Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Hadi leo mpaka wanazeeka. Hao hao wanamcheka Mpwayungu vilage.Kuna watu nawajua tangia nipo shule ya msingi wanaondoka majumbani saa 12 asubuhi kwenda kuuza dukani mpaka saa 2 usiku,
Makonda alikuwa mwajiriwa wewe unamzidi utajiri?Leo waajiriwa mnajipamba au sio ?
Basi wacha nikae hapa unitajie muajiriwa
Well saidSomebody had to say this!! Mimi nimefanya sana biashara, nimetoka sana jasho la hustle za hapa na pale ila asikudanganye mtu serikalini ni serikalini tu!!!! Kipindi cha corona biashara ziliyumba, kwenye private sectors baadhi waliondolewa. Ila serikalini mserereko uliendelea.
Na nyie mnaosema kama watoto wao watarithi kazi, kwani ukizaa mtoto unauhakika gani atapenda kitu unachokifanya? Una uhakika gani atakuja kupenda hiyo biashara yako ya mahindi,
Rai, tafuta kazi serikalini, establish vitega uchumi au biashara ambazo sio lazima uwepo 24/7.. unazichanga unawanunulia ardhi wakija kukua hao wanao wana cha kurithi. Na wenyewe unawajengea misingi ya kujitegemea kimaisha hata kama umewaandalia chochote kitu incase ukidondoka. Full stop
Hii mada haihusu wale wanaume wenye watoto sita ndani ya ndoa wanne nje. Nyie mkifa familia zenu zinatamanigi ziwachape makofi ngedere
Wengi hujipa moto majority ni majanga.na alieajiriwa anaweza kujiongeza akajiajiri pia.. aliyejiajiiri akijiongeza ataajiri watu wa kuwatoa ngeu. genuine aliyejiajiri anaweza kukua na kuwa mkubwa zaidi...
Mtanzania wa kawaida utapata wapi bilioni uwekeze Mkuu?Uwe unaelewa kwanza post inazungumzia nini ?
Alieajiriwa serikalini anapokea milioni 2 kwa mwezi utamlinganisha na Muhindi au Mwarabu kawekeza anaingizia bilioni kila mwezi ?
Halafu kuna mimi sasa nnae toka home saa tano/ sita/ saba/ nane/ tisa mchana/ alasiri na kufunga ofisi saa moja na nusu jioni na nna uhakika wa kuingiza kuanzia 50k na kuendelea halafu siwazi sasaKuna watu nawajua tangia nipo shule ya msingi wanaondoka majumbani saa 12 asubuhi kwenda kuuza dukani mpaka saa 2 usiku,
Hapo kwenye N.B. hapo pazingatiwe sanaAliye jiajiri anaweza endeleza mradi wake vizuri ndani ya miaka5 akawa anaingiza zaidi ya m10 kwa mwezi, wakati huo wewe uko
Hiyo hoja ya Weekend mbona kama imekuuma?Soma ulichoandika.
Inaonesha unawaza weekend tu hapo ulipo.
M1 ni nyingi sana mkuumjadala huu
utapendeza kama utajali layers.... kuna watu kariakoo wanakunja mpaka m1 kama faida kwa siku. hawa huwez kuwawekea mada ya kuajiriwa mkaelewana
Yaani kadri biashara inavyokua,aliyejiajiri anaajiri mtu,yeye anaweza hata asionekane kazini,anapewa tu taarifa,au anamtuma auditor.Wewe unayefungua biashara mpaka jumamosi na jumapili ili uuze uingize hela na muajiriwa anayepumzika weekend nzima, nani yupo kwenye slavery machine?
Aliejiajiri ana nafasi ya kukua.yupi ana nafasi nzuri ya kukua zaidi?
Ni kweli. Ila Aziz hajajiajiri, Ameajiri. Kuna tofauti hapo.Wakati naanza kazi serikalini huko Morogoro watu kama akina Aziz Abood walikuwa wakiuza duka na baba yao, akina Makundii...
Aliejiajiri ana nafasi ya kukua.yupi ana nafasi nzuri ya kukua zaidi?
Wanakopa hadi uji kwa mama ntilie pamoja na faida zote ulizozitaja apo,Faida za kuajiriwa Serikalini
1.Rahisi kupata visa ya nchi yeyeto wanaamini huwezi zamia
2.Kwa mangi unakopa bila shida
3.Unakopa bank
.
Mzee usihamishe kiwanja kuongelea vitu visivyo husika.....jibu hoja achana na ukwepeshaji.Hiyo hoja ya Weekend mbona kama imekuuma?
Huyo ni mwajiri, Business owner. Huyo "hajajiajiri". Know the difference.Yaani kadri biashara inavyokua,aliyejiajiri anaajiri mtu,yeye anaweza hata asionekane kazini,anapewa tu taarifa,au anamtuma auditor.