Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Labda zenji ya huku matomboNenda kasimame kwenye fukwe za Zanzibar uwaulize wapita njia.Watakalokueleza uje tena nikuelekeze uende wapi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda zenji ya huku matomboNenda kasimame kwenye fukwe za Zanzibar uwaulize wapita njia.Watakalokueleza uje tena nikuelekeze uende wapi.
Kumbe akili zako ndiyo zilivyo?Bure beleshi!Labda zenji ya huku matombo
Nyie wenye akili mnalia tu mitandaoni.. vitendo 0Kumbe akili zako ndiyo zilivyo?Bure beleshi!
If wishes were horses.........zwazwa la lumumba katika uzwazwa wako shwain kweli wewe
mmejawa ujinga miaka yote leo aibu inawapata mnashindwa hata kuelezea kinachoendelea uUCHAGUZI WA KENYA na sio chafuzi kama mliofanya ndezi nyie na lile ZOMBI KUU lilionyakuliwa na ZILAELIPovu tulia mpapaswe na ccm ma keyboard warriors
Mwisho wa siku bado upo chini ya ccm harakati za kwenye keyboard hazijawahi saidia kitummejawa ujinga miaka yote leo aibu inawapata mnashindwa hata kuelezea kinachoendelea uUCHAGUZI WA KENYA na sio chafuzi kama mliofanya ndezi nyie na lile ZOMBI KUU lilionyakuliwa na ZILAELI
Subiri mshindi atangazwe
Hata utoe povu lita 10 wewe bado beki 3 wa ccmkampikie mumeo fala weye
Naona vyombo vya habari vingi vinajifanya kama havina habari kabisa kuhusu uchaguzi wa kenya yaani wanachukulia kama vile uchaguzi wa kumchagua mjumbe nyumba 10 10.
Serikali y a CCM mnalo la kujifanza hapa msijifanye hampo na hamna habari, angalieni chaguzi ya Kenya inavyofanyika pamoja na mapungufu machache lkn unaweza ona jinsi uchaguzi ulivyokuwa umekubalika na wananchi wa kenya upo huru.
CCM jifunzeni kuendesha mambo kwa demokrasia wapeni uhuru wananchi wapeni uhuru vyama vya siasa vifanye shughuli zao kwa uhuru kanini mnakuwa waogamno kupitiliza?
Mnakuwa waoga mpaka mnakuwa kama wajinga. miaka 60 ya uhuru kweli mnaishi kwa style hii?
sasa jifunzeni kupitia uchaguzi huu wa kenya acheni kubana watanzania kujielezea kwa uhuru.
azamtv nimewaona wapo mjini nairobi hapa wakituhabarisha kwa uzuri sana
Naona vyombo vya habari vingi vinajifanya kama havina habari kabisa kuhusu uchaguzi wa kenya yaani wanachukulia kama vile uchaguzi wa kumchagua mjumbe nyumba 10 10.
Serikali y a CCM mnalo la kujifanza hapa msijifanye hampo na hamna habari, angalieni chaguzi ya Kenya inavyofanyika pamoja na mapungufu machache lkn unaweza ona jinsi uchaguzi ulivyokuwa umekubalika na wananchi wa kenya upo huru.
CCM jifunzeni kuendesha mambo kwa demokrasia wapeni uhuru wananchi wapeni uhuru vyama vya siasa vifanye shughuli zao kwa uhuru kanini mnakuwa waogamno kupitiliza?
Mnakuwa waoga mpaka mnakuwa kama wajinga. miaka 60 ya uhuru kweli mnaishi kwa style hii?
sasa jifunzeni kupitia uchaguzi huu wa kenya acheni kubana watanzania kujielezea kwa uhuru.
azamtv nimewaona wapo mjini nairobi hapa wakituhabarisha kwa uzuri sana
Kubadilishana kupitia chama chetu kimoja !! Au siyo bandugu ??!Kenya ndio wanatakiwa wajifunze kutoka Tanzania namna tunavyobadilishana Madaraka bila ukabila wala kumwaga damu
Ukweli ni kuwa uchaguzi wa Kenya ni kiini macho kama chaguzi nyingine za Afrika. Tanzania ni mbaya zaidi, lakini hakuna ahueni Kenya.
dah asee!! kweli kuna watu humu akili zao ni kama anapimiwa kibaba ndo anatumia matokeo yake ndo haya... ZA KUSHIKIWA NDO HIZIUkweli ni kuwa uchaguzi wa Kenya ni kiini macho kama chaguzi nyingine za Afrika. Tanzania ni mbaya zaidi, lakini hakuna ahueni Kenya.