Tanzania tujipange kupokea wazungu watakaokimbia baridi kali kwao

Hatuwataki hawa. NDIO MAPANYA BUKU Wenyewe.
Kwa wale ambao hawawajui hao, ni Wazungu wa Ulaya.
 
Leo nimeona wazungu wengi kule gongolamboto baa inaitwa Leo tena njia panda ya Kampala university wanakula makongoro, nikasema mtumeee kumekucha!!!! Utabiri umetimia.
 
Inaweza kuwa wasije pia
Thubutuuwee!! Kuna wazungu wengi wananiomba niwaandikie barua kama ya invitation (mwaliko)letter ili kuja kwao kuwe rahisi kidogo. Tanzania ina amani kuliko kwingine, hawatakubari kuganda kwa baridi kiboyaboya. Kumbuka kuwa hiyo baridi inayokuja inatishia kuuvunja umoja wa Ulaya, EU. Wazungu wamegawanyika juu ya vikwazo vya Urusi hali inayotishia kuvunjika kwa Muungano wao. Simchezooo!!
 
Royal Tour mlisema wazungu watamiminika hapa Tz kama mvua cha kushangaza ni matozo ndiyo yanamiminika kama gharika.
 
Ili kupata kituko kama hichi, Bonyeza neno UGORO tuma kwenda namba 157216
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…