Tanzania, the first Country in the World to win over Coronavirus

Tanzania, the first Country in the World to win over Coronavirus

Mjinga wewe.
Mtu mmoja anakutana na watu zaidi ya mia moja kwa siku. Hao mia moja wanakutana na mia moja wengine.
Utaweka wote quarantine?

Isolation ni ya waliotokea positive.
Lazima test ifanywe ili walio negative waendelee na maisha yako.

Hio ni basics ya kutumia ubongo. Lakini hamna.
Huo upumbavu wenu ndio uliowafanya mkawekwa katika kundi la "Failed states", kama wagonjwa mumeamua wakatibiwe nyumbani "under home based care program", iweje hao watu wenye kuhisi kuwa wameambukizwa mshindwe kuwaweka under isolation" wakiwa NYUMBANI?, ninyi hamna akili zenu hadi muambiwe na wazungu?
 
Huo upumbavu wenu ndio uliowafanya mkawekwa katika kundi la "Failed states", kama wagonjwa mumeamua wakatibiwe nyumbani "under home based care program", iweje hao watu wenye kuhisi kuwa wameambukizwa mshindwe kuwaweka under isolation" wakiwa NYUMBANI?, ninyi hamna akili zenu hadi muambiwe na wazungu?

Na mbona Tanzania pia ikawekwa kundi la 'failed states'?
failed.jpg
 

Attachments

  • tz.JPG
    tz.JPG
    51.2 KB · Views: 4
Wanaokuja ni Wamerikani. Mlifukuza wamerikani mwaka gani?

Dunia nzima inachokijua ni kwamba:
1. Tanzania masomo bure.
2. Hamna skills. 99% unskilled labor.
3. Hamjui kuongea kingereza.
4. Unfavorable business environment (Dikteta aweza tuma jeshi dukani kwako wakati wowote)
5. Poor health facilities
6. Poor air transport interconnectivity
7. Poor purchasing power.

Na ndio maana FDI zenu tu ni za mining. Waje wachimbe dhahabu na gesi, wapeleke kwao wakauze.
Wamarekani ni waingereza ambao walitawala nchi nyingi za Africa. Wacha kutoroka na kuanzisha mambo yasiyo na maana, Kanya ni nchi ya hovyo na hatari zaidi kuishi katika ukanda huu, wazungu ndio wenye kumiliki kila kitu hadi lugha yenu ya Kiswahili hamuijui mnatumia lugha ya "slave masters'na mnakenua meno kwa kujisifia kujua Kiingereza kuliko Kiswahili, wapumbavu sana ninyi
 
Wamarekani ni waingereza ambao walitawala nchi nyingi za Africa. Wacha kutoroka na kuanzisha mambo yasiyo na maana, Kanya ni nchi ya hovyo na hatari zaidi kuishi katika ukanda huu, wazungu ndio wenye kumiliki kila kitu hadi lugha yenu ya Kiswahili hamuijui mnatumia lugha ya "slave masters'na mnakenua meno kwa kujisifia kujua Kiingereza kuliko Kiswahili, wapumbavu sana ninyi

Shinda hapo LDC basi.
Kwetu tunakaribisha wanabiashara wote. As long as waleta ajira na kulipa ushuru.
 
Tanzania kuingia middle income imekuletea machungu kweli kweli [emoji23][emoji23][emoji23]

Lakini kelele za chura hazimnyimi tembo kunywa maji.

Tangu mtangazwe middle income last month, hadi leo, mapato yako yameongezeka na ngapi?
 
Shinda hapo LDC basi.
Kwetu tunakaribisha wanabiashara wote. As long as waleta ajira na kulipa ushuru.
Hata lugha pia wanawaletea, wakifika mnawapa ardhi na kila kitu wenyewe mnarudi Kibera na Kawangware.
 
Tangu mtangazwe middle income last month, hadi leo, mapato yako yameongezeka na ngapi?
Wewe yaliongezeka kiasi gani, au iliwasaidiaje kupunguza idadi ya wakenya wanaokufa kwa njaa tangu Kanya ilipotangazwa miaka sita iliyopita?
 
Hii ushamba tuliwachia Tanzania.
Land subdivision inaleta umaskini tu.
Tunataka wakulima walime kwa mashamba makubwa, sio acre moja ama mbili. That's the only way we can achieve mechanization.

0.1% of the population can feed the rest of the country.
Basi nmegundua ujinga wako ulipo
 
Back
Top Bottom