Pre GE2025 Tanzania tunaongozwa na Watanzania? Yanayotokea ni bahati mbaya? Asante CDF

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nchi inahitaji wazalendo, ukiona watu wamelalamika kaa ukijua hao watu ambao ni wakimbizi walio kwenye nafasi za maamuzi si wazalendo , kitendo wao kuwa si wazalendo kwa nchi yao ndo kimefanya tuwashitukie ila kama wangekuwa wazalendo Wala tusinge jua kama si watanzania.
 
Jamii forum Kuna wakimbizi wengi sana
 
Hoja ni mapandikizi wa Kagame Tanzania, wanachukua uraia huku kutengeneza njia ya M23
 
Rais akusaidie kwa utumbo uliouandika bila datails? Kutaja majina ya nchi ndiyo kwako imeshakuwa ukweli?

Kwanza muelewe ile kazi top pale kama siyo system huzipati kabisa.
Mapandikizi hadi USA wapo
Na USA ni watu makini
sasa nchi yako hii ambapo cv ni kujuana tu
Unadhani ni nini kinaweza kushundikana
Watu wanakupa tu miaka mitano au mitatu ya kudeal na wewe basi unamuona huyu ni rafiki wa kweli kama ndugu basi anakupa mwanae ambaye amesoma na hana kazi unamuweka mahali
Huyo unaemuweka sehemu Kwasababu wewe labda ni waziri na umempeleka pale dogo kwenye taasisi flani na anaonekana ana ukaribu na wewe waziri basi mambo yake yanakuwa rahisi na kuogopwa na wafanyakazi wenzake na hiyo ni njia ya kwenda mbele zaidi
 
Kwenda wewe. Mnajifanya mnajuwa kumbe hamjuwi lolote.

Nyinyi ni watu ambao hazicharge kabisa vichwani mwenu, hata CDF hamjamuelewa kwanini kayasema yale.
Mwambieni Mama Samia Mwalimu Nyerere mwaka 1964 Jeshi la Tanganyika lilitaka kumpindua baada ya kulazimisha Wazungu kuendelea kushika nyadhifa za kijeshi wakati siyo Watanganyika na leo tena Rais anaambiwa na Jeshi kuna watu ambao si raia wamekamata nyadhifa za kimaamuzi.
Endeleeni na uchawa JWTZ siyo Jeshi la Polisi!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Marekani inawageni kibao kwenye system hadi vyombo nyeti. Biden shughulikia hilo.
 
Mipaka ya bara la Afrika ilichorwa na wakoloni wakiwa wameketi kwenye meza huko Berlin Ujerumani bila kutia mguu Afrika. Matokeo ni kwamba mipaka haikizingatia jamii husika. Si ajabu kule Ngara , Kigoma , Mtwara, Karagwe nk baadhi ya familia zilitenganishwa.
Baba mdogo akajikuta yuko Uganda , baba mkubwa Tanzania, Shangazi Rwanda, Mjaomba Tanzania.
Laiti waliochora mipaka wangekuwa field hizo changamoto zisingetokea.
 
Basi pigieni kelele tatizo la kukosekama uzalendo, sio tatizo la kukosa wazawa katika uongozi.

Kwa sababu, mzawa pia anaweza kukosa uzalendo na asiye mzawa anaweza kuwa na uzalendo.

Uzawa na uzalendo si lazima viende pamoja.

Kwani madudu yote yaliyofanyika nchi hii yamefanywa na watu wasio wazawa?

Mbona mnatolewa relini kwa hoja ambazo hazina mashiko?
 
We ni mbeya ndiyo maana unaogopa kuwataja maana hauna ushahidi zaidi ya kusikia kwenye vijiwe vya kashata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…