Tanzania ukiajiriwa Serikalini ni raha kuzidi kujiajiri kwa kipato sawa na mshahara wa aliyeajiriwa

Sawa nimekuelewa. Huyu Mkulima wa jembe la mkono yeye hajajiajiri?[emoji38][emoji38]
Rafiki napenda kukiri nilikujibu nikiwa nimelewa daktari wangu hivyo kila nilichojibu fanya kuwa ni client aliyekuwa chini ya uangalizi .

Kuajiriwa ni raha bwana yaani nalewa mpaka katikati ya wiki ? Njoo wewe unayepambana kumake

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu wakati unatupa nasaa sio mbaya ukatupa na connection pia mtaani hali sio shwari kutoboa bila kushikwa mkono ni mtiti
Tatizo la vijana wengi hawaaminiki pia sio wavumilivu + ujuaji mwingi huwezi amini pamoja na degree kichwani watu wanaanzia kubebeshwa ma boksi utabeba mkuu Kwa 250,000 monthly...

Kuna muda nimekua na moyo mgumu kusaidia watu sababu wabongo wengi wetu wataiba na kuku disappoint ila sio woteeeee

Japo Kuna maboss mizinguo pia ila naamini ni ngumu kutoboa bila connection ndio maana Mimi Ili nikupe connection nenda ukamsome LAVALAVA Mpaka kusainishwa WASAFI 😊😊😊 utapimwa sanaa utu nidhamu yako...
 
Nchi inaendeshwa na waliojariwa ndio maana ikifika mwisho wa mwezi kuanzia kwenye dalala na maduka mahesabu yanakuwa makubwa na mzunguko wa hela unaongezeka mwisho wa mwezi ila baadae hali inakuwa tete nashangaa wanaoponda waliojariwa wakati ndio wanaowapa jeuri waliojiajori.
 
"Kwa mangi unakopa bila shida " yaani unajisifu na ajira ya serikali halafu moja ya tegemeo lako ni mtu aliyejiajiri!
 
Acha kukariri. Nimejiajiri. Leo notafanya kazi 4 hours. Nitapata 110000/=

Likizo sioni umuhimu wake maana kila siku najiona nipo likizo. Likizo ina maana ukiwa mfungwa.
 
Ni kwel kujiajiri sio kitoto.Hii ni dedication ya watu wazima haswaaa. Ni kazi nzito mnoo ila kwa ajili ya ku guarantee future sio yako tu bali na ya kizaz chako, ni afadhal kujitoa muhanga ujiajiri.
NB
Ajira sio kitu kibaya maana hata sisi tuliojiajiri , tuna waajir pia wengine ili ku leverage mission zetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…