Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Kujenga high speed train lazima kuwe na vitu vya kuwahi kwanza, sio unajenga high speed train wakati watu hawawezi kumudu nauli yake haswa kwa sababu uchumi mdogo.
Jenga uchumi, uchumi ukifikia sehemu ya kuhitaji high speed train tutajenga.
Mmarekani na ujanja wake wote high speed trains zimemshinda/ kaziona hazina tija.Ukiondoa hiyo Acela ya Boston/DC ambayo is the steam engine locomotive of high speed trains.
Sio tunataka kuiga tu.
Tuna uchumi mdogo na hayo ma project ya high speed train yanataka sio tu mabilioni ya fedha kuanzia, bali ni high maintenance, yanagharimu sana ku maintain, ajali zake mbaya sana (angalia ajali ya Shanghai Beijing line ilivyokuwa mbaya).
Hiyo mi treni yetu tu inatushinda, unataka twende kwenye high speed trains?
Hujaweza kutembea unataka kukimbia?
Ukiwauliza Watanzania kero kubwa kwao ni nini, kutokuwa na high speed trains hakumo hata kwenye top 10.
Jenga uchumi, uchumi ukifikia sehemu ya kuhitaji high speed train tutajenga.
Mmarekani na ujanja wake wote high speed trains zimemshinda/ kaziona hazina tija.Ukiondoa hiyo Acela ya Boston/DC ambayo is the steam engine locomotive of high speed trains.
Sio tunataka kuiga tu.
Tuna uchumi mdogo na hayo ma project ya high speed train yanataka sio tu mabilioni ya fedha kuanzia, bali ni high maintenance, yanagharimu sana ku maintain, ajali zake mbaya sana (angalia ajali ya Shanghai Beijing line ilivyokuwa mbaya).
Hiyo mi treni yetu tu inatushinda, unataka twende kwenye high speed trains?
Hujaweza kutembea unataka kukimbia?
Ukiwauliza Watanzania kero kubwa kwao ni nini, kutokuwa na high speed trains hakumo hata kwenye top 10.