Tanzania ukitaka kutajirika wekeza kwa wajinga na masikini

Taikoni vs Walala hoi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu jamaa anawachukia masikini sana[emoji23][emoji23][emoji23]. Utawatisha, hawatoingia[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kabisa!
 

Mkuu umasikini ni mbaya sana. Unadharaulika na kugeuka kituko Duniani
 

Wengi hupenda kufungua maduka classic Sinza na kinondoni lakini ndani ya miezi sita lazima wapasue matairi
 
Najifunza mengi kutoka kwako mdogo wangu ROBERT HERIEL umenizidi maarifa. UWEZO wangu wa kufikiria ni mdogo kulinganisha na wako. Japo nimekupita umri NA tunafanana kwenye UMASIKINI. lakini ukweli ndio huo. congratulations

Nashukuru Sana Mkuu.
Barikiwa Sana.
Mungu atupe nguvu na akili ya kutumia Baraka(Yale tuliojaliwa) kufukuza Laana ya umasikini katika kizazi chetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…