Tanzania sihami, Matokeo ya Sensa yakioneshwa kwa Helkopita

Tanzania sihami, Matokeo ya Sensa yakioneshwa kwa Helkopita

Usije ukashangaa ukiambiwa huo ni mradi wa "uwekezaji"!

Hakuna hata senti tano ya serikali iliyotumika kuweka ujinga huo,

Na hilo ndilo litakalokuwa jibu la kuwaridhisha waTanzania wasilalamike!
 
Helkopta ikionesha idadi ya Watanzania kutoka matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi 2022.

Tuko 61,741,120. - Gerson Msigwa
================
Mheshimiwa hizi helkopita zingeenda kusaidia kuzima moto mt. Kilimanjaro huoni mngetumia busara.


Daaaaaaaaaaaaaaaah.
 
Magufuli ndiye muasisi wa sherehe zisizo na kichwa.
Kila tukio alilitimia kisiasa kujijenga
Acha ujinga, Magufuli alifuata masherehe yote yasio na tija fedha zote zilielekezwa kwenye miundombinu,mfn Hospital ya Benjamin Dodoma ilikuwa ya sherehe za uhuru, Barabara ya Morocco ilikuwa fedha za Muungano, Magufuli hakuwa na ujinga huu.
 
Helkopta ikionesha idadi ya Watanzania kutoka matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi 2022.

Tuko 61,741,120. - Gerson Msigwa
================
Mheshimiwa hizi helkopita zingeenda kusaidia kuzima moto mt. Kilimanjaro huoni mngetumia busara.

Mie napinga Dar kuwa na watu 5.8m nilitegemea wawe at least 7m
Yaani Ccm wamesha zowea kuchakachua. Hata vitu vya uhalisia halali wao wana chakachua.
 
Nimeandika nimefuta mara tatu.

Magufuli pamoja na kumsema alikuwa mbaya alijitahidi kubana matumizi Ili Hela ionekane. .

Yeye kila safari zake helkopta ilikuwa angani inamlinda, sasa sijui ni matumizi gani alibana. Yeye alifanikiwa kubana wanaohoji lakini sio kubana matumizi.
 
Mi sikuhesabiwa! Kwenye hiyo idadi niongezeni
Tumeanza kusikia tupo million 60. Tokea 2017. Inamaana sisi watanzania tumeanza kuwaiga wazungu kuzaa mtoto mmoja au mwenye kujua Sensa ya 2012 tulikuwa Wangapi? Atujuze apa tuweke asilimia iliyotakiwa tuwepo
 
Nani kakwambia kila helcopter inazima moto. Sawa na kusema kila gari inazima moto kwakua ulishaona gari flani ikizima moto. Niache kula nyama na familia yangu kisa najenga sio kweli, ndio nyinyi ata sherehe za uhuru zilipofutwa mlilamika.
 
kwa sisi wenye Lugha ngumu ni tunaweza kusema watanzania wote wapo kwenye kilinge(nawatania jamani sio kweli) hivyo hatuzungushi
 
Tumeanza kusikia tupo million 60. Tokea 2017. Inamaana sisi watanzania tumeanza kuwaiga wazungu kuzaa mtoto mmoja au mwenye kujua Sensa ya 2012 tulikuwa Wangapi? Atujuze apa tuweke asilimia iliyotakiwa tuwepo
mhn! vidole vimegoma nimeshindwa kuandika kwa kuwa tumewaona Yanga wakishangilia ushindi wa simba nao simba wakashindwa kushangilia wakiwashangaa wanaowashangilia! nisije kushindwa toka eneo nililopo.
 
Back
Top Bottom