Tanzania ukiajiriwa Serikalini ni raha kuzidi kujiajiri kwa kipato sawa na mshahara wa aliyeajiriwa

Tanzania ukiajiriwa Serikalini ni raha kuzidi kujiajiri kwa kipato sawa na mshahara wa aliyeajiriwa

Aliye jiajiri anaweza endeleza mradi wake vizuri ndani ya miaka5 akawa anaingiza zaidi ya m10 kwa mwezi, wakati huo wewe uko palepale na kamshahara kako, pia aliye jiajiri hata akifa familia yake inaweza kua na uhakika zaidi endapo akifundisha watoto wake namna ya kufanya biashara,
.
Nb:KUJIAJIRI SI KILA MTU ANAWEZA
Na asipoweza je...
Hiyo ni probability mkuu...
Ila huku Serikalini ni constant non matter what... 🤓🤓🤓🤓🤓
 
Mfano alieajiriwa na aliejiajiri wote wanaingiza milioni 1 kwq mwezi?

Mtumishi wa serikalini na mtu aliejiajiri kama wana vipato sawa ni heri uwe muajiriwa tu.

1. Aliejiajiri anaondoka kwake asubuhi kurudi usiku, alieajiriwa serikalini anaondoka asubuhi anamaliza kazi zake jioni, na hata huko ofisini kuna muda anapata kufanya mambo yake.

2. Aliejiajiri anaweza asizijue weekend lakini alieajiriwa serikalini anapumzika jumamosi na Jumapili.

3. Aliajiajiri hana sikukuu za kiserikali ama dini, asipoenda imekula kwake, alieajiriwa serikalini haendi kazini mwaka mpya, meimosi, sabasaba, siku ya Nyeyere, siku ya uhuru, mapinduzi, nanenane, idi, pasaka, n.k

4. Aliejiajiri akiumwa inabidi ajikaze aende tu lasivyo kipato kinaweza kutikisika, alieajiriwa serikalini akiumwa anatoa notisi.

5. Aliejiajiri hana likizo, muajiriwa ana likizo siku 30 kila mwaka.

6. Aliejiajiri anaweza kufilisika endapo duka likiungua, akiumwa kwa muda mrefu, akiibiwa, n.k. alieajiriwa serikalini nafasi yake na mshahara wake ni uhakika.

7. Aliyeajiriwa serikalini mkopo anapata kwa masharti nafuu na KWA haraka aliyejiajiri hawezi pata mkopo kibwerere.
Aliyeajiriwa ni katika sekta gani na aliyejiajiri ni katika sekta gani, tuanzie hapo
 
Faida za kuajiriwa Serikalini
1. Rahisi kupata visa ya nchi yeyeto wanaamini huwezi zamia
2. Kwa mangi unakopa bila shida
3. Unakopa bank
4. Ukiimwa mda mrefu unaendelea tu kula mshahara kitandani
5. Job security kufukuzwa ni process
6. Ruhusa ya kusoma ndani au nje
7. Ukisimamishwa kazi mshahara na maslai yako pale pale ,huku ukiwa na mda wa kutosha kufanya mishe zako mfano bize na shule, biashara au kuajiriwa private company
8. Likizo bila malipo
9. Hela ya pension uzeeni ukistaafu inaingia tu muhimu upambane uwe mkubwa piga tu shule pesheni yako ya mwezi unamzidi graduate.
 
Mbona mnakopa kopa kwa waliojiajiri sasa? Kama kuajiriwa na Serikali raha? Na mikausha damu inawatafuna vizuri, muuza vitumbua amejenga na anasomesha, we ulieajiriwa na Serikali unazeekea kwenye nyumba za kota.
 
Mfano alieajiriwa na aliejiajiri wote wanaingiza milioni 1 kwq mwezi?

Mtumishi wa serikalini na mtu aliejiajiri kama wana vipato sawa ni heri uwe muajiriwa tu.

1. Aliejiajiri anaondoka kwake asubuhi kurudi usiku, alieajiriwa serikalini anaondoka asubuhi anamaliza kazi zake jioni, na hata huko ofisini kuna muda anapata kufanya mambo yake.

2. Aliejiajiri anaweza asizijue weekend lakini alieajiriwa serikalini anapumzika jumamosi na Jumapili.

3. Aliajiajiri hana sikukuu za kiserikali ama dini, asipoenda imekula kwake, alieajiriwa serikalini haendi kazini mwaka mpya, meimosi, sabasaba, siku ya Nyeyere, siku ya uhuru, mapinduzi, nanenane, idi, pasaka, n.k

4. Aliejiajiri akiumwa inabidi ajikaze aende tu lasivyo kipato kinaweza kutikisika, alieajiriwa serikalini akiumwa anatoa notisi.

5. Aliejiajiri hana likizo, muajiriwa ana likizo siku 30 kila mwaka.

6. Aliejiajiri anaweza kufilisika endapo duka likiungua, akiumwa kwa muda mrefu, akiibiwa, n.k. alieajiriwa serikalini nafasi yake na mshahara wake ni uhakika.

7. Aliyeajiriwa serikalini mkopo anapata kwa masharti nafuu na KWA haraka aliyejiajiri hawezi pata mkopo kibwerere.
Kujiajiri inahtaji roho ngumu Sana, juhudi na uvumilivu, ni kweli Kwa miaka 15 ya Kwanza aliyeajiriwa atakula bingo Ila baada ya hapo hampati aliyejiajiri hata robo Labda aliyejiajiri awe Fala.
 
Wabunge, mawaziri na maraisi wale wote wamejiajiri na sio waajiriwaa so kujiaajiri ni better kuliko kuajiriwaa

Soon hata mimi nitaenda kujiajiri kwenye biashara ya siasa inalipa sana Afrika.........
 
Back
Top Bottom