jamaa anatumika na ufaransa kuiba madini tangu miaka mingi sana,,,,unaambiwa kwa sasa ufaransa amekuwa jambazi sugu baada ya kufukuzwa kwenye nchi za afrika mangaribi ka bukina faso,mali na nchi nyingine nimeisahau,,,,so ufaransa umeme wake anatumia nyuklia na mdini yake alikuwa anapata huko,,,so ufaransa kapaniki,,,,,so kagame amepewa mpaka mifumo ya ulinzi wa anga ka israil,kapewa drone za kutosha,,,,,makomando wake wanapewa mafunzo ufaransa,,,makapuni ya kutengeneza simu yanategemea madini hayo kutoka congo[yanapatikaka congo kwa asilimia 80]....ujue ndo manake magufuli alikuwa anasema sisi ni matajiri,kiuhalisia,wazungu wanajivunia miundo mbinu tu,lakiniteknolojia yao bila afrika hamna ki2,,,umeona trump ameanza kuizingua south?????''''''{wanatfuta sababu walizoea kuinyonya wakati wa makaburu].....bro!!! wazungu hamna ki2 ni masikini kuliko wewe,,,walimuua gadafi,sada,sababu ya mafuta tu!! KAGAME yupo kwenye payroll ya CIA,,,,,,,,,,,,,,,WEZI TU!!