Tanzania tunazalisha wanasiasa, wanasheria na viongozi wa Dini kuliko wanasayansi alaf tunataka kuingia 5G

Tanzania tunazalisha wanasiasa, wanasheria na viongozi wa Dini kuliko wanasayansi alaf tunataka kuingia 5G

mgt software

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
13,778
Reaction score
7,145
Wana JF,

Ukisikia nchi kulogwa na aliyeiloga kafa ndio huu mchezo wa kudumaza mambo ya kisayansi na kuzalisha wanasiasa wengi, wanasheria wengi, wahubili wengi kiasi cha kukosa dira ya mpango wa elimu bora yenye mtririko wa kisayansi.

Ukienda kwenye vyuo vikuu vya umma utakuta vijana wengi wamekimbilia masomo ya wanasheria, nia yao ni kwakuwa wanasomea kujua kuupepeta ndomo ili waje kupata nafasi za uongozi kwenye serikali. Hii uweza kutugawa kwani idadi ya wanasayansi inapungua kwa kasi kwani kwenye sayansi wanaona hakuna masilahi mapana. Waliosota kwenye masomo ya sayansi huwa wakiwaoona wenzao wakichukuliwa vyuoni kwenda kuwa viongozi uona kama kazi aliyoisomea ya wanasayansi kama alipotoa. Mwanasayansi ni mhanga sana kwani serikali huwa haimwangalii usoni kwani ni wao tu waliokwenye Miliki wanachaguana kwa uswahili hata kama kichwani hanna kitu. Ndio hawa wanatoa data za uongo kuhusu kupungua kwa maji, umeme. Lakini kama tungezalisha wataalum wengi wa sayansi tu kama Korea au China tungekuwa na maendeleo sana. Chukulia wale wanaojazana kwenye makanisa kutafuta miuugiza wanavyopoteza fedha nyingi kutafuta maombi ya upepo.
 
Wana JF,

Ukisikia nchi kulogwa na aliyeiloga kafa ndio huu mchezo wa kudumaza mambo ya kisayansi na kuzalisha wanasiasa wengi, wanasheria wengi, wahubili wengi kiasi cha kukosa dira ya mpango wa elimu bora yenye mtririko wa kisayansi.

Ukienda kwenye vyuo vikuu vya umma utakuta vijana wengi wamekimbilia masomo ya wanasheria, nia yao ni kwakuwa wanasomea kujua kuupepeta ndomo ili waje kupata nafasi za uongozi kwenye serikali. Hii uweza kutugawa kwani idadi ya wanasayansi inapungua kwa kasi kwani kwenye sayansi wanaona hakuna masilahi mapana. Waliosota kwenye masomo ya sayansi huwa wakiwaoona wenzao wakichukuliwa vyuoni kwenda kuwa viongozi uona kama kazi aliyoisomea ya wanasayansi kama alipotoa. Mwanasayansi ni mhanga sana kwani serikali huwa haimwangalii usoni kwani ni wao tu waliokwenye Miliki wanachaguana kwa uswahili hata kama kichwani hanna kitu. Ndio hawa wanatoa data za uongo kuhusu kupungua kwa maji, umeme. Lakini kama tungezalisha wataalum wengi wa sayansi tu kama Korea au China tungekuwa na maendeleo sana. Chukulia wale wanaojazana kwenye makanisa kutafuta miuugiza wanavyopoteza fedha nyingi kutafuta maombi ya upepo.
Tanzania hatuzalishi wanasiasa, viongozi wa dini wala wana sheria kwa wingi kama unavyodhani. Ukweli ni kwamba hizi fani ndiyo fani rahisi kwa mtu yoyote kuighilbu jamii kuwa amesomea au amehitimua na kusiwe na kigezo maalum cha kumpima; hivyo matapeli wengi wana-take advantage. Mtu yoyote anaweza kujifanya ni kiongozi wa dini, au ni mwanasiasa au mwanasheria. Linapokuwa suala la uana-sayansi ni vigumu (japo siyo impossible) kudanganya kwani sayansi inaendana na matokeo yanayoonekana.

 
Naunga mkono Ni wakati Kama Taifa tuamue moja wanafunzi wote kuanzia chekechea Hadi secondary wasome masomo ya sayansi tu

Haya masomo ya kupepeta mdomo yawe optional mtu akitaka ayasome mwenyewe kwa wakati wake
 
Tanzania hatuzalishi wanasiasa, viongozi wa dini wala wana sheria kwa wingi kama unavyodhani. Ukweli ni kwamba hizi fani ndiyo fani rahisi kwa mtu yoyote kuighilbu jamii kuwa amesomea au amehitimua na kusiwe na kigezo maalum cha kumpima; hivyo matapeli wengi wana-take advantage. Mtu yoyote anaweza kujifanya ni kiongozi wa dini, au ni mwanasiasa au mwanasheria. Linapokuwa suala la uana-sayansi ni vigumu (japo siyo impossible) kudanganya kwani sayansi inaendana na matokeo yanayoonekana.

Kuna kipindi tulikuwa na wimbi la wanasayansi waliokuwa wanatibu kovidi kwa kusaga majani pori mbali mbali 🤣
 
Kuna kipindi tulikuwa na wimbi la wanasayansi waliokuwa wanatibu kovidi kwa kusaga majani pori mbali mbali 🤣
Ni kweli kabisa. Lakini uzuri wa sayansi ni kuwa udanganyifu wake haudumu muda mrefu au ni rahisi zaidi kuugundua kwani matokeo yake huonekana (japo kuna wakati inaweza isigundulike, lakini siyo mara nyingi).
 
Wana JF,

Ukisikia nchi kulogwa na aliyeiloga kafa ndio huu mchezo wa kudumaza mambo ya kisayansi na kuzalisha wanasiasa wengi, wanasheria wengi, wahubili wengi kiasi cha kukosa dira ya mpango wa elimu bora yenye mtririko wa kisayansi.

Ukienda kwenye vyuo vikuu vya umma utakuta vijana wengi wamekimbilia masomo ya wanasheria, nia yao ni kwakuwa wanasomea kujua kuupepeta ndomo ili waje kupata nafasi za uongozi kwenye serikali. Hii uweza kutugawa kwani idadi ya wanasayansi inapungua kwa kasi kwani kwenye sayansi wanaona hakuna masilahi mapana. Waliosota kwenye masomo ya sayansi huwa wakiwaoona wenzao wakichukuliwa vyuoni kwenda kuwa viongozi uona kama kazi aliyoisomea ya wanasayansi kama alipotoa. Mwanasayansi ni mhanga sana kwani serikali huwa haimwangalii usoni kwani ni wao tu waliokwenye Miliki wanachaguana kwa uswahili hata kama kichwani hanna kitu. Ndio hawa wanatoa data za uongo kuhusu kupungua kwa maji, umeme. Lakini kama tungezalisha wataalum wengi wa sayansi tu kama Korea au China tungekuwa na maendeleo sana. Chukulia wale wanaojazana kwenye makanisa kutafuta miuugiza wanavyopoteza fedha nyingi kutafuta maombi ya upepo.
Ni heri wana sheria wanaosimamia maslahi ya nchi pale panapohitajika rejea jinsi TLS walivyosaidia kupambana na utawala wa kibabe wa awamu ya tano kisheria kuliko wana sayansi walio amua kukaa kimya kipindi ambacho nchi ilihitaji maoni yao juu ya Korona na ukataji wa miti wa hovyo pale rufiji. Kama wana sayansi wangepaza sauti leo tusingekuwa na mgao wa maji wala joto
 
Kuna kipindi tulikuwa na wimbi la wanasayansi waliokuwa wanatibu kovidi kwa kusaga majani pori mbali mbali 🤣
drakekidding.png

Usinikumbushe... Mbavu zangu jamani
 
Kuna kipindi tulikuwa na wimbi la wanasayansi waliokuwa wanatibu kovidi kwa kusaga majani pori mbali mbali 🤣
Madokta wa Pale Muhimbili wengine Ni ma profesa kabisa wametengeneza jiko la kujifukiza ili kupambana na Covid pale hosp.,yaani wakawa na akili Kama ya yule mbunge musukuma ambae ni darasa la 7 aliyejenga jiko huko kijijini kwake ili wananchi wake wapate huduma ya bure ya kujifukiza.
 
Kwangu nimefikia hatua ya kukufuru kwa kusema waafrika wengi wakisoma anakuwa na matatizo zaidi badala ya kuyatatua. Nilimsikia ''Profesa'' Kilila Mkumbo akizungumza juzi kwenye mjadala wa mtanzaoni, ohoo God, basi tu. Ni Mungu tu atusaidie.
😄😄😄😄 tunaendaga shule ili kupata ajira tu,sio nje ya hapo boss.
 
Siasa, Sheria na Dini ni sehemu ambazo upatikanaji wa utajiri ni rahisi sana na kwa muda mfupi.
Lakini huko ndiko kumejaza upigaji mwingi. Ni uzuni kuona nchi inaingia kwenye janga la wanasiasa kuliko wanasayansi. Kitu pekee tunachojua watanzania ni kutumia tu sio kuvumbua kitu.
 
😄😄😄😄 tunaendaga shule ili kupata ajira tu,sio nje ya hapo boss.
Nakubaliana na wewe kbaisa ndugu yangu. Hata ukiona shule/vyuo zinavyofundisha utajua kabisa wamelenga wahitimu kupata vyeti na kuajiriwa tu.
 
Ni heri wana sheria wanaosimamia maslahi ya nchi pale panapohitajika rejea jinsi TLS walivyosaidia kupambana na utawala wa kibabe wa awamu ya tano kisheria kuliko wana sayansi walio amua kukaa kimya kipindi ambacho nchi ilihitaji maoni yao juu ya Korona na ukataji wa miti wa hovyo pale rufiji. Kama wana sayansi wangepaza sauti leo tusingekuwa na mgao wa maji wala joto
Yaani unaamini kabisa mgao ni kwasababu ya ukataji miti? Hivi unafahamu miti ina punguza uwrpo wa maji kwa kasi na wingi? Usivamie fani kwakudhani unataka kumdhalilidha mtu...
 
Yaani unaamini kabisa mgao ni kwasababu ya ukataji miti? Hivi unafahamu miti ina punguza uwrpo wa maji kwa kasi na wingi? Usivamie fani kwakudhani unataka kumdhalilidha mtu...
Hajui kutoa solution anapuyanga tu butua uwahokoe wenzako
 
Back
Top Bottom