Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Saana yaani Serikalini haijalishi upo wapi ila kuna mseleleko sana pia kuna uhakika wa mambo tofauti na kujiari.. na ndio maana kupata kazi huko ni mtiti mwinginetena ukiwa na biashara zako pembeni
HakikaSaana yaani serikalini haijalishi upo wapi ila kuna mseleleko sana pia kuna uhakika wa mambo tofauti na kujiari.. na ndio maana kupata kazi huko ni mtiti mwingine
Na asipoweza je...Aliye jiajiri anaweza endeleza mradi wake vizuri ndani ya miaka5 akawa anaingiza zaidi ya m10 kwa mwezi, wakati huo wewe uko palepale na kamshahara kako, pia aliye jiajiri hata akifa familia yake inaweza kua na uhakika zaidi endapo akifundisha watoto wake namna ya kufanya biashara,
.
Nb:KUJIAJIRI SI KILA MTU ANAWEZA
YamefanyajeMaisha haya jamani dah
Aliyeajiriwa ni katika sekta gani na aliyejiajiri ni katika sekta gani, tuanzie hapoMfano alieajiriwa na aliejiajiri wote wanaingiza milioni 1 kwq mwezi?
Mtumishi wa serikalini na mtu aliejiajiri kama wana vipato sawa ni heri uwe muajiriwa tu.
1. Aliejiajiri anaondoka kwake asubuhi kurudi usiku, alieajiriwa serikalini anaondoka asubuhi anamaliza kazi zake jioni, na hata huko ofisini kuna muda anapata kufanya mambo yake.
2. Aliejiajiri anaweza asizijue weekend lakini alieajiriwa serikalini anapumzika jumamosi na Jumapili.
3. Aliajiajiri hana sikukuu za kiserikali ama dini, asipoenda imekula kwake, alieajiriwa serikalini haendi kazini mwaka mpya, meimosi, sabasaba, siku ya Nyeyere, siku ya uhuru, mapinduzi, nanenane, idi, pasaka, n.k
4. Aliejiajiri akiumwa inabidi ajikaze aende tu lasivyo kipato kinaweza kutikisika, alieajiriwa serikalini akiumwa anatoa notisi.
5. Aliejiajiri hana likizo, muajiriwa ana likizo siku 30 kila mwaka.
6. Aliejiajiri anaweza kufilisika endapo duka likiungua, akiumwa kwa muda mrefu, akiibiwa, n.k. alieajiriwa serikalini nafasi yake na mshahara wake ni uhakika.
7. Aliyeajiriwa serikalini mkopo anapata kwa masharti nafuu na KWA haraka aliyejiajiri hawezi pata mkopo kibwerere.
Mwalimu mfanoAliyeajiriwa ni katika sekta gani na aliyejiajiri ni katika sekta gani,tuanzie hapo
Mjadala huu utapendeza kama utajali layers.... kuna watu Kariakoo wanakunja mpaka m1 kama faida kwa siku. Hawa huwezi kuwawekea mada ya kuajiriwa mkaelewana.Na asipoweza je...
Hiyo ni probability mkuu...
Ila huku serikalini ni constant non matter what... 🤓🤓🤓🤓🤓
Ndio maana nimeuliza kujiajiri katika angle ipi ya ujasiriamalimjadala huu
utapendeza kama utajali layers.... kuna watu kariakoo wanakunja mpaka m1 kama faida kwa siku. hawa huwez kuwawekea mada ya kuajiriwa mkaelewana
Kujiajiri inahtaji roho ngumu Sana, juhudi na uvumilivu, ni kweli Kwa miaka 15 ya Kwanza aliyeajiriwa atakula bingo Ila baada ya hapo hampati aliyejiajiri hata robo Labda aliyejiajiri awe Fala.Mfano alieajiriwa na aliejiajiri wote wanaingiza milioni 1 kwq mwezi?
Mtumishi wa serikalini na mtu aliejiajiri kama wana vipato sawa ni heri uwe muajiriwa tu.
1. Aliejiajiri anaondoka kwake asubuhi kurudi usiku, alieajiriwa serikalini anaondoka asubuhi anamaliza kazi zake jioni, na hata huko ofisini kuna muda anapata kufanya mambo yake.
2. Aliejiajiri anaweza asizijue weekend lakini alieajiriwa serikalini anapumzika jumamosi na Jumapili.
3. Aliajiajiri hana sikukuu za kiserikali ama dini, asipoenda imekula kwake, alieajiriwa serikalini haendi kazini mwaka mpya, meimosi, sabasaba, siku ya Nyeyere, siku ya uhuru, mapinduzi, nanenane, idi, pasaka, n.k
4. Aliejiajiri akiumwa inabidi ajikaze aende tu lasivyo kipato kinaweza kutikisika, alieajiriwa serikalini akiumwa anatoa notisi.
5. Aliejiajiri hana likizo, muajiriwa ana likizo siku 30 kila mwaka.
6. Aliejiajiri anaweza kufilisika endapo duka likiungua, akiumwa kwa muda mrefu, akiibiwa, n.k. alieajiriwa serikalini nafasi yake na mshahara wake ni uhakika.
7. Aliyeajiriwa serikalini mkopo anapata kwa masharti nafuu na KWA haraka aliyejiajiri hawezi pata mkopo kibwerere.
Well said [emoji122]Kujiajiri inahtaji roho ngumu Sana , juhudi na uvumilivu , ni kweli Kwa miaka 15 ya Kwanza aliyeajiriwa atakula bingo Ila baada ya hapo hampati aliyejiajiri hata robo Labda aliyejiajiri awe Fala
Manaake biashara zao hazikui.Kuna watu nawajua tangia nipo shule ya msingi wanaondoka majumbani saa 12 asubuhi kwenda kuuza dukani mpaka saa 2 usiku,
Usirudie Tena Kusema ukweli sawa ? 🤣Ukifa mtoto wako ataendelea kupokea mshahara wako?