Tanzania tujitoe Jumuiya ya Madola

By extrapolation, tujitoe pia kwenye SADC, EAC, na UN kwani huoni faida yoyote ya kuwa mwanachama kwenye jumuia yoyote ya kimataifa.
Haya maneno ni yako sio yangu .yangu kwenye hii thread yana zungumzia jumuiya ya madola tu.

N.b: Ningependa ujibu maswali yangu [6] niliyo uliza.
 
Mkuu umesoma vizuri thread yangu . Maana mwanzoni tu mwa thread nimeeleza lengo la hii thread ni nini na nimeandika hii thread ili nipate nini kutoka kwa wadau wa humu jf .

N.b: Hebu rudi kuisoma tena upya thread neno kwa neno wenda utaelewa lengo la thread yangu.
 
Sahihi kabisa.
 
Wala sijakuelewa na sijaona swali hapo

Soma historia ya katiba ya Tanzania sana sana ulenge kitu kiitwacho TANGANYIKA ORDER IN COUNCIL,

Halafu tofautisha kati ya Utawala na PROTECTORATE
 
Shule ya msingi ulisoma nje ya Tanzania? Maswali yako yote majibu yake wanafunzi wanafundishwa wakiwa shule ya msingi.

Kwa ufupi, hakuna hasara Taifa linapata kwa kuwa member. Faida ni nyingi, ikiwa ni pamoja na kuwa na jukwaa lenye nguvu kimataifa la kusemea mambo mbalimbali.

Usisahau kuwa nchi inapata msaada wa bure wa zaidi ya trllioni moja inayotolewa na Uingereza alimradi uzingatie demokrasia ya vyama vingi.
 
Aliyetutoka angejitutumua. Tuliye naye anatokea sehemu wanaoamini kwamba mdhungu na Mwarabu ndo wenye uwezo wa kutumia rasilimali za Mwafrika ila Mwafrika mwenyewe hawezi kujiendeleza kwa kutumia rasilimali zake.
Ila Mungu ni mwema sana kwa kulidondosha lile libwana.
 
Sioni hasara ya kuwa jumuia ya madola tena nafikiri tuna upendeleo flani flani kwa kuwa wanachama
 
Wala sijakuelewa na sijaona swali hapo

Soma historia ya katiba ya Tanzania sana sana ulenge kitu kiitwacho TANGANYIKA ORDER IN COUNCIL,

Halafu tofautisha kati ya Utawala na PROTECTORATE
Tulitawaliwa na Ujerumani hili halina ubishi pia tulitawaliwa na Uingereza kwa mgongo wa kuwa msimamizi wetu wala hakuna kupinda ukweli kuupaka paka rangi ndio maana utawala mzima ulikuwa unatoka London.

N.b: Turudi kwenye mada na maswali yangu tuachane na hayo mengine.
 
Tunaanzaje kujitoa wakati wanatudai??

Wakisema je hakuna kujitoa mpaka mlipe madeni yenu yote toka uhuru tutafanyaje hapo??
Kwani wanatudai shilling ngapi ? Je haziwezi kulipika ?
 
Umekwisha soma historia ya katiba ya (Tanganyika) ilitungwa wapi na kwa sheria gani?
 
Ukijigaragua ukajitoa ,watu wako na wewe mwenyewe mtakufa njaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…