MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,952
- 10,500
Naona vyombo vya habari vingi vinajifanya kama havina habari kabisa kuhusu uchaguzi wa kenya yaani wanachukulia kama vile uchaguzi wa kumchagua mjumbe nyumba 10 10.
Serikali y a CCM mnalo la kujifanza hapa msijifanye hampo na hamna habari, angalieni chaguzi ya Kenya inavyofanyika pamoja na mapungufu machache lkn unaweza ona jinsi uchaguzi ulivyokuwa umekubalika na wananchi wa kenya upo huru.
CCM jifunzeni kuendesha mambo kwa demokrasia wapeni uhuru wananchi wapeni uhuru vyama vya siasa vifanye shughuli zao kwa uhuru kanini mnakuwa waogamno kupitiliza?
Mnakuwa waoga mpaka mnakuwa kama wajinga. miaka 60 ya uhuru kweli mnaishi kwa style hii?
sasa jifunzeni kupitia uchaguzi huu wa kenya acheni kubana watanzania kujielezea kwa uhuru.
azamtv nimewaona wapo mjini nairobi hapa wakituhabarisha kwa uzuri sana
Serikali y a CCM mnalo la kujifanza hapa msijifanye hampo na hamna habari, angalieni chaguzi ya Kenya inavyofanyika pamoja na mapungufu machache lkn unaweza ona jinsi uchaguzi ulivyokuwa umekubalika na wananchi wa kenya upo huru.
CCM jifunzeni kuendesha mambo kwa demokrasia wapeni uhuru wananchi wapeni uhuru vyama vya siasa vifanye shughuli zao kwa uhuru kanini mnakuwa waogamno kupitiliza?
Mnakuwa waoga mpaka mnakuwa kama wajinga. miaka 60 ya uhuru kweli mnaishi kwa style hii?
sasa jifunzeni kupitia uchaguzi huu wa kenya acheni kubana watanzania kujielezea kwa uhuru.
azamtv nimewaona wapo mjini nairobi hapa wakituhabarisha kwa uzuri sana