Tanzania tumedhalilishwa sana nchini Kenya. Isijirudie la sivyo tutalipiza kwa Uhuru Kenyatta desemba 9/2021

Kwahiyo hizo kelele za malalamiko ulizipiga wapi mpaka Kenyata akazisikie ?
Unajua Kenyata alikuwa wapi wakati Samia Suluhu anaingia Kenya?.
Jiwe aliyekuwa akilindwa na Waburundi, Wanyarwanda na Wasouth leo yuko wapi?
 
We jamaa una gubu! Utazani mwanamke mwenye mimba changa bana!
 
Reactions: Ilu
Mambo ya bifu na ligi ni ya mwendazake tulishatoka huko.Hata kama alipokolewa na mtendaji wa kijiji.
 
utopolo mtupu
 
Mwaga shule Baba kuhusu hilo vazi
 
Leta shule mkuu...kwann alivaa maruni. Kuna vitu tunaviona tuu kumbe vina maana.
 
Hilo la Amina na Suluhu nakupa mji.

Bila shaka Amina atavuna sana enzi hii ya Samia.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Ile nchinya kenya ipo sikubitakuwa mikononi wa utawala wa vizazi vya kisomali na ndipo siku iyo watapiga ukunga ... Viongozi wengi wenye asili ya somali sasa wameshika hatamu pale, mfano huyo Amina,
 
Waziri Bashungwa atampokea pale Airport
 
Kalamu1 kumbe huyu mama Amina ndio bingwa wa kuwapokea ma raisi wa kike pale wanapo zuru ile nchi ya Kenya tazama hii video hapao rais wa S.Korea Madam Park alitembelea kenya na huyo mama Amina ndio alimpokea pia ila by then alikuwa ni waziri wa mambo ya nje
kwa hiyo sio kutuzarau ila inaonekana ni utamaduni wa bwana Uhuru kuwatumia viongozi wa mama kuwapokea ma rais wa mama
 
Hii mitandao imetufanya tumezidi kua wajinga badala ya kuelimika.Kila mtu akishakula mashudu yake uko anawashwa kuja kuanzisha mada uku mtandaoni.Bure kabisa wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…