Tanzania tujitoe Jumuiya ya Madola

Tanzania tujitoe Jumuiya ya Madola

Katiba imetungwa 1977, Harakati za kudai uhuru zilianza toka utawala wa Ujerumani Chifu Abushiri, Mkwawa , Kinjekitile n.k awamu ya pili chini ya mkoloni muingereza baada ya vita vya pili vya dunia 1939-1945 harakati za kudai Uhuru zikarudi tena miaka ya 1950 s. 1953 TAA, 1954 TANU Mwalimu , Bibi Titi Mohammed, Abdulhman sykes n.k wakalianzisha varangati la kumng'ang'niza mkoloni muingereza awape uhuru, Mwalimu akawekwa rumande kwa kosa la kujihusisha na siasa wakati wa ukoloni hasa hasa siasa za harakati za ukombozi wa Tanganyika kitu kilicho kuwa kimepigwa marufuku na mkoloni muingereza . 1961 tukapata Uhuru wa masharti/Uhuru wa bendera. Ningependa ujibu maswali yangu niliyo uliza.

N.b: Uhuru hatukupewa kama mama ampatiavyo mwanaye pipi.
Uhuru lilikuwa swala la muda tu.Tulitakiwa kuonesha kwamba tuko tayari na tunautaka.Akina mwalimu walichungulia fursa wakaitumia.Wanaosema tulipewa wako sahihi na wanaosema tuliudai nao wako sahihi.
 
- Habari za muda huu wana jamii wenzangu, natumai ni njema.

- Nilikuwa na dukuduku kuhusu uwepo wa taifa letu la Tanzania Jumuiya ya Madola, dukuduku langu limezaa maswali kadhaa yenye kuhitaji majawabu kutoka kwenu wana jamii wenzangu.

1. Kwanini Taifa la Tanzania lipo Jumuiya ya Madola?

2. Ni faida zipi tunapata kuhusu uwepo wetu Jumuiya ya Madola?

3. Ni hasara zipi tutapata endapo hatuta kuwepo kwenye Jumuiya ya Madola?

4. Tukipima katika mizani faida na hasara za Jumuiya ya Madola kwetu, kipi kitakuwa ni bora kwetu? Tanzania kuendelea kuwepo katika jumuiya ya madola au tujitoe na kuendeleza maisha yetu ya kawaida kama Taifa nje ya Jumuiya ya Madola?

5. Kwa nini taifa la USA na Hongkong (China) hayapo Jumuiya ya Madola?

6. Je, inawezekana kwa njia ya amani member wa Jumuiya ya Madola akitaka kutoka naye akaruhusiwa kufanya hivyo?
View attachment 2353028
N.b: Karibuni wadau mwenye swali pia anaweza kuongeza swali lake.
Basi tujiondoe katika jumuiya zote za kimataifa kama ilivyo Switzerland!
 
Tulijitoa halafu tukarudi kwa aibu. Halafu labda ndilo jambo liliomfungasha virago Mwalimu aondoke Ikulu,mtu aliyekuwa anacheza na bembea na Malkia Scotland anazungumza kuhusu kujitoa Commonwealth.?
Sawa, mkuu ningependa utupe dondoo kidogo kuhusu hilo tukio la kujitoa jumuiya ya madola na urejeo wetu .
 
Nini maana ya jumuiya ya madola.

Mbona Muingereza kajitoa Brexit, sisi tunashindwaje kujitoa jumuiya ya madola?.

Tukiwa na akili za kujitegemea na kufanya kazi kwa bidii hata tukianzisha jumuiya yetu iite vyovyote vile watu watakuja tu.

Tupime toka uhuru tumefaika nini? tumelata hasara gani? na tunafaidika nini? hasa watu wetu.
 
Nini maana ya jumuiya ya madola.

Mbona Muingereza kajitoa Brexit, sisi tunashindwaje kujitoa jumuiya ya madola?.

Tukiwa na akili za kujitegemea na kufanya kazi kwa bidii hata tukianzisha jumuiya yetu iite vyovyote vile watu watakuja tu.

Tupime toka uhuru tumefaika nini? tumelata hasara gani? na tunafaidika nini? hasa watu wetu.
Maswali mazuri sana nyongeza [ 8 na 9 ]
 
Aliyetutoka angejitutumua. Tuliye naye anatokea sehemu wanaoamini kwamba mdhungu na Mwarabu ndo wenye uwezo wa kutumia rasilimali za Mwafrika ila Mwafrika mwenyewe hawezi kujiendeleza kwa kutumia rasilimali zake.
Nenda Zimbabwe ukaishi huko. Maaana yenyewe ilitolewa jumuiya ya m
- Habari za muda huu wana jamii wenzangu, natumai ni njema.

- Nilikuwa na dukuduku kuhusu uwepo wa taifa letu la Tanzania Jumuiya ya Madola, dukuduku langu limezaa maswali kadhaa yenye kuhitaji majawabu kutoka kwenu wana jamii wenzangu.

1. Kwanini Taifa la Tanzania lipo Jumuiya ya Madola?

2. Ni faida zipi tunapata kuhusu uwepo wetu Jumuiya ya Madola?

3. Ni hasara zipi tutapata endapo hatuta kuwepo kwenye Jumuiya ya Madola?

4. Tukipima katika mizani faida na hasara za Jumuiya ya Madola kwetu, kipi kitakuwa ni bora kwetu? Tanzania kuendelea kuwepo katika jumuiya ya madola au tujitoe na kuendeleza maisha yetu ya kawaida kama Taifa nje ya Jumuiya ya Madola?

5. Kwa nini taifa la USA na Hongkong (China) hayapo Jumuiya ya Madola?

6. Je, inawezekana kwa njia ya amani member wa Jumuiya ya Madola akitaka kutoka naye akaruhusiwa kufanya hivyo?
View attachment 2353028
N.b: Karibuni wadau mwenye swali pia anaweza kuongeza swali lake.
Nenda hapo Zimbabwe ukapate uzoefu wa kuwa nje ya Jumuiya ya madola halafu uje uulize maswali tena.
 
Nenda Zimbabwe ukaishi huko. Maaana yenyewe ilitolewa jumuiya ya m

Nenda hapo Zimbabwe ukapate uzoefu wa kuwa nje ya Jumuiya ya madola halafu uje uulize maswali tena.
Zimbabwe hakutolewa kwa amani bali aliwekewa vikwazo vya kiuchumi . Rejea swali langu nambari [ 6 ]
 
- Habari za muda huu wana jamii wenzangu, natumai ni njema.

- Nilikuwa na dukuduku kuhusu uwepo wa taifa letu la Tanzania Jumuiya ya Madola, dukuduku langu limezaa maswali kadhaa yenye kuhitaji majawabu kutoka kwenu wana jamii wenzangu.

1. Kwanini Taifa la Tanzania lipo Jumuiya ya Madola?

2. Ni faida zipi tunapata kuhusu uwepo wetu Jumuiya ya Madola?

3. Ni hasara zipi tutapata endapo hatuta kuwepo kwenye Jumuiya ya Madola?

4. Tukipima katika mizani faida na hasara za Jumuiya ya Madola kwetu, kipi kitakuwa ni bora kwetu? Tanzania kuendelea kuwepo katika jumuiya ya madola au tujitoe na kuendeleza maisha yetu ya kawaida kama Taifa nje ya Jumuiya ya Madola?

5. Kwa nini taifa la USA na Hongkong (China) hayapo Jumuiya ya Madola?

6. Je, inawezekana kwa njia ya amani member wa Jumuiya ya Madola akitaka kutoka naye akaruhusiwa kufanya hivyo?
View attachment 2353028
N.b: Karibuni wadau mwenye swali pia anaweza kuongeza swali lake.
Hoja yako wewe ni Tanzania kujitoa, lakini hujatwambia faida lukuki tutakazozipata kwa kujitoa na hasara kibao tunayoipata kwa kuwa kwenye Jumuiya ya Madola. Ebu weka hoja yako vizuri tuone tunachangiaje.
 
Hoja yako wewe ni Tanzania kujitoa, lakini hujatwambia faida lukuki tutakazozipata kwa kujitoa na hasara kibao tunayoipata kwa kuwa kwenye Jumuiya ya Madola. Ebu weka hoja yako vizuri tuone tunachangiaje.
Mimi nimetoa maswali yenye kuhitaji majawabu na wala sijaweka hoja yoyote hapo.
 
Mimi nimetoa maswali yenye kuhitaji majawabu na wala sijaweka hoja yoyote hapo.
Maswali gani ambayo huwezi kuyajengea hoja? Nikushauri tu, weka positive na negative impacts za kujitoa au kutojitoa tuchangie. Hili la maswali yako ya hovyo hupati kitu na Tanzania itaendelea kuwa mwanachama. Mark my word fella!
 
Back
Top Bottom