Tanzania sihami, Matokeo ya Sensa yakioneshwa kwa Helkopita

Tanzania sihami, Matokeo ya Sensa yakioneshwa kwa Helkopita

Msilaumu msije kulaumiwa.
Ukweli hiki ambacho kinafanyika now ni kuwananga waliokuwepo wakati wa jeshi la mtu mmoja, sidhani kama kuna la ziada.

Na sisi wananchi tuache lawama zisizo na maana, mlikuwa mnalialia sana hali ngumu, pesa hakuna leo mbuzi kakata kamba mnalalamika, mfanyiwe nini asee watz..?
Watendaji wa serikali ni wale wale kwa asilimia kubwa. Kwenye takwimu nini kimebadilika?
 
Helkopta ikionesha idadi ya Watanzania kutoka matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi 2022.

Tuko 61,741,120. - Gerson Msigwa
================
Mheshimiwa hizi helkopita zingeenda kusaidia kuzima moto mt. Kilimanjaro huoni mngetumia busara.

Mnataka kuniambia kuna jopo lilikaa likajadili lifanyike hili?,
 
Sasa hii helicopter itazunguka nchi nzima kuonyesha hiyo idadi ya watu? Si ingekuwa rahisi kutumia TV na redio ili hiyo habari ya idadi ya watu iwafikie mpaka vijijini?
 
Nchi ina shida za kutosha mpaka kwenye makalio cha kushangaza mataga wanapeperusha kanga kwa helcopter wakati zile sms walizotuma nchi nzima zingetosha kututaarifu hii idadi ya watu.
Anyway, CCM inaongoza ng’ombe.
 
Kwenye huo utopolo mimi sijashiriki, sijahesabiwa kwa hiyo sijashiriki, halafu yule Mama Kindakindaki anasema zoezi limefanyika kwa asilimia 100%, nina uhakika watu wengi mno hawajahesabiwa.
 
Umuhimu wake Ni upi? Kwan si Kuna vyombo vya habar Na mitandao YA kijamii? Alafu hizo pesa ndio hizo tozo mlizoturundikia wananchi, nchi ina viongozi wa ovyo sana
 
Kaka uliuona hela kipindi hicho iliyobanwa?
Unajua safari moja tu ya nje inaenda watu wangap? Five star hotel, chakula nk. Ndege zilinunuliwa kwa mikopo? Mbona mambo mengi watanzania wanajifanya hawayaoni yalifanyika makubwa. Ach chuki za kisiasa utaona tu. .

Mtazamo wangu tu. .
 
Watanzania kila kitu ni siasa, sioni sababu ya kuponda helkopta, ila kwa sababu kila wakati tunatafuta kitu cha kuponda basi tiendelee.
 
20221031_231443.jpg
 
Inasikitisha sana, Jana kulikuwa na Mkesha wa Sensa....... Yaani watu wanaandaa Bajeti kwaajili ya kusoma matokeo ya Sensa


Viongozi wamekusanyika Dodoma na kulipana Posho kwaajili ya kupokea Report ya Sensa..... Lengo ni kuzitumbua tu tozo
 
Back
Top Bottom