Tanzania tuna akiba ya forex ya kuagiza bidhaa na huduma nje kwa miezi sita au kutulisha wote kwa miezi mitatu

Makubwa haya yako wapi na hafanyi yeye sema mfumo unaanza kutengenezwa kurekebisha makosa aliyofanya na Mwendazake. Pia inawezekana vipi akatoa mafanikio hayo ambayo yalipaswa kutolewa na Waziri wa Fedha ama CAG. Tuache kudanganyana.
Wote hao kawateua yeye na wanaripoti kwake,

Shida iko wapi kutoa hiyo taarifa yeye?


#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
 
Wacha uongo wewe!!!! Kwa hiyo miezi 7 aliyokuwa madarakani amefanya yepi ya kuingiza hela yote hiyo zaidi ya mikopo ya COVID-19 toka ADB na IMF na sasa Chifu matonya anafukuzia mkopo mwingine WB?



 
Wote hao kawateua yeye na wanaripoti kwake,

Shida iko wapi kutoa hiyo taarifa yeye?


#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Kwa uandishi huu sidhani kama zimetimia. Ndio tunahitaji katiba mpya Rais awe chini ya Wananchi sio kuajuu yetu. Brazil wanakinukisha kaa Rais wao. Hapa Kenya tu Rais hawezi kujiongelea tu vitu hewa.
 
Wacha uongo wewe!!!! Kwa hiyo miezi 7 aliyokuwa madarakani amefanya yepi ya kuingiza hela yote hiyo zaidi ya mikopo ya COVID-19 toka ADB na IMF na sasa Chifu matonya anafukuzia mkopo mwingine WB?
Nani kakwambia Loan sio income wewe Chadema?

Loan ni income pia liability,

Wacha akope maadamu anakopesheka kwa hizo riba za 0.56% hadi 2%

Hata kama mimi ningekopa tu ili kuwaletea unafuu wa maisha wananchi wangu



#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
 
Taliban wakisikia kuna nchi inaongozwa na mwanamke watasikitika sana....
 
Toa ujinga wako hapa loan ni specific kwa ajili ya COVID-19 wewe utasemaje ni akiba. Lian inakuwaje income wakati una obligation ya kulipa principle na interest?

 
Kaziongeza toka wapi? Mfukoni kwake au?
Nyie ngojeni tu mkianza kukamuliwa mbupu msilie tu.
 
Kwa uandishi huu sidhani kama zimetimia. Ndio tunahitaji katiba mpya Rais awe chini ya Wananchi sio kuajuu yetu. Brazil wanakinukisha kaa Rais wao. Hapa Kenya tu Rais hawezi kujiongelea tu vitu hewa.
Kwani mliokula zile 235bl za katiba mpya sio nyie Chadema,

Mlipoona siku za posho zimeisha mkaanzisha UKAWA ili kuvuruga zoezi la upatikanaji wa katiba mpya, au sio nyie mlifanya kukoseka kwa 2/3 bunge la katiba?

Wahuni nyie na katiba mpya mtaisoma kwenye Rasimu tu,


Tuache kupeleka maji vijijini tuhangaike na wahuni wasiojitambua,


#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
 
Tumia akili kusifia basi, 4.8 +2.3 inakua 5.8? Au umelogeka?
Sifa zinahitajika lakini sio kwa kiwango cha kijinga namna hii,
Mnafanya tuonekane tunasifia bila akiri
 
Kaiongezea kutoka mfukoni kwake?

Hongera zake
 
Jamaa huyu ni mpuuzi mkubwa kwa kuandika ujinga wake kwa kutumia FAKE numbers.
Fake numbers zipi?

Chadema awamu hii huu mziki hamchezi tikiseni vichwa tu,


#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
 
Fala sana wewe. Pimbi unashabikia mkopo ndio maana tunakuwa na maisha magumu.
 
Reactions: BAK

Fake numbers zipi?

Chadema awamu hii huu mziki hamchezi tikiseni vichwa tu,


#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…