Tanzania Tumepoteza Wanajeshi Wawili Nchini Congo Katika Mapambano na M23

Tanzania Tumepoteza Wanajeshi Wawili Nchini Congo Katika Mapambano na M23

Kwa jinsi nilivyo msikiliza dreva Mtanzania aliyekuwa Goma hivi karibuni nimeamini nidhamu ya wanajeshi wa Congo ipo chini mno bora hata ya mgambo. Siyo ajabu hatusikii shughuli ya JWTZ sababu wameona wenye nchi wenyewe hawataki kupigana badala yake wanataka majeshi ya nje ambayo kimsingi yana resources chache ndiyo yapigane mstari wa mbele.

Sitashangaa kusikia serikali ya Congo imeondoshwa madarakani sababu M23 kwa kiasi flani wanafanikiwa kuwashawishi viongozi wa nchi jirani kuwa wao hawana ugomvi na majirani na watalinda maslahi ya nchi jirani.
 
Kwa jinsi nilivyo msikiliza dreva Mtanzania aliyekuwa Goma hivi karibuni nimeamini nidhamu ya wanajeshi wa Congo ipo chini mno bora hata ya mgambo. Siyo ajabu hatusikii shughuli ya JWTZ sababu wameona wenye nchi wenyewe hawataki kupigana badala yake wanataka majeshi ya nje ambayo kimsingi yana resources chache ndiyo yapigane mstari wa mbele.

Sitashangaa kusikia serikali ya Congo imeondoshwa madarakani sababu M23 kwa kiasi flani wanafanikiwa kuwashawishi viongozi wa nchi jirani kuwa wao hawana ugomvi na majirani na watalinda maslahi ya nchi jirani.

haha na unaamini kabisa kwamba tanzagiza ni tofauti ?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa masikitiko makubwa na uchungu mkubwa taarifa zinadai kuwa tumepoteza mashujaa wetu wawili wa JWTZ waliokuwa wakilinda amani Nchini Congo.

Vifo hivyo vimetokea kutokana na mashambulizi yaliyofanywa na M23.

Tutawajibu kikomandoo na watajuta . askari wetu wamekufa kishujaa na tutapigana kishujaa kulinda Amani ya Ukanda huu. JWTZ halijawa kurudi nyuma katika mapambano ya aina yoyote ile. Sisi ni washindi na tutashinda.View attachment 3222565View attachment 3222566
452232294_122164647686184282_7557241166681344637_n.jpg
 
Hivi ni kwamba huyu jamaa ni mbabe sana au maana katuchezeshea kichapo Cha mbwa Koko Kwa wanajeshi wetu amewaua wengine wanapumulia mipira halafu yupo kimya inamaana jeshi letu ni dhaifu mods naombeni msiunganishe huu Uzi
 
Hivi ni kwamba huyu jamaa ni mbabe sana au maana katuchezeshea kichapo Cha mbwa Koko Kwa wanajeshi wetu amewaua wengine wanapumulia mipira halafu yupo kimya inamaana jeshi letu ni dhaifu mods naombeni msiunganishe huu Uzi
Anawapa kichapo nyie watutsi wenzake mnaomuabudu na kumuogopa.
 
  • Thanks
Reactions: rr4
Hivi ni kwamba huyu jamaa ni mbabe sana au maana katuchezeshea kichapo Cha mbwa Koko Kwa wanajeshi wetu amewaua wengine wanapumulia mipira halafu yupo kimya inamaana jeshi letu ni dhaifu mods naombeni msiunganishe huu Uzi
Umeishia la ngapi!?
 
  • Thanks
Reactions: rr4
Hivi ni kwamba huyu jamaa ni mbabe sana au maana katuchezeshea kichapo Cha mbwa Koko Kwa wanajeshi wetu amewaua wengine wanapumulia mipira halafu yupo kimya inamaana jeshi letu ni dhaifu mods naombeni msiunganishe huu Uzi
Hujui kiini cha mgogoro wa Mashariki ya Congo so ni vyema ukajua chimbuko kwanza! Banyamulemge ambao ni watusi waishio Congo so raia wa Rwanda na Kagame hahusiki nao. Hao ni raia wa Congo na wanapigania haki yao,kuwafukuza ama kumhusisha Kagame ni kuionea Rwanda, Tsekedi aendelee tu kushupaza shingo hadi Congo itumbukie shimoni.
 
Back
Top Bottom