziada.
Na sisi wananchi tuache lawama zisizo na maana, mlikuwa mnalialia sana hali ngumu, pesa hakuna leo mbuzi kakata kamba mnalalamika, mfanyiwe nini asee watz..?
Kwangu mimi, Magufuli pakubwa aliponikwaza ni kupoteza watu, kuteka watu na kubambikia watu kesi za uhujumu uchumi, na kutoheshimu misingi ya demokrasia na haki za watu.Nimeandika nimefuta mara tatu.
Magufuli pamoja na kumsema alikuwa mbaya alijitahidi kubana matumizi Ili Hela ionekane. .
Inazidi, maana ni lazima walianza na mazoezi kabla ya tukio.Hapo ukute bajeti ya kuirusha hiyo helicopter ni 20+m...
Hivi vimbwenga Huwa unavitoa wapi mkuu [emoji16][emoji23][emoji1787][emoji23]urefu wa kambaView attachment 2403056
Helkopta ikionesha idadi ya Watanzania kutoka matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi 2022.
Tuko 61,741,120. - Gerson Msigwa
================
Mheshimiwa hizi helkopita zingeenda kusaidia kuzima moto mt. Kilimanjaro huoni mngetumia busara.
Ndie kazalisha Hawa vilaza wote, katika viongozi anajifuta,Nimeandika nimefuta mara tatu.
Magufuli pamoja na kumsema alikuwa mbaya alijitahidi kubana matumizi Ili Hela ionekane. .
Hivi hii helkopta imetembea nchi nzima?Nilitarajia rais angekaa zake ikulu na kulihutubia taifa kwa dakika 5 na kutangaza hayo matokeo. Lakini kitendo cha kufanya gafla kubwa namna ile kwa jambo dogo hili, hakika ni matumizi mabaya ya fedha za umma.