Tanzania Tumepoteza Wanajeshi Wawili Nchini Congo Katika Mapambano na M23

Tanzania Tumepoteza Wanajeshi Wawili Nchini Congo Katika Mapambano na M23

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa masikitiko makubwa na uchungu mkubwa taarifa zinadai kuwa tumepoteza mashujaa wetu wawili wa JWTZ waliokuwa wakilinda amani Nchini Congo.

Vifo hivyo vimetokea kutokana na mashambulizi yaliyofanywa na M23.

Tutawajibu kikomandoo na watajuta . askari wetu wamekufa kishujaa na tutapigana kishujaa kulinda Amani ya Ukanda huu. JWTZ halijawa kurudi nyuma katika mapambano ya aina yoyote ile. Sisi ni washindi na tutashinda.
Screenshot_20250202-190906_1.jpg
Screenshot_20250202-190914_1.jpg
 
Amiri Jeshi wetu mkuu wa ccm hatoshi.
Oktoba 2025 chagua rais kutoka Chadema na wabunge wengi na kutoka Chadema.Pia chagua madiwani wengi kutoka Chadema.
 
Amiri Jeshi wetu mkuu wa ccm hatoshi.
Oktoba 2025 chagua rais kutoka Chadema na wabunge wengi na kutoka Chadema.Pia chagua madiwani wengi kutoka Chadema.
Duuu tukifanya hatutokuwa serious kama taifa
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa masikitiko makubwa na uchungu mkubwa taarifa zinadai kuwa tumepoteza mashujaa wetu wawili wa JWTZ waliokuwa wakilinda amani Nchini Congo.

Vifo hivyo vimetokea kutokana na mashambulizi yaliyofanywa na M23.

Tutawajibu kikomandoo na watajuta . askari wetu wamekufa kishujaa na tutapigana kishujaa kulinda Amani ya Ukanda huu. JWTZ halijawa kurudi nyuma katika mapambano ya aina yoyote ile. Sisi ni washindi na tutashinda.View attachment 3222565View attachment 3222566
Jitahidi wakati mwingine kuficha upumbavu wako,sawa sawa ?
 
Lucas Mwashambwa uliza ni kwa nini hapo mwisho limetumika neno "vikundi"!? Lakini pia issue ya M23 inahitaji maamuzi ya moja kwa moja. Ama ni wao kama M23 au ni Serikali ya DRC. Hii habari ya "Kulinda Amani" tunapotezeana muda tu. Natoa Pole kwa Jeshi letu na Watanzania Wote. Nawaombea majeruhi hao nafuu ya haraka ili warejee kwenye majukumu yao mapema.
 
Waliokufa ni Zaidi ya 02 ni wengi sana sema hawawezi kusema
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa masikitiko makubwa na uchungu mkubwa taarifa zinadai kuwa tumepoteza mashujaa wetu wawili wa JWTZ waliokuwa wakilinda amani Nchini Congo.

Vifo hivyo vimetokea kutokana na mashambulizi yaliyofanywa na M23.

Tutawajibu kikomandoo na watajuta . askari wetu wamekufa kishujaa na tutapigana kishujaa kulinda Amani ya Ukanda huu. JWTZ halijawa kurudi nyuma katika mapambano ya aina yoyote ile. Sisi ni washindi na tutashinda.View attachment 3222565View attachment 3222566
Ni kawaida, hata uwe na jeshi imara namna gani, kwenye mapambano lazima upoteze watu
 
Back
Top Bottom