Tanzania Tulikuwa salama zaidi Mikononi mwa Ujamaa kuliko Tulivyo sasa Mikononi mwa Ubepari/Ubeberu

Tanzania Tulikuwa salama zaidi Mikononi mwa Ujamaa kuliko Tulivyo sasa Mikononi mwa Ubepari/Ubeberu

Amani iwe nanyi nyote.
Kwa wale wazee wenzangu mtakubaliana na mimi kwamba Tanzania ingekuwa mbali zaidi kimaendeleo endapo ingeendelea na mfumo wa Ujamaa chini ya chama kimoja kuliko ilivyo sasa.

Uchumi wetu ulianza kuyumba mara tu awamu ya pili chini ya Mzee Ruksa, Alhaji Ali Hassani Mwinyi ilipoingia madarakani na kuusaliti Ujamaa wa Hayati Mwl. JKN.

Hadi kufikia mwaka 1987, uchumi wa Tanzania ulikuwa unaongoza kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati. Hii ina maana uchumi wetu ulikuwa mkubwa kuliko hata wa Kenya ambayo ndiyo kinara kwa kuwa na uchumi mkubwa katika ukanda huu kwa sasa!

Miaka ya 1990 tulipokubaliana na mambo ya kipuuzi kama nchi, tukapoteana kabisa na hali yetu haijatengamaa mpaka kesho. Fedha yetu inazidi kuporomoka mwaka hadi mwaka huku kukiwa na pengo kubwa sana kati ya wenye nacho na wasionacho.

Hivyo ushauri wangu ni serikali kufanya kila linalowezekana kuturudisha katika mfumo wetu wa Ujamaa; Sera inayotutofautisha sisi na majirani zetu. Hii itasaidia kuleta ustawi kwa wote na kutuondolea kero ya kuwa na viongozi wezi na vibaka waliojificha kwa mavazi ya uongozi.
Asalaam Aleykum.
Wachambuzi JokaKuu zitto junior Pascal Mayalla Kalamu piteni hapa...
 
Ni kweli unachosema Mkuu, kuna baadhi ya mambo yaliyopelekea hiyo hali ngumu;
1. Athari ya njaa iliyotokana na ukame miaka ya mwanzoni mwa 70 (1973/1974)
2. Vita ya Kagera dhidi ya Nduli Idi Amin
Kwa hiyo si kweli kwamba ugumu wa maisha kwa miaka hiyo ambayo imekuwa ikirejelewa na wapinga Ujamaa wengi, ilisababishwa na Ujamaa wenyewe, bali ulisababishwa na mambo niliyoyataja hapo juu na wahujumu uchumi kwa kiasi walichangia hali ya ugumu wa maisha kwa wananchi pia.
 
Amani iwe nanyi nyote.
Kwa wale wazee wenzangu mtakubaliana na mimi kwamba Tanzania ingekuwa mbali zaidi kimaendeleo endapo ingeendelea na mfumo wa Ujamaa chini ya chama kimoja kuliko ilivyo sasa.

Uchumi wetu ulianza kuyumba mara tu awamu ya pili chini ya Mzee Ruksa, Alhaji Ali Hassani Mwinyi ilipoingia madarakani na kuusaliti Ujamaa wa Hayati Mwl. JKN.

Hadi kufikia mwaka 1987, uchumi wa Tanzania ulikuwa unaongoza kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati. Hii ina maana uchumi wetu ulikuwa mkubwa kuliko hata wa Kenya ambayo ndiyo kinara kwa kuwa na uchumi mkubwa katika ukanda huu kwa sasa!

Miaka ya 1990 tulipokubaliana na mambo ya kipuuzi kama nchi, tukapoteana kabisa na hali yetu haijatengamaa mpaka kesho. Fedha yetu inazidi kuporomoka mwaka hadi mwaka huku kukiwa na pengo kubwa sana kati ya wenye nacho na wasionacho.

Hivyo ushauri wangu ni serikali kufanya kila linalowezekana kuturudisha katika mfumo wetu wa Ujamaa; Sera inayotutofautisha sisi na majirani zetu. Hii itasaidia kuleta ustawi kwa wote na kutuondolea kero ya kuwa na viongozi wezi na vibaka waliojificha kwa mavazi ya uongozi.
Asalaam Aleykum.
Pole sana
 
Huna akili!

Nadhani hata kuzaliwa utakuwa umezaliwa mwaka 1995.

Kama ulikuwa na akili miaka ya 1982- 1985 na ulishuhudia namna watu kwalivyokuwa wanavaa viraka na kuogea majani ya mipapai kama sabuni sidhani kama unaweza kuja kuandika huu upuuzi wako hapa.

Ujamaa ni laana.
Huna haja ya kutukana. Muelimishe kwa hoja. Bila hoja na mitazamo tofauti, haina maana kuwa na jukwaa hili. Jifunze kuvumilia mitazamo tofauti ya watu.
 
Amani iwe nanyi nyote.
Kwa wale wazee wenzangu mtakubaliana na mimi kwamba Tanzania ingekuwa mbali zaidi kimaendeleo endapo ingeendelea na mfumo wa Ujamaa chini ya chama kimoja kuliko ilivyo sasa.

Uchumi wetu ulianza kuyumba mara tu awamu ya pili chini ya Mzee Ruksa, Alhaji Ali Hassani Mwinyi ilipoingia madarakani na kuusaliti Ujamaa wa Hayati Mwl. JKN.

Hadi kufikia mwaka 1987, uchumi wa Tanzania ulikuwa unaongoza kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati. Hii ina maana uchumi wetu ulikuwa mkubwa kuliko hata wa Kenya ambayo ndiyo kinara kwa kuwa na uchumi mkubwa katika ukanda huu kwa sasa!

Miaka ya 1990 tulipokubaliana na mambo ya kipuuzi kama nchi, tukapoteana kabisa na hali yetu haijatengamaa mpaka kesho. Fedha yetu inazidi kuporomoka mwaka hadi mwaka huku kukiwa na pengo kubwa sana kati ya wenye nacho na wasionacho.

Hivyo ushauri wangu ni serikali kufanya kila linalowezekana kuturudisha katika mfumo wetu wa Ujamaa; Sera inayotutofautisha sisi na majirani zetu. Hii itasaidia kuleta ustawi kwa wote na kutuondolea kero ya kuwa na viongozi wezi na vibaka waliojificha kwa mavazi ya uongozi.
Asalaam Aleykum.
VIPI NCHI ZINAZOENDELEA NA UJAMAA KAMA ULE ZIKO MIKONO SALAMA KIMAENDELEO?

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Amani iwe nanyi nyote.
Kwa wale wazee wenzangu mtakubaliana na mimi kwamba Tanzania ingekuwa mbali zaidi kimaendeleo endapo ingeendelea na mfumo wa Ujamaa chini ya chama kimoja kuliko ilivyo sasa.

Uchumi wetu ulianza kuyumba mara tu awamu ya pili chini ya Mzee Ruksa, Alhaji Ali Hassani Mwinyi ilipoingia madarakani na kuusaliti Ujamaa wa Hayati Mwl. JKN.

Hadi kufikia mwaka 1987, uchumi wa Tanzania ulikuwa unaongoza kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati. Hii ina maana uchumi wetu ulikuwa mkubwa kuliko hata wa Kenya ambayo ndiyo kinara kwa kuwa na uchumi mkubwa katika ukanda huu kwa sasa!

Miaka ya 1990 tulipokubaliana na mambo ya kipuuzi kama nchi, tukapoteana kabisa na hali yetu haijatengamaa mpaka kesho. Fedha yetu inazidi kuporomoka mwaka hadi mwaka huku kukiwa na pengo kubwa sana kati ya wenye nacho na wasionacho.

Hivyo ushauri wangu ni serikali kufanya kila linalowezekana kuturudisha katika mfumo wetu wa Ujamaa; Sera inayotutofautisha sisi na majirani zetu. Hii itasaidia kuleta ustawi kwa wote na kutuondolea kero ya kuwa na viongozi wezi na vibaka waliojificha kwa mavazi ya uongozi.
Asalaam Aleykum.
Wewe si umexaliwa juzi, hujui adha tuliyoipata wakati wa vijiji vya ujamaa? Uliwahi kununua sukari nusu kilo kwa foleni kwenye duka la Kijiji kwa mgao wa Mwenyekiti wewe?
 
Huna akili!

Nadhani hata kuzaliwa utakuwa umezaliwa mwaka 1995.

Kama ulikuwa na akili miaka ya 1982- 1985 na ulishuhudia namna watu kwalivyokuwa wanavaa viraka na kuogea majani ya mipapai kama sabuni sidhani kama unaweza kuja kuandika huu upuuzi wako hapa.

Ujamaa ni laana.
Anatudanganya dhahiri shahiri ati kwa kujiita wazee wenzangu.

Kwanza kwa kujiita kiijana wa Sankara tu (Burkinabe) umedhihirisha ujana wako.

Uchumi wa Tanzania ulianza kuanguka kuanzia mwaka 1974 baada ya sera za vijiji kufeli kabisa, watu walishindwa kulima na ukame ukafuatia kupigilia anguko hilo la uchumi. Kufuatia vita vya kujitakia baina yetu na Idi Amini hapo ndipo tulipopigilia msumari wa mwisho kiuchumi mpaka raia tulichanganyikiwa kabisa. Foleni kila kitu - mchele, sabuni, vitenge, mpaka petroli na diesel ilikuwa ya mgao na kipindi kile hata magari binafsi yalikuwa machache sana.

Unadhani yale majaribio ya kuteka ndege nyara ili watu wapate fursa kwenda ulaya, au jaribio la mapinduzi lililetwa na nini? Ni total failure ya sera za ujamaa, hata Nyerere mwenyewe alikubali kwenye moja ya mahojiano yake na vyombo vya habari vya nje alipokuwa Sweden (sina uhakika, jaribu kuitafuta kwenye mtandao).

Usimuangushie Mwinyi gunia la misumari bure, nchi aliikuta tayari iko hoi bin taabani.
 
Ujamaa ni sera ambayo ilitumika kisiasa zaidi, ili kulinda madaraka ya viongozi wengi ndani ya bara hili la kiza.Na ndio maana ulifeli,watu kama Mzee Mtei,Kombona nk waliliona hilo mapema sababu ya bwana yule kuitwa bwana haambiliki hakusikia la mtu.

Prof.Kizirahabi kwenye kitabu chake "kaptula ma Marx" ameeleza vema kabisa jinsi Rais Kapela alivyo feli.
 
Ujamaa ni sera ambayo ilitumika kisiasa zaidi, ili kulinda madaraka ya viongozi wengi ndani ya bara hili la kiza.Na ndio maana ulifeli,watu kama Mzee Mtei,Kombona nk waliliona hilo mapema sababu ya bwana yule kuitwa bwana haambiliki hakusikia la mtu.

Prof.Kizirahabi kwenye kitabu chake "kaptula ma Marx" ameeleza vema kabisa jinsi Rais Kapela alivyo feli.
Una hoja nzuri sana mkuu, Mwl alipenda madaraka mno hata hii katiba ya mwaka 1977 alifahamu fika udhaifu na mapungufu yake na alikiri hilo Ila hakuthubutu kurekebisha hilo.

Hicho kitabu ninaweza kukipata bookshop ?
 
Amani iwe nanyi nyote.
Kwa wale wazee wenzangu mtakubaliana na mimi kwamba Tanzania ingekuwa mbali zaidi kimaendeleo endapo ingeendelea na mfumo wa Ujamaa chini ya chama kimoja kuliko ilivyo sasa.

Uchumi wetu ulianza kuyumba mara tu awamu ya pili chini ya Mzee Ruksa, Alhaji Ali Hassani Mwinyi ilipoingia madarakani na kuusaliti Ujamaa wa Hayati Mwl. JKN.

Hadi kufikia mwaka 1987, uchumi wa Tanzania ulikuwa unaongoza kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati. Hii ina maana uchumi wetu ulikuwa mkubwa kuliko hata wa Kenya ambayo ndiyo kinara kwa kuwa na uchumi mkubwa katika ukanda huu kwa sasa!

Miaka ya 1990 tulipokubaliana na mambo ya kipuuzi kama nchi, tukapoteana kabisa na hali yetu haijatengamaa mpaka kesho. Fedha yetu inazidi kuporomoka mwaka hadi mwaka huku kukiwa na pengo kubwa sana kati ya wenye nacho na wasionacho.

Hivyo ushauri wangu ni serikali kufanya kila linalowezekana kuturudisha katika mfumo wetu wa Ujamaa; Sera inayotutofautisha sisi na majirani zetu. Hii itasaidia kuleta ustawi kwa wote na kutuondolea kero ya kuwa na viongozi wezi na vibaka waliojificha kwa mavazi ya uongozi.
Asalaam Aleykum.
Hatutakiwi kurudi kwenye ujamaa ule wala kubaki katika ubepari huu. Kwa maoni yangu tunatakiwa kuwa katikati ya hayo mawili...Tuchukue Yale ya wakati ule mazuri na haya ya Sasa mazuri Ili tuweze kuwa taifa Bora kabisa la mfano Africa.

Hii inawezekana kama tutapata viongozi ambao watakubali nchi iishi kile kilicho Bora na kuacha kupelekea maslahi Yao binafsi mbele
 
Wewe uliishi kipindi cha ujamaa au umesoma tuu history ? Kwa data zipi za mwaka 1987 kuwa Tanzania ilikuwa imara kiuchumi kuliko Kenya??

Kimsingi by that time kutokana na vita vya Uganda na Sera zetu za ujamaa zilisababisha nchi kuwa na madeni makubwa saana

Vile vile wizi na ufisadi pamoja na uhujumu uchumi ulisababisha mashirika mengi ya umma kutokuwa na perfomance nzuri.


Wananchi kutokuielewa vzr Sera ya ujamaa na kujitegemea hili pia lilikuwa tatzo.

Ili kuinusuru nchi kulikuwa hakuna namna lazima tuingie kwenye mfumo WA uchumi huria.....


Shida yetu SASA baaada ya kuingia huko ufisadi na wizi bado ni tatzo pesa nyingi za kuleta maendeleo Kwa umma zinanufaisha watu wachache saana (wanasiasa).

Uwepo wa tofauti kubwa ya kipato Kati ya walio nacho na wasio nacho ni matokeo ya kimfumo hususani huu WA kibepari Ila serekali SASA ndio Baba WA wasio na nacho inatakiwa ipambane kutoa huduma Bora za msingi kwa wasio nacho mfano elimu Afya miundombinu n.k...

But Kwa bahati mbaya viongozi hawatuthamini watu wa Hali ya Chini haha tunaishi Kama yatima tuu kwenye nchi hii.


Lastly ni vema tujikite kwenye kuchapa Kazi kujikwamua kwenye kundi la wasionacho..
Hali yetu ilikuwa dhaifu sana hata kabla ya Vita ya Kagera

Ujamaa ni mfumo unaolea wavivu kwa kuwa wana uhakika wa kipato sawa na wachapa kazi.

Ilikuwa ukifikia level ya kuwa Afisa Mwandamizi Serikalini unapelekwa kwny semina ya uongozi na moja ya mafunzo muhimu ni kupigwa marufuku kujishughulisha na shughuli zozote zitazokuongezea kipato nje ya Ajira

Kizazi cha sasa huenda wasiamiani ila tulipigwa marufuku kufanya shughuli yoyote ya kiuchumi,

tunashukuru sana 1992 Comrade Ally Hassan Mwinyi alikutana na miamba wenzie wakimya lakini wenye misimamo kina Comrade Ibrahim Kaduma kulifutilia mbali Azimio lililokuwa linakiuka misingi ya haki za binadamu

bila ya ushujaa ule sasa hivi sijui hali ingekuaje, imagine kumiliki fridge ya kupoza maji ya kunywa ilikuwa ni uhujunu uchumi, kumiliki TV ni unyonyaji.

Viongozi waliokuwa wanasimamia kuhakikisha hatuna Mafriji wala TV ilikuwa tukienda kuwatembelea kwao tunakunywa maji baridi na tunaangalia movie za kina Sarafina


Waliokuwa wanazuia tusiwinde wanyama pori kwa kitoweo ilikuwa tukienda kuwatembelea lazima tule mishikaki ya Pongo na Swala

ujamaa ni mfumo wa unafiki

Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
 
Uchumi wetu ulianza kuyumba mara tu awamu ya pili chini ya Mzee Ruksa, Alhaji Ali Hassani Mwinyi ilipoingia madarakani na kuusaliti Ujamaa wa Hayati Mwl. JKN.
This is not right, Uchumi wa Tanzania ulikua na matatitizo especially baada ya vita ya Uganda. Na Mwinyi hakusaliti ujamaa bali Nyerere hakutaka ku surrender kuwa kafeli, hivyo ilibidi aruhusu Rais mwingine aingie madarakani ili asimamie sera mpya. Sio Tanzania tu hata China walimpa kiti Deng Xiaoping ambaye alitwist kidogo kutoka ujamaa mpaka somehow mixed economy na kuruhusu expansionary monetary policy, FDIs, tax havens etc.
Hivyo ushauri wangu ni serikali kufanya kila linalowezekana kuturudisha katika mfumo wetu wa Ujamaa;
Ni nchi gani ujamaa umewasaidia with exception of nchi mbili tatu tu ila hapa Africa hakuna nchi ilitoboa kisa ujamaa. Sera ilifeli na hasa anguko la USSR ndio ikawa last blow, maana kama Russia ilifeli ina maana nchi yoyote iliyokua ya kijamaa ikabidi I surrender kwa western allies.
Hii itasaidia kuleta ustawi kwa wote na kutuondolea kero ya kuwa na viongozi wezi na vibaka waliojificha kwa mavazi ya uongozi.
Sidhani mkuu, mfano CCM ina ushindani na bado inaiba kila kitu sasa niambie ingekua haina hata competition ingekua na kipi cha kupoteza?. Kingine serikali improve failure kufanya biashara maana hakuna profit incentive ila private sector led growth ni more effective sana maana market is competitive and usipo deliver unatupwa nje ya soko. Linganisha performance ya TTCL vs Vodacom, au ATCL vs Precision ama TBC na wasafi FM!! Ni hivi ujamaa haujatusaidia na hakuna nchi imewasaidia.

Pure capitalism ama Private sector led growth ndio kila kitu.

Cc Proved
 
Amani iwe nanyi nyote.
Kwa wale wazee wenzangu mtakubaliana na mimi kwamba Tanzania ingekuwa mbali zaidi kimaendeleo endapo ingeendelea na mfumo wa Ujamaa chini ya chama kimoja kuliko ilivyo sasa.

Uchumi wetu ulianza kuyumba mara tu awamu ya pili chini ya Mzee Ruksa, Alhaji Ali Hassani Mwinyi ilipoingia madarakani na kuusaliti Ujamaa wa Hayati Mwl. JKN.

Hadi kufikia mwaka 1987, uchumi wa Tanzania ulikuwa unaongoza kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati. Hii ina maana uchumi wetu ulikuwa mkubwa kuliko hata wa Kenya ambayo ndiyo kinara kwa kuwa na uchumi mkubwa katika ukanda huu kwa sasa!

Miaka ya 1990 tulipokubaliana na mambo ya kipuuzi kama nchi, tukapoteana kabisa na hali yetu haijatengamaa mpaka kesho. Fedha yetu inazidi kuporomoka mwaka hadi mwaka huku kukiwa na pengo kubwa sana kati ya wenye nacho na wasionacho.

Hivyo ushauri wangu ni serikali kufanya kila linalowezekana kuturudisha katika mfumo wetu wa Ujamaa; Sera inayotutofautisha sisi na majirani zetu. Hii itasaidia kuleta ustawi kwa wote na kutuondolea kero ya kuwa na viongozi wezi na vibaka waliojificha kwa mavazi ya uongozi.
Asalaam Aleykum.
Tulikua pia hatupigi mswaki na kuoegea makapi sio sabuni sababu hizo zilikua bidhaa za anasa
Tulipia foleni kubwa tukizungumza kungoja zamu yetu tupate kilo ya yanga ili turudi tupike ugali.
TV tuliku tunasikia tu kuna kitu aina hiyo kipo kenya, uganda na baadae zanzibar.
Mleta mada umesema kweli ilikua ni pepo
 
Amani iwe nanyi nyote.
Kwa wale wazee wenzangu mtakubaliana na mimi kwamba Tanzania ingekuwa mbali zaidi kimaendeleo endapo ingeendelea na mfumo wa Ujamaa chini ya chama kimoja kuliko ilivyo sasa.

Uchumi wetu ulianza kuyumba mara tu awamu ya pili chini ya Mzee Ruksa, Alhaji Ali Hassani Mwinyi ilipoingia madarakani na kuusaliti Ujamaa wa Hayati Mwl. JKN.

Hadi kufikia mwaka 1987, uchumi wa Tanzania ulikuwa unaongoza kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati. Hii ina maana uchumi wetu ulikuwa mkubwa kuliko hata wa Kenya ambayo ndiyo kinara kwa kuwa na uchumi mkubwa katika ukanda huu kwa sasa!

Miaka ya 1990 tulipokubaliana na mambo ya kipuuzi kama nchi, tukapoteana kabisa na hali yetu haijatengamaa mpaka kesho. Fedha yetu inazidi kuporomoka mwaka hadi mwaka huku kukiwa na pengo kubwa sana kati ya wenye nacho na wasionacho.

Hivyo ushauri wangu ni serikali kufanya kila linalowezekana kuturudisha katika mfumo wetu wa Ujamaa; Sera inayotutofautisha sisi na majirani zetu. Hii itasaidia kuleta ustawi kwa wote na kutuondolea kero ya kuwa na viongozi wezi na vibaka waliojificha kwa mavazi ya uongozi.
Asalaam Aleykum.
Umeandika Aya chache sana kuunga mkono ushetani.

Ujamaa ni mzuri kama sio falsafa ya kiuchumi. Kama unaongelea ujamaa kama ushikaji wa kunywa bia, kahawa, kuzikana, it's okay. Imagine nchi hii wale matajiri wangekuwq hawatupi Hela baharini, hawatupi Mali zao barabarani, just imagine jamii inaogopa kuwa na tajiri, mzalishaji Mali.

Eti ukinywa safari lager serikali imeajiri mtu Kila baa awe anahesabu visoda/vizibo

Ujamaa ni mzuri kama ukipatiwa mchanganyiko mzuri na ubepari, ubepari needs to be diluted ....
 
Amani iwe nanyi nyote.
Kwa wale wazee wenzangu mtakubaliana na mimi kwamba Tanzania ingekuwa mbali zaidi kimaendeleo endapo ingeendelea na mfumo wa Ujamaa chini ya chama kimoja kuliko ilivyo sasa.

Uchumi wetu ulianza kuyumba mara tu awamu ya pili chini ya Mzee Ruksa, Alhaji Ali Hassani Mwinyi ilipoingia madarakani na kuusaliti Ujamaa wa Hayati Mwl. JKN.

Hadi kufikia mwaka 1987, uchumi wa Tanzania ulikuwa unaongoza kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati. Hii ina maana uchumi wetu ulikuwa mkubwa kuliko hata wa Kenya ambayo ndiyo kinara kwa kuwa na uchumi mkubwa katika ukanda huu kwa sasa!

Miaka ya 1990 tulipokubaliana na mambo ya kipuuzi kama nchi, tukapoteana kabisa na hali yetu haijatengamaa mpaka kesho. Fedha yetu inazidi kuporomoka mwaka hadi mwaka huku kukiwa na pengo kubwa sana kati ya wenye nacho na wasionacho.

Hivyo ushauri wangu ni serikali kufanya kila linalowezekana kuturudisha katika mfumo wetu wa Ujamaa; Sera inayotutofautisha sisi na majirani zetu. Hii itasaidia kuleta ustawi kwa wote na kutuondolea kero ya kuwa na viongozi wezi na vibaka waliojificha kwa mavazi ya uongozi.
Asalaam Aleykum.
Wapo waliodhani furaha ya maisha ni kujilimbikizia mimali miiingiii !
Wakafaulu kujilimbikizia lakini wamekuja kugundua kumbe mali huwa haileti furaha ile waliofikiria wataipata wakiwa na mimali mingi !!

Ndicho kilichotutoa kwenye reli !!
Tamaa ya mimali mingi binafsi !!
 
Back
Top Bottom