Tanzania tunajifunza nini kuhusu uchaguzi wa Kenya? Tubadilike

Povu tulia mpapaswe na ccm ma keyboard warriors
mmejawa ujinga miaka yote leo aibu inawapata mnashindwa hata kuelezea kinachoendelea uUCHAGUZI WA KENYA na sio chafuzi kama mliofanya ndezi nyie na lile ZOMBI KUU lilionyakuliwa na ZILAELI
 
mmejawa ujinga miaka yote leo aibu inawapata mnashindwa hata kuelezea kinachoendelea uUCHAGUZI WA KENYA na sio chafuzi kama mliofanya ndezi nyie na lile ZOMBI KUU lilionyakuliwa na ZILAELI
Mwisho wa siku bado upo chini ya ccm harakati za kwenye keyboard hazijawahi saidia kitu
 
Wacha tusubiri back to office report ya Mzee Kikwete itaishauri nini Serikali ya SSH.
 
Watanzania hawana cha kujifunza,licha ya mfumko wa kupanda Bei bidhaa mbalimbali ikiwemo petrol ,leo natokea Bukoba naenda Dsm njia nzima wananchi wanafanya maandamano ya Simba day bila wasiwasi.!
 
Ukweli ni kuwa uchaguzi wa Kenya ni kiini macho kama chaguzi nyingine za Afrika. Tanzania ni mbaya zaidi, lakini hakuna ahueni Kenya.
dah asee!! kweli kuna watu humu akili zao ni kama anapimiwa kibaba ndo anatumia matokeo yake ndo haya... ZA KUSHIKIWA NDO HIZI
 
Kuwa Tanzania imeshamiri demokrasia na kwamba hakuna sababu za malalamiko ya upinzani na kwamba wapinzani ni wachumia tumbo tu...bla bla bla.....nataka kujua jibu lao. Hivi wanapotazama uchaguzi wa Kenya wanaona nini?

Katika uchaguzi wa Kenya, unaona dhahiri watu wanavyokuwa na uhuru wa kumchagua wamtakaye
Unaona watu walivyo na uhuru wa kusema, kushutumu, kurekebisha na kukataa.

Unaona wagombea wote wanavyopewa haki sawa za kujitangaza katika vyombo vya dola
Unaona jinsi wanaoamini wameonewa walivyo na njia za ku address maonevu
Unaona mahakama zao zilivyo huru na kufanya maamuzi.

Au hamuoni?

Tukubali, tuko nyuma sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…