Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Kwahiyo hizo kelele za malalamiko ulizipiga wapi mpaka Kenyata akazisikie ?
Unajua Kenyata alikuwa wapi wakati Samia Suluhu anaingia Kenya?.
Jiwe aliyekuwa akilindwa na Waburundi, Wanyarwanda na Wasouth leo yuko wapi?
Unajua Kenyata alikuwa wapi wakati Samia Suluhu anaingia Kenya?.
Jiwe aliyekuwa akilindwa na Waburundi, Wanyarwanda na Wasouth leo yuko wapi?